Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kinana: Lowassa safi, Nyalandu anazurura

>Jana ilikuwa siku ya hisia tofauti kwa watu wawili wanaotajwa kwenye kinyang’anyiro cha urais, Edward Lowassa na Lazaro Nyalandu baada ya Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana kumsifu mmojawao na kumponda mwingine.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Uhuru Newspaper

Nyalandu atekeleza maagizo ya Kinana


NA MWANDISHI WETU, MBARALI
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, amemaliza mgogoro wa ardhi uliokuwa ukifukuta kwa zaidi ya miaka saba kati ya wananchi wa vijijii 21 na Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA).
Nyalandu, ambaye yuko ziarani mjini hapa, jana aliwaeleza wananchi kuwa serikali haiwezi kuwaacha wananchi wake wakanyanyasika hivyo ni lazima ichukue hatua.
Uamuzi huo wa serikali wa kumaliza mgogoro huo, ni utekelezaji wa maagizo ya Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, kuitaka...

 

10 years ago

Mtanzania

Nyalandu ampiga kijembe Kinana

Na Veronica Romwald, Dar es Salaam
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu jana alionekana kumpiga kijembe Katibu MKuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana aliposema kuwa sasa atakuwa anazurura angani.
Nyalandu alitoa kauli hiyo Dar es Salaam alipozindua ndege nyepesi (Micro-Light, 5H – Hel), ambayo itatumika kupambana na ujangili katika Hifadhi ya Taifa ya Selous.
“Karibuni wote, leo tunazururia hapa uwanja wa ndege na ninazindua ndege hii nyepesi ambayo imetengenezwa...

 

11 years ago

Michuzi

KATIBU MKUU WA CCM,KINANA AKAGUA MIRADI YA MAJI TAKA NA MAJI SAFI WILAYANI SUMBAWANGA MKOANI RUKWA LEO.

Mkurugenzi wa Majisafi na Majitaka Sumbawanga (SUWASA), mkoani Rukwa, Antipas Shirima akitoa maelezo kwa Katibu Mkuu wa CCM, Ndugu Abdulrahman Kinana kuhusu ujenzi wa tanki la lita milioni moja za majisafi linalojengwa katika mradi wa SUWASA unaotarajiwa kumalizika Machi 7, mwakani (2015). Mradi huo mpaka unakamilika utagharimu kiasi cha fedha shilingi Bilioni 30.Pamooja na kutembelea mradii wa maji safi,Kinana pia alitembelea mradi wa maji taka wilayani humo mapema leo.Ndugu Kinana...

 

10 years ago

Raia Tanzania

Lowassa, Kinana walikimbia jiji

SIKU tatu baada ya mchakato wa kumpata mgombea urais ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kumalizika mjini Dodoma, viongozi wa juu na wagombea urais kadhaa ndani ya chama hicho wameondoka jijini Dar es Salaam.

Mgombea aliyetikisa mchakato huo, Edward Lowassa, yupo kijijini kwake Ngarash wilayani Monduli huku Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana naye akiripotiwa kuwa jijini Arusha.

Taarifa zinasema kwamba viongozi hao wapo mkoani Arusha kwa ajili ya kujiandikisha katika Daftari la...

 

9 years ago

TheCitizen

Lowassa was never appointed to run: Kinana

CCM Secretary General Abdulrahman Kinana said its party didn't nominate  Mr Edward Lowassa  as  presidential candidate because he had done nothing to earn the role.

 

10 years ago

Mtanzania

Kinana ammwagia sifa Lowassa

Na Mwandishi Wetu
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana, amemmwagia sifa Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa kuwa ni miongoni mwa viongozi waliotekeleza kikamilifu ilani ya chama hicho.
Kinana ambaye yupo mkoani Arusha kwa ziara ya chama hicho ya siku tisa, aliyasema hayo yeye na msafara wake alipopokewa katika Kata ya Makuyuni Wilaya ya Monduli.
“Napenda kumpongeza mbunge wa Monduli na Waziri Mkuu mstaafu kwa kazi kubwa ya maendeleo aliyoifanya katika jimbo...

 

9 years ago

Habarileo

Kinana amvaa Lowassa Arusha

KATIBU Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana amemjibu aliyekuwa mgombea urais wa Chadema, Edward Lowassa, aliyedai kuwa kazi nzuri anazofanya Rais John Magufuli, ni utekelezaji wa sera za vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa).

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Kinana Katibu Mkuu wa aina yake-Lowassa


MBUNGE wa Monduli, Edward Lowassa, amesema uongozi wa Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, ni wa aina yake na ambao haujapata kutokea.
Alisema kasi hiyo haijawahi kutokea kwa makatibu wakuu waliopita na hivyo kummwagia sifa Kinana kwa kazi nzuri anayoifanya ya kukitumia Chama.
Lowassa alisema hayo juzi alipokuwa akitoa salamu za jimbo hilo mara baada ya kuwasili kwa Kinana na ujumbe wake katika Kijiji cha Oloksale.
Alisema endapo wabunge wote wa CCM wangetekeleza Ilani ya Chama hakungekuwa...

 

10 years ago

Vijimambo

Kinana Apata Wasaa Wa Kuongea Na Lowassa. Hivi Ndivyo ilivyokuwa

Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, akizungumza na aliyekuwa muomba ridhaa ya CCM kuwania Urais, Waziri Mkuu wa zamani Edward Lowassa, baada ya kumfuata alikokuwa ameketi wakati wa mkutano huo

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani