Lowassa aliteka jiji la Mbeya
FREDY AZZAH, MBEYA
MGOMBEA Urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), anayeungwa mkono na Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa, amelifunga jiji la Mbeya kwa mapokezi na kuomba kura akisema hana mchezo na kazi.
Pia, ameendelea kuwasisitizia wananchi, umuhimu wa kulinda kura zao baada ya kupiga hadi kitakapoeleweka.
Lowassa aliyasema hayo jana kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika katika Viwanja vya Ruanda Nzovwe vilivyopo jijini hapa.
“Wana Mbeya, kuna rafiki yangu...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziWANANCHI, WAFANYA BIASHARA, WANASIASA, NA WANAFUNZU WA JIJI LA MBEYA WATIMIZA WAJIBU WA KUFANYA USAFI KATIKA MAENEO MBALIMBALI YA JIJI LA MBEYA.
10 years ago
VijimamboJIJI LETU LA MBEYA
Mbeya yetu tulifanikiwa kupata Muonekano wa eneo hili la Jiji kama linavyo onekana
Mkazi wa Jiji La Mbeya unaweza Kutambua Maeneo haya?
huu ni mwanzo tuu usikose kuona picha zaidi ya Jiji letu la Mbeya
Picha na Mbeya Yetu
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/8DXcM9cBl0w/default.jpg)
10 years ago
Mwananchi16 Apr
Wafanyabiashara walionya Jiji Mbeya
11 years ago
GPLMISHEMISHE NDANI YA JIJI LA MBEYA
11 years ago
Tanzania Daima12 Mar
Meya Jiji la Mbeya matatani
JESHI la Polisi Mkoa wa Mbeya limesema linafanya uchunguzi wa kina ili kubaini endapo Meya wa Jiji la Mbeya, Athanas Kapunga, alihusika kwenye tuhuma zinazowakabili vijana wawili waliomtaja kuwa aliwatuma...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-ZCTxHTAywqk/XlO5LOBiC4I/AAAAAAACzUQ/IFj5bF-CqVsieIxdRNY45NxALi5_wWgCgCLcBGAsYHQ/s72-c/1.png)
CHADEMA YAPATA PIGO JIJI LA MBEYA
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZCTxHTAywqk/XlO5LOBiC4I/AAAAAAACzUQ/IFj5bF-CqVsieIxdRNY45NxALi5_wWgCgCLcBGAsYHQ/s640/1.png)
Madiwani 11 wa Chadema Halmashauri ya Jiji la Mbeya akiwemo Meya wa Jiji hilo wamejiuzulu na kuhamia CCM leo Jumatatu Februari 24, 2020.
Katibu Mkuu wa CCM, Bashiru Ally amesema kati ya Madiwani hao, 10 ni Madiwani wa Kuchaguliwa na Mmoja ni wa Viti Maalumu huku timu hiyo inayoongozwa na Meya ikiwa na Viongozi Watatu wa Juu wa CHADEMA.
Amesema kuwa Madiwani hao wanatoka katika Jiji la Mbeya kwenye Halmashauri inayoongozwa na CHADEMA na Mbunge wa Jimbo hilo ni Joseph Mbilinyi (Sugu) na kuwa...
10 years ago
Raia Tanzania16 Jul
Lowassa, Kinana walikimbia jiji
SIKU tatu baada ya mchakato wa kumpata mgombea urais ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kumalizika mjini Dodoma, viongozi wa juu na wagombea urais kadhaa ndani ya chama hicho wameondoka jijini Dar es Salaam.
Mgombea aliyetikisa mchakato huo, Edward Lowassa, yupo kijijini kwake Ngarash wilayani Monduli huku Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana naye akiripotiwa kuwa jijini Arusha.
Taarifa zinasema kwamba viongozi hao wapo mkoani Arusha kwa ajili ya kujiandikisha katika Daftari la...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/--GY0Pw8m-nQ/UuwotIPokKI/AAAAAAAALlM/uTWblaGCFxc/s72-c/4.jpg)
HADIJA KOPA AWAKUNA WAKAZI WA JIJI LA MBEYA
![](http://2.bp.blogspot.com/--GY0Pw8m-nQ/UuwotIPokKI/AAAAAAAALlM/uTWblaGCFxc/s1600/4.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Y-BIZ16S2nY/UuwotyW4wUI/AAAAAAAALlU/50qAIXxJK9E/s1600/3.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-L9PBQcNYrvI/UuwouvWclZI/AAAAAAAALlc/YPFl8_ARdYU/s1600/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-YqNS8WdMi6c/Uuwqik8ku8I/AAAAAAAALls/vT34cVl_ErQ/s1600/2.jpg)