Wafanyabiashara walionya Jiji Mbeya
Wafanyabiashara 400 waliopewa eneo la kuanzisha soko ndani ya Viwanja vya John Mwakangale (Nanenane) wameutaka uongozi wa Jiji la Mbeya kuacha kuwachokoza kwenye mpango wao ili kudumisha amani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziWANANCHI, WAFANYA BIASHARA, WANASIASA, NA WANAFUNZU WA JIJI LA MBEYA WATIMIZA WAJIBU WA KUFANYA USAFI KATIKA MAENEO MBALIMBALI YA JIJI LA MBEYA.
11 years ago
Tanzania Daima26 Mar
Wafanyabiashara waulalamikia uongozi wa jiji
WAFANYABIASHARA wa soko la samaki ‘deep sea’ mkoani Tanga wameulalamikia uongozi wa jiji hilo kwa kushindwa kutatua kero zinazowakabili na badala yake wanaendelea na kampeni ya kuwabomolea vibanda vya wafanyabiashara...
10 years ago
Habarileo24 Aug
Jiji, wafanyabiashara Mwanza wazika tofauti
UONGOZI wa Halmashauri ya Jiji la Mwanza umesema kuwa umeumaliza mgomo wa takribani siku tatu ambao umekuwa ukifanywa na wafanyabiashara wa kati jijini hapa.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-_R3qJR-cmnw/VPh4QbR4GaI/AAAAAAABa6E/ezQGOHTCPk4/s72-c/DSC_0694.jpg)
WAFANYABIASHARA WA JIJI LA DAR ES SALAAM WAITAKA SERIKALI KUPUNGUZA KODI
Mwenyekiti wa Chama cha Wafanyabiashara Dar es salaam (JWT), Philimon Chonde amesema suala la kupandishwa kwa kodi kwa asilimia mia moja limepitishwa kinyemela bila ya wao kuwashirikisha wala kujadiliana na wafanyabiashara hao.
Akizungumza leo katika mkutano uliofanyika katika ukumbi wa Lamada Hotel jijini Dar es Salaam ukiwashirikisha wabunge, ameeleza kuwa mfumo wa kodi uliopo umekaa kikoloni kwani unawakandamiza wafanyabiashara ili waendelee kuwa ...
10 years ago
VijimamboJIJI LETU LA MBEYA
Mbeya yetu tulifanikiwa kupata Muonekano wa eneo hili la Jiji kama linavyo onekana
Mkazi wa Jiji La Mbeya unaweza Kutambua Maeneo haya?
huu ni mwanzo tuu usikose kuona picha zaidi ya Jiji letu la Mbeya
Picha na Mbeya Yetu
11 years ago
Mwananchi03 Jun
Wafanyabiashara wa nje waisifia Mbeya
11 years ago
Tanzania Daima12 Mar
Meya Jiji la Mbeya matatani
JESHI la Polisi Mkoa wa Mbeya limesema linafanya uchunguzi wa kina ili kubaini endapo Meya wa Jiji la Mbeya, Athanas Kapunga, alihusika kwenye tuhuma zinazowakabili vijana wawili waliomtaja kuwa aliwatuma...
11 years ago
GPLMISHEMISHE NDANI YA JIJI LA MBEYA
9 years ago
Mtanzania19 Oct
Lowassa aliteka jiji la Mbeya
FREDY AZZAH, MBEYA
MGOMBEA Urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), anayeungwa mkono na Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa, amelifunga jiji la Mbeya kwa mapokezi na kuomba kura akisema hana mchezo na kazi.
Pia, ameendelea kuwasisitizia wananchi, umuhimu wa kulinda kura zao baada ya kupiga hadi kitakapoeleweka.
Lowassa aliyasema hayo jana kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika katika Viwanja vya Ruanda Nzovwe vilivyopo jijini hapa.
“Wana Mbeya, kuna rafiki yangu...