UANDIKISHAJI: Njombe hawana taarifa za BVR
>Siku moja kabla ya kuanza uandikishaji wa wananchi katika Daftari la Wapigakura, wakazi wengi wa Mkoa wa Njombe hawajui uwepo mchakato huo, huku wengine wakionyesha wasiwasi na muda utakaotumika.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Uhuru Newspaper16 Mar
Uandikishaji BVR Njombe bado tatizo
Na Michael Katona, Njombe KAZI ya uandikishaji wa daftari ya kudumu la wapigakura kwa Mfumo wa Kielektroniki (BVR) katika mkoa wa Njombe, limeanza rasmi katika kata za Mjimwema, Yakobi na Kifanya.Hata hivyo, uandikishaji huo umeanza kwa kulalamikiwa na wananchi kwamba unasuasua na kusababisha wananchi wachelewe kwenye vituo, kutokana na mtu mmoja kutumia muda mrefu kujiandikisha.Mwandishi wa habari hii alitembelea kata ya Mjimwema, katika vituo vya Melinze, Mjimwema, NJOSS, Mpechi na Joshoni...
10 years ago
Mwananchi07 Mar
Uandikishaji wa BVR Njombe kumalizika Aprili
10 years ago
Mwananchi19 Dec
BVR ‘zachemsha’ uandikishaji Dar
10 years ago
Mwananchi09 Jun
Uandikishaji BVR Dar majanga
10 years ago
Mwananchi25 Mar
Hesabu za uandikishaji BVR zinagoma
10 years ago
Habarileo12 Aug
UN wasifia uandikishaji wa BVR Zanzibar
OFISA Mwandamizi kutoka Umoja wa Mataifa (UN) anayeshughulikia Kitengo cha Uchaguzi Mkuu, Hamida Kibwana amesema uandikishaji katika Daftari la Kudumu la Wapigakura kwa mfumo wa BVR, umefanyika vizuri huku vyama vyote vikionesha kuridhishwa nao.
10 years ago
Mwananchi26 Jun
NEC itathmini uandikishaji wa BVR
10 years ago
Mwananchi21 Jul
Uandikishaji BVR Dar kuanza kesho
10 years ago
Dewji Blog06 Aug
DAR yakamilisha rasmi uandikishaji BVR
Mkurugenzi Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Kailima Ramadhan.
Tume ya Taifa ya Uchaguzi imetangaza kukamilika kwa zoezi la Uandikishaji Wapiga Kura katika Daftari la Kudumu kwa kutumia mfumo wa BVR Mkoani Dar es Salaam. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Mkurugenzi wa Uchaguzi, Kailima Ramadhani zoezi hilo limefanikiwa kwa kiasi kikubwa kwa kuandikisha wapiga kura 2,845,256 sawa na 101.2%