Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jiji, wafanyabiashara Mwanza wazika tofauti

Hassan HidaUONGOZI wa Halmashauri ya Jiji la Mwanza umesema kuwa umeumaliza mgomo wa takribani siku tatu ambao umekuwa ukifanywa na wafanyabiashara wa kati jijini hapa.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MWANAHARAKATI AVAA GUNIA NA KUTINGA OFISI ZA JIJI KUMDAI MKURUGENZI WA JIJI LA MWANZA AMLIPE FEDHA ZAKE

Mwanaharakati John Masweta akiwa kwenye geti kuu la Makao Makuu ya Jiji la Mwanza.…

 

10 years ago

Vijimambo

WAKAZI WA JIJI LA MWANZA WAJITOKEZA KUMLAKI KWA SHANGWE DKT MAGUFULI JIJINI MWANZA LEO.

 Dkt John Pombe Magufuli akiwasalimia Wananchi wa jiji la Mwanza waliojitokeza kwa wingi jioni ya leo.Mgombea Uraisi kwa tiketi ya chama cha Mapinduzi (CCM),Mh.Dkt John Pombe Magufuli akiwasalimia wanachama wa chama hicho pamoja na Wananchi wa jiji la Mwanza na vitongoji vyake,nje ya ofisi za CCM mkoa,ambao walijotokeza kumlaki kwa shange na furaha kubwa.Dkt Magufuli amewasili leo jijini Mwanza akitokea jijini Dar kwa ajili ya kujitambulisha kwa wanachama wa chama hicho pamoja na...

 

10 years ago

Michuzi

MAELFU WAKAZI WA JIJI LA MWANZA WAJITOKEZA KUMLAKI KWA SHANGWE DKT MAGUFULI JIJINI MWANZA LEO.

 Dkt John Pombe Magufuli akiwasalimia Wananchi wa jiji la Mwanza waliojitokeza kwa wingi jioni ya leo.Mgombea Uraisi kwa tiketi ya chama cha Mapinduzi (CCM),Mh.Dkt John Pombe Magufuli akiwasalimia wanachama wa chama hicho pamoja na Wananchi wa jiji la Mwanza na vitongoji vyake,nje ya ofisi za CCM mkoa,ambao walijotokeza kumlaki kwa shange na furaha kubwa.Dkt Magufuli amewasili leo jijini Mwanza akitokea jijini Dar kwa ajili ya kujitambulisha kwa wanachama wa chama hicho pamoja na...

 

11 years ago

Dewji Blog

Serengeti FIESTA 2014 leo kutikisa jiji la Mwanza ndani ya viwanja vya CCM Kirumba jijini Mwanza

02 (1)

Mmoja wa wasanii watakaotoa burudani katika matamasha ya mwaka huu ya Serengeti Fiesta, Vanessa Mdee akizungumza wakati wa uzinduzi wa  tamasha la muziki la mwaka huu la Serengeti Fiesta litakaloanza kutimua vumbi leo katika Uwanja wa CCM Kirumba jijini hapo. Kushoto kwake ni Meneja wa Bia ya Serengeti, Rodney Rugambo na mmoja wa waratibu wa tamasha hilo, Sebastian Maganga . Fiesta ya mwaka huu inadhaminiwa na kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) kupitia bia yake ya Serengeti Premium Lager....

 

11 years ago

GPL

KAMERA YA GPL KATIKA MITAA TOFAUTI YA JIJI LA DAR

Athari za mafuriko maeneo ya Ubungo-Extenal. Dereva akiangalia namna ya kupita eneo hili ambapo barabara inatengenezwa.…

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wafanyabiashara waulalamikia uongozi wa jiji

WAFANYABIASHARA wa soko la samaki ‘deep sea’ mkoani Tanga wameulalamikia uongozi wa jiji hilo kwa kushindwa kutatua kero zinazowakabili na badala yake wanaendelea na kampeni ya kuwabomolea vibanda vya wafanyabiashara...

 

10 years ago

Mwananchi

Wafanyabiashara walionya Jiji Mbeya

Wafanyabiashara 400 waliopewa eneo la kuanzisha soko ndani ya Viwanja vya John Mwakangale (Nanenane) wameutaka uongozi wa Jiji la Mbeya kuacha kuwachokoza kwenye mpango wao ili kudumisha amani.

 

10 years ago

Michuzi

WAFANYABIASHARA WA JIJI LA DAR ES SALAAM WAITAKA SERIKALI KUPUNGUZA KODI

Na Tinah Reuben, Dar es Salaam.
Mwenyekiti wa Chama cha Wafanyabiashara Dar es salaam (JWT), Philimon Chonde amesema suala la kupandishwa kwa kodi kwa asilimia mia moja limepitishwa kinyemela bila ya wao kuwashirikisha wala kujadiliana na wafanyabiashara hao.
Akizungumza leo katika mkutano uliofanyika katika ukumbi wa Lamada Hotel jijini Dar es Salaam ukiwashirikisha wabunge, ameeleza kuwa mfumo wa kodi uliopo umekaa kikoloni kwani unawakandamiza wafanyabiashara ili waendelee kuwa ...

 

11 years ago

Mtanzania

Wafanyabiashara Mwanza wagoma

Jiji la Mwanza

Jiji la Mwanza

SITTA TUMMA NA PETER FABIAN, MWANZA

WAFANYABIASHARA jijini hapa wamegoma. Mgomo huo ulianza jana asubuhi baada ya wafanyabiashara hao kusitisha huduma zote kwa kile walichoeleza kuwa ni kutoridhishwa na gharama za ushuru wanazotozwa na Halmashauri ya Jiji la Mwanza.

Mgomo huo unafanyika ikiwa ni siku moja kabla ya Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, kufanya ziara ya kiserikali jijini hapa.

Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wafanyabiashara Tanzania (JWT) Jiji la Mwanza, Christopher Wambura,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani