ROSE MUHANDO AWAKUNA WAKAZI WA TANGA UWANJA WA MKWAKWANI LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-XFePXIEXH4g/Ur8PM8zr9nI/AAAAAAACYEk/fBAJFZaNf4A/s640/IMG_8404.jpg)
Mwimbaji mahiri wa nyimbo za kiroho a.k.a Injili na anaetamba na wimbo mpya wa Facebook,Rose Muhando akiwa sambamba na skwadi lake zima wakilishambulia jukwaa vilivyo jioni ya leo ndani ya uwanja wa Mkwakwani wakati wa muendelezo wa tamasha la Krisimasi lililofanyika leo Mkoani Tanga. Tamasha hilo ndio kwa mara ya kwanza linafanyika mkoani humo,limezindundiliwa jijini Dar siku ya Krisimasi ndani ya uwanja wa Taifa na...
GPL
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziREDCROSS TANGA YATOA MSAADA WA VIFAA VYA MAJI TIRIRIKA UWANJA WA MKWAKWANI TANGA
MENEJA wa uwanja wa CCM Mkwakwani Nasoro Makau kulia akitokea msaada wa vifaa vya maji tiririka kutoka kwa Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Msalaba Mwekundu Tanzania Mkoani Tanga (Red Cross) Ester Wiliam ambavyo vitatumika kuwekwa milangoni kwa ajili ya watazamaji wanaoingia kwenye uwanja huo kushuhudia michezo mbalimbali kuweza kunawa mikono ikiwa ni mapambano dhidi ya Covid 19 kulia ni Mratibu wa Shirika hilo Sada Kombo.
MENEJA wa uwanja wa CCM Mkwakwani Nasoro Makau akinawa mikono mara...
10 years ago
MichuziMABONDIA KUZIPIGA KESHO JUMAPILI UWANJA WA MKWAKWANI TANGA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-tcHJ6333pCU/Xm29BNh4ahI/AAAAAAAAgG4/3iPJOVceQO0_KvtX068cUTXqcWtCCxKMwCLcBGAsYHQ/s72-c/20200314_105237.jpg)
FAINALI YA MASHINDANO YA REDE KUPIGWA LEO MKWAKWANI TANGA
![](https://1.bp.blogspot.com/-tcHJ6333pCU/Xm29BNh4ahI/AAAAAAAAgG4/3iPJOVceQO0_KvtX068cUTXqcWtCCxKMwCLcBGAsYHQ/s640/20200314_105237.jpg)
Mkurugenzi wa Kampuni ya Five Brothers Intertaiment Nasoro Makau ambao ndio waandaaji wa Mashindano ya Rede Jijini Tanga akizungumza na waandishi wa habari kuelekea Fainali ya Mashindano hayo kushoto ni
Mratibu wa Mashindano hayo Zaituni Mango kulia ni Msimamizi wa Waamuzi Magdalena Liwemba
![](https://1.bp.blogspot.com/-XQoxevQPDRk/Xm29ITOsJzI/AAAAAAAAgG8/TS5B0YZ66zo9T7VVEvcDDojlvu2r4_vswCLcBGAsYHQ/s640/20200314_110702.jpg)
Mratibu wa Mashindano hayo Zaituni Mango akisisitiza jambo kulia ni Mkurugenzi wa Kampuni ya Five Brothers Intertaiment Nasoro Makau ambao ndio waandaaji wa Mashindano ya Rede Jijini Tanga na Msimamizi...
10 years ago
Vijimambo![](https://1.bp.blogspot.com/-sU77cMO-6Zo/VR-J2BlFGSI/AAAAAAAADp0/MX5i76j68gY/s72-c/MWAZOA.jpg)
NGUMI KUFANYIKA MKWAKWANI TANGA MEI 2
![](https://1.bp.blogspot.com/-sU77cMO-6Zo/VR-J2BlFGSI/AAAAAAAADp0/MX5i76j68gY/s400/MWAZOA.jpg)
Bondia Alen Kamote wa Tanga atapanda uringoni mei 2 katika uwanja wa mkwakwani tanga kukabiliana na Emilio Norfat katika mpambano wa raundi 12 mbali na mpambano uho siku hiyo pia kutakuwa na mapambano mengine makala moja ya mpambano wenye mvuto zaidi ni kati ya bondia mwenye makazi yake mkoa wa Morogoro Cosmas Cheka atakaekabiliana na Said Mundi kutoa mkoa wa tanga
promota wa mpambano uho Ally Mwazoa aliongeza kwa kusema mbali na mapambano hayo kutakuwa na mapambano mengine...
10 years ago
Michuzi06 Oct
NGUMI ZILIVYOPIGWA SIKUKUU YA IDI MKWAKWANI TANGA
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/--GY0Pw8m-nQ/UuwotIPokKI/AAAAAAAALlM/uTWblaGCFxc/s72-c/4.jpg)
HADIJA KOPA AWAKUNA WAKAZI WA JIJI LA MBEYA
![](http://2.bp.blogspot.com/--GY0Pw8m-nQ/UuwotIPokKI/AAAAAAAALlM/uTWblaGCFxc/s1600/4.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Y-BIZ16S2nY/UuwotyW4wUI/AAAAAAAALlU/50qAIXxJK9E/s1600/3.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-L9PBQcNYrvI/UuwouvWclZI/AAAAAAAALlc/YPFl8_ARdYU/s1600/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-YqNS8WdMi6c/Uuwqik8ku8I/AAAAAAAALls/vT34cVl_ErQ/s1600/2.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HjAnC3puPQ0bLZe5X0aAduH2flM7GU2ZYCeWYYI42wLeKwvevOYtkbitj0as1iyA5XtSe9pBfceLfCw06M7--6X6EzL74TcB/Rose20.jpg?width=650)
ROSE MUHANDO AWEWESEKA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/5Y36hMbSNo-d0OUy67UJkQxk*EAKpbyyQ05TptxP6dPBeEzBSIrLdiSx8Yy6oOYxaPPqPRzv54-Y5ZUwabBZAgvgK5ClpyFO/rose.jpg?width=650)
ROSE MUHANDO MBARONI!
9 years ago
Habarileo18 Aug
Rose Muhando matatani
MUIMBAJI maarufu hapa nchini wa nyimbo za Injili, Rose Muhando anatafutwa na waandaaji wa tamasha la Injili wilayani Simanjiro mkoani Manyara kwa madai ya kutoonekana kutumbuiza kama jinsi walivyokubaliana.