Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UANDIKISHAJI: Njombe hawana taarifa za BVR

>Siku moja kabla ya kuanza uandikishaji wa wananchi katika Daftari la Wapigakura, wakazi wengi wa Mkoa wa Njombe hawajui uwepo mchakato huo, huku wengine wakionyesha wasiwasi na muda utakaotumika.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Uhuru Newspaper

Uandikishaji BVR Njombe bado tatizo



Na Michael Katona, Njombe KAZI ya uandikishaji wa daftari ya kudumu la wapigakura kwa Mfumo wa Kielektroniki (BVR) katika mkoa wa Njombe, limeanza rasmi katika kata za Mjimwema, Yakobi na Kifanya.Hata hivyo, uandikishaji huo umeanza kwa kulalamikiwa na wananchi kwamba unasuasua na kusababisha wananchi wachelewe kwenye vituo, kutokana na mtu mmoja kutumia muda mrefu kujiandikisha.Mwandishi wa habari hii alitembelea kata ya Mjimwema, katika vituo vya Melinze, Mjimwema, NJOSS, Mpechi na Joshoni...

 

10 years ago

Mwananchi

Uandikishaji wa BVR Njombe kumalizika Aprili

>Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imesema mchakato wa uandikishaji wa Daftari la Kudumu la Wapigakura mkoani Njombe utakamilika Aprili 12.

 

10 years ago

Mwananchi

BVR ‘zachemsha’ uandikishaji Dar

Uandikishaji wa wapigakura kwa kutumia mfumo mpya wa BVR unaoendelea katika kata tatu za Jiji la Dar es Salaam umeanza kusuasua kutokana na matatizo ya watendaji na mashine zinazotumika kwenye uandikishaji huo.

 

10 years ago

Mwananchi

Uandikishaji BVR Dar majanga

>Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) itatakiwa kufanya kazi usiku na mchana kuhakikisha inatimiza mipango yake kuelekea katika Uchaguzi Mkuu kutokana na ugumu unaoweza kutokea katika kukamilisha uandikishaji wapigakura katika jiji la Dar es Salaam na ugawaji wa mipaka ya majimbo nchini.

 

10 years ago

Mwananchi

Hesabu za uandikishaji BVR zinagoma

>Licha ya Serikali kusisitiza kuwa uandikishaji wa wapigakura nchi nzima kwa mfumo wa BVR utakamilika Aprili 28 na Kura ya Maoni kufanyika Aprili 30, mwaka huu kama ilivyopangwa, hesabu zilizopigwa na Mwananchi zinakataa kuwianisha siku zilizosalia na idadi ya mashine za BVR zilizopo na zinazotarajiwa kuwasili. Hali hiyo imejitokeza zikiwa zimebaki siku 36 kabla ya Kura ya Maoni kufanyika, huku kukiwapo wasiwasi miongoni mwa wadau kuhusu uwezekano wa kufanikisha matukio hayo bila...

 

10 years ago

Habarileo

UN wasifia uandikishaji wa BVR Zanzibar

OFISA Mwandamizi kutoka Umoja wa Mataifa (UN) anayeshughulikia Kitengo cha Uchaguzi Mkuu, Hamida Kibwana amesema uandikishaji katika Daftari la Kudumu la Wapigakura kwa mfumo wa BVR, umefanyika vizuri huku vyama vyote vikionesha kuridhishwa nao.

 

10 years ago

Mwananchi

NEC itathmini uandikishaji wa BVR

Lawama na vurugu za shughuli za uandikishaji wananchi kwenye Daftari la Kudumu la Wapigakura, vinazidi kupamba moto siku hadi siku.

 

10 years ago

Mwananchi

Uandikishaji BVR Dar kuanza kesho

>Uandikishaji wa wapigakura kwa kutumia Biometric Voters Registration (BVR) Dar es Salaam, unaanza rasmi kesho, huku mashine zaidi ya 4,000 zikitarajia kutumika kukamilisha kazi hiyo katika vituo 1,700.

 

10 years ago

Dewji Blog

DAR yakamilisha rasmi uandikishaji BVR

DSC_0647

Mkurugenzi Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Kailima Ramadhan.

Tume ya Taifa  ya Uchaguzi imetangaza kukamilika kwa zoezi la Uandikishaji Wapiga Kura katika Daftari la Kudumu kwa kutumia mfumo wa BVR Mkoani Dar es Salaam. Kwa mujibu wa  taarifa iliyotolewa na Mkurugenzi wa Uchaguzi, Kailima Ramadhani zoezi hilo limefanikiwa kwa kiasi kikubwa kwa kuandikisha wapiga kura 2,845,256 sawa na 101.2%

DAR YAKAMILISHA RASMI UANDIKISHAJI 1

DAR YAKAMILISHA RASMI UANDIKISHAJI  2

DAR YAKAMILISHA RASMI UANDIKISHAJI  3

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani