Lowassa, Kinana walikimbia jiji
SIKU tatu baada ya mchakato wa kumpata mgombea urais ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kumalizika mjini Dodoma, viongozi wa juu na wagombea urais kadhaa ndani ya chama hicho wameondoka jijini Dar es Salaam.
Mgombea aliyetikisa mchakato huo, Edward Lowassa, yupo kijijini kwake Ngarash wilayani Monduli huku Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana naye akiripotiwa kuwa jijini Arusha.
Taarifa zinasema kwamba viongozi hao wapo mkoani Arusha kwa ajili ya kujiandikisha katika Daftari la...
Raia Tanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-YTzJe7gNu7g/VZAca05or3I/AAAAAAAAgB0/JiM9SvMph8o/s72-c/29.jpg)
MKUTANO WA KINANA WAUTEKA JIJI LA MWANZA
![](http://1.bp.blogspot.com/-YTzJe7gNu7g/VZAca05or3I/AAAAAAAAgB0/JiM9SvMph8o/s640/29.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ZJHXVLCJ7Go/VZAch1cJZ0I/AAAAAAAAgB8/RizbQmFyktI/s640/21.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-F0zFuI203D0/VZAcrpCQ2pI/AAAAAAAAgCE/VZ0CWjsoIGw/s640/11.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-UoG2yIA1uE8/VZAdjt9wRcI/AAAAAAAAgCU/SClj7YRe11E/s640/14.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-tawJAgLUg4k/VZAdU7T5BUI/AAAAAAAAgCM/msO6wCj8KqE/s640/17.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-5I9OPe8aNI8/VZAdy9axKKI/AAAAAAAAgCc/w7jgdedefe0/s640/38.jpg)
9 years ago
Mtanzania19 Oct
Lowassa aliteka jiji la Mbeya
FREDY AZZAH, MBEYA
MGOMBEA Urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), anayeungwa mkono na Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa, amelifunga jiji la Mbeya kwa mapokezi na kuomba kura akisema hana mchezo na kazi.
Pia, ameendelea kuwasisitizia wananchi, umuhimu wa kulinda kura zao baada ya kupiga hadi kitakapoeleweka.
Lowassa aliyasema hayo jana kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika katika Viwanja vya Ruanda Nzovwe vilivyopo jijini hapa.
“Wana Mbeya, kuna rafiki yangu...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-nEg2Rwm_GIM/VWniR-_BzII/AAAAAAAHay0/lReYgI5H_LM/s72-c/MMGL2459.jpg)
LOWASSA ALITIKISA JIJI LA ARUSHA LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-nEg2Rwm_GIM/VWniR-_BzII/AAAAAAAHay0/lReYgI5H_LM/s640/MMGL2459.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-CvFmHCRh7AI/VWniRv94KcI/AAAAAAAHayw/W-5KngZaDzg/s640/MMGL2705.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-NCMhCwweheM/VZAMsNiUQlI/AAAAAAAC7t0/TJrpy1bswcc/s72-c/11.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA NA NAPE NNAUYE WATIKISA JIJI LA MWANZA LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-NCMhCwweheM/VZAMsNiUQlI/AAAAAAAC7t0/TJrpy1bswcc/s640/11.jpg)
Mkutano huo umefanyika kwenye viwanja vya Furahisha, Kirumba jijini Mwanza jioni ya leo. Ndugu Kinana ambaye katika ziara hiyo ameambatana na Katibu wa Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye,...
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/--1Naj32FCf0/VifI8reKnvI/AAAAAAAAvUU/_4z7QAY3a4w/s72-c/OTH_7774.jpg)
LOWASSA ALITIKISA JIJI LA TANGA KWA MARA NYINGINE TENA
![](http://2.bp.blogspot.com/--1Naj32FCf0/VifI8reKnvI/AAAAAAAAvUU/_4z7QAY3a4w/s640/OTH_7774.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-TOevUHNsbaA/VifJO6DMgAI/AAAAAAAAvUc/2Jr8hQiV_Sg/s640/OTH_8075.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-qrpRVjGD7y0/VifJu7MS8jI/AAAAAAAAvUs/4j39FqLvX50/s640/OTH_8085.jpg)
9 years ago
TheCitizen08 Oct
Lowassa was never appointed to run: Kinana
9 years ago
Habarileo12 Dec
Kinana amvaa Lowassa Arusha
KATIBU Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana amemjibu aliyekuwa mgombea urais wa Chadema, Edward Lowassa, aliyedai kuwa kazi nzuri anazofanya Rais John Magufuli, ni utekelezaji wa sera za vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa).
10 years ago
Mtanzania14 Mar
Kinana ammwagia sifa Lowassa
Na Mwandishi Wetu
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana, amemmwagia sifa Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa kuwa ni miongoni mwa viongozi waliotekeleza kikamilifu ilani ya chama hicho.
Kinana ambaye yupo mkoani Arusha kwa ziara ya chama hicho ya siku tisa, aliyasema hayo yeye na msafara wake alipopokewa katika Kata ya Makuyuni Wilaya ya Monduli.
“Napenda kumpongeza mbunge wa Monduli na Waziri Mkuu mstaafu kwa kazi kubwa ya maendeleo aliyoifanya katika jimbo...
10 years ago
Mwananchi14 Mar
Kinana: Lowassa safi, Nyalandu anazurura