HADIJA KOPA AWAKUNA WAKAZI WA JIJI LA MBEYA
![](http://2.bp.blogspot.com/--GY0Pw8m-nQ/UuwotIPokKI/AAAAAAAALlM/uTWblaGCFxc/s72-c/4.jpg)
Malkia wa Taarab nchini Bi. Hadija Kopa akiimba mbele ya umati wa watu kwenye ukumbi maarufu wa City Pub mjni Mbeya.
Baadhi ya wanamuziki wa TOT Taarab wakiimba kwa hamasa wakati band hiyo ya muziki wa taarab ilipotumbuiza kwenye ukumbi wa City Pub mjini Mbeya.
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akimpongeza bi Hadija Kopa kwa umahiri wake wa kuimba taarab kwenye ukumbi wa City Pub Mbeya.
Umati wa watu ukiwa umefurika wakati Malkia wa Taaarab Hadija Kopa na Band ya Taarab...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-I688u-2vLV4/U2ZdDxad4_I/AAAAAAAFfS0/tMYChEP6xHc/s72-c/8.jpg)
REBECA MALOPE AWAKUNA WAKAZI WA JIJI LA MWANZA,NGELEJA AWATAKA VIONGOZI WA DINI KULIOMBEA TAIFA
![](http://1.bp.blogspot.com/-I688u-2vLV4/U2ZdDxad4_I/AAAAAAAFfS0/tMYChEP6xHc/s1600/8.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-De9BJ8_G-EI/U2ZdErlU-tI/AAAAAAAFfSw/v_5ymg-nYok/s1600/9.jpg)
10 years ago
GPLTIGO YAWAFUTURISHA WAKAZI WA JIJI LA MBEYA , MKAPA HALL
10 years ago
Michuzi23 Oct
10 years ago
VijimamboKAMPUNI YA SIMU YA TIGO YAWAFUTURISHA WAKAZI WA JIJI LA MBEYA , MKAPA HALL
10 years ago
Dewji Blog10 Jul
Kampuni ya simu ya Tigo yawafuturisha wakazi wa jiji la Mbeya, Mkapa Hall
Baadhi ya wakina dada wakiwa wamejiweka sawa kuwapokea wageni mbalimbali ambao walifika Ukumbi wa Mkapa Jijini Mbeya kwa ajili ya Kufuturu.
Baadhi ya wadau wakiwa wanangoja muda wa kufuturu ufike.
Bw. Francis Mwasamwene Meneja wa Mauzo Tigo Mkoa wa Mbeya ambaye pia alikuwa mratibu wa kufanikisha Shughuli hii ya Kuwafuturisha wakazi wa Mbeya akiongea Machache.
Meneja wa Tigo Pesa Kanda ya Njanda za Juu Kusini Thomas Meitaron akitoa salamu za shukurani kwa niaba ya Tigo kwa wakazi...
9 years ago
MichuziWAKAZI WA JIJI LA MBEYA WAJITOKEZA KWA WINGI KUPIGA KURA, MADUKA YAFUNGWA KUAJILI YA UCHAGUZI
Hapa ni eneo la Mwanjelwa maharufu kwa Jina la Mtaa wa kongo likiwa Pweke kuajili ya uchaguzi hakuna alie leta Biashara yake hapa siku hii ya leo.
Baadhii ya...
9 years ago
MichuziWANANCHI, WAFANYA BIASHARA, WANASIASA, NA WANAFUNZU WA JIJI LA MBEYA WATIMIZA WAJIBU WA KUFANYA USAFI KATIKA MAENEO MBALIMBALI YA JIJI LA MBEYA.
11 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-XFePXIEXH4g/Ur8PM8zr9nI/AAAAAAACYEk/fBAJFZaNf4A/s640/IMG_8404.jpg)
ROSE MUHANDO AWAKUNA WAKAZI WA TANGA UWANJA WA MKWAKWANI LEO