NGUMI ZILIVYOPIGWA SIKUKUU YA IDI MKWAKWANI TANGA
Bondia Jacob Maganga na Said Mundi wakioneshana umwamba wa kutupiana makonde mpaka mwisho wa mpambano matokeo ni droo
Bondia Thomas Mashali akioneshana umwamba na Allibaba Ramadhani wakati wa mpambano wao uliofanyika katika uwanja wa mkwakwani Tanga siku ya sikukuu ya Iddi Mashali alishinda kwa T.K.O ya raundi ya tatu
Bondia Thomas Mashali akioneshana umwamba na Allibaba Ramadhani wakati wa mpambano wao uliofanyika katika uwanja wa mkwakwani Tanga siku ya sikukuu ya Iddi Mashali alishinda kwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](https://1.bp.blogspot.com/-sU77cMO-6Zo/VR-J2BlFGSI/AAAAAAAADp0/MX5i76j68gY/s72-c/MWAZOA.jpg)
NGUMI KUFANYIKA MKWAKWANI TANGA MEI 2
![](https://1.bp.blogspot.com/-sU77cMO-6Zo/VR-J2BlFGSI/AAAAAAAADp0/MX5i76j68gY/s400/MWAZOA.jpg)
Bondia Alen Kamote wa Tanga atapanda uringoni mei 2 katika uwanja wa mkwakwani tanga kukabiliana na Emilio Norfat katika mpambano wa raundi 12 mbali na mpambano uho siku hiyo pia kutakuwa na mapambano mengine makala moja ya mpambano wenye mvuto zaidi ni kati ya bondia mwenye makazi yake mkoa wa Morogoro Cosmas Cheka atakaekabiliana na Said Mundi kutoa mkoa wa tanga
promota wa mpambano uho Ally Mwazoa aliongeza kwa kusema mbali na mapambano hayo kutakuwa na mapambano mengine...
10 years ago
Vijimambo15 Oct
NGUMI ZILIVYOPIGWA TANDIKA
10 years ago
VijimamboNGUMI ZA TPBC NA KINYOGOLI FONDITION ZILIVYOPIGWA
Mwenyekiti wa kamisheni ya ngumi za kulipwa TPBC Chaurembo Palasa kushoto akimkabidhi mtoto Salim Mponda kifuta jasha ambacho kilitolewa na mashabiki wa mchezo wa masumbwi yaliyofanyika jumamosi katika ukumbi wa panandi panandi ilala baada ya kuonesha shoo safi ya ngumi
Bondia Omari Mwezi kushoto akipambana na Raymond Mbwago wakati wa mpambano uliofanyika jumamosi katika ukumbi wa panandi panandi ilala Dar es salaam Bwago alishinda kwa point
Bondia Omari Mwezi kushoto akipambana na Raymond...
10 years ago
Vijimambo02 Dec
NGUMI ZILIVYOPIGWA KIBAHA MKOA WA PWANI
10 years ago
Vijimambo03 Nov
NGUMI ZILIVYOPIGWA MANZESE MASHALI, KAONEKA WASHINDA KWA K,O
5 years ago
MichuziREDCROSS TANGA YATOA MSAADA WA VIFAA VYA MAJI TIRIRIKA UWANJA WA MKWAKWANI TANGA
MENEJA wa uwanja wa CCM Mkwakwani Nasoro Makau kulia akitokea msaada wa vifaa vya maji tiririka kutoka kwa Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Msalaba Mwekundu Tanzania Mkoani Tanga (Red Cross) Ester Wiliam ambavyo vitatumika kuwekwa milangoni kwa ajili ya watazamaji wanaoingia kwenye uwanja huo kushuhudia michezo mbalimbali kuweza kunawa mikono ikiwa ni mapambano dhidi ya Covid 19 kulia ni Mratibu wa Shirika hilo Sada Kombo.
MENEJA wa uwanja wa CCM Mkwakwani Nasoro Makau akinawa mikono mara...
10 years ago
Vijimambo03 Jan
NGUMI ZILIVYOPIGWA MANZESE KATIKA KIPINDI CHA XMASI NA MWAKA MPYA
10 years ago
MichuziMABONDIA KUZIPIGA KESHO JUMAPILI UWANJA WA MKWAKWANI TANGA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-tcHJ6333pCU/Xm29BNh4ahI/AAAAAAAAgG4/3iPJOVceQO0_KvtX068cUTXqcWtCCxKMwCLcBGAsYHQ/s72-c/20200314_105237.jpg)
FAINALI YA MASHINDANO YA REDE KUPIGWA LEO MKWAKWANI TANGA
![](https://1.bp.blogspot.com/-tcHJ6333pCU/Xm29BNh4ahI/AAAAAAAAgG4/3iPJOVceQO0_KvtX068cUTXqcWtCCxKMwCLcBGAsYHQ/s640/20200314_105237.jpg)
Mkurugenzi wa Kampuni ya Five Brothers Intertaiment Nasoro Makau ambao ndio waandaaji wa Mashindano ya Rede Jijini Tanga akizungumza na waandishi wa habari kuelekea Fainali ya Mashindano hayo kushoto ni
Mratibu wa Mashindano hayo Zaituni Mango kulia ni Msimamizi wa Waamuzi Magdalena Liwemba
![](https://1.bp.blogspot.com/-XQoxevQPDRk/Xm29ITOsJzI/AAAAAAAAgG8/TS5B0YZ66zo9T7VVEvcDDojlvu2r4_vswCLcBGAsYHQ/s640/20200314_110702.jpg)
Mratibu wa Mashindano hayo Zaituni Mango akisisitiza jambo kulia ni Mkurugenzi wa Kampuni ya Five Brothers Intertaiment Nasoro Makau ambao ndio waandaaji wa Mashindano ya Rede Jijini Tanga na Msimamizi...