Nyalandu ampiga kijembe Kinana
Na Veronica Romwald, Dar es Salaam
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu jana alionekana kumpiga kijembe Katibu MKuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana aliposema kuwa sasa atakuwa anazurura angani.
Nyalandu alitoa kauli hiyo Dar es Salaam alipozindua ndege nyepesi (Micro-Light, 5H – Hel), ambayo itatumika kupambana na ujangili katika Hifadhi ya Taifa ya Selous.
“Karibuni wote, leo tunazururia hapa uwanja wa ndege na ninazindua ndege hii nyepesi ambayo imetengenezwa...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi12 Mar
Kinana abanwa, Nape ampiga kijembe Dk Slaa
9 years ago
Mwananchi06 Sep
Lusinde ampiga kijembe Mbatia
10 years ago
Raia Tanzania06 Jul
Kikwete ‘ampiga’ kijembe Lowassa
KATIKA hali ambayo ni nadra kujitokea, Rais Jakaya Kikwete, amewataka viongozi wa dini nchini ‘kulima mraba’ wao vizuri ili kulisaidia taifa, ikiwa ni pamoja na kutowapa nafasi viongozi wa siasa kutumia majukwaa ya dini kuendeleza maslahi yao ya kisiasa, na hasa kupandikiza chuki katika jamii.
Kikwete ambaye katika hotuba yake hiyo hakutaja jina la mtu yeyote, lakini kauli yake hiyo inaweza kuhusishwa na Waziri Mkuu aliyejiuzulu kwa kashfa ya kampuni tata ya kufua umeme ya Richmond,...
11 years ago
Mwananchi31 Dec
Rais Kikwete ampiga kijembe Tundu Lissu
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://1.bp.blogspot.com/-g6ZKH7jRsoY/VS_laVSN71I/AAAAAAAACGs/OYDZ2q6pA2Q/s72-c/waziri_nyalandu.jpg)
Nyalandu atekeleza maagizo ya Kinana
NA MWANDISHI WETU, MBARALI
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, amemaliza mgogoro wa ardhi uliokuwa ukifukuta kwa zaidi ya miaka saba kati ya wananchi wa vijijii 21 na Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA).
Nyalandu, ambaye yuko ziarani mjini hapa, jana aliwaeleza wananchi kuwa serikali haiwezi kuwaacha wananchi wake wakanyanyasika hivyo ni lazima ichukue hatua.
Uamuzi huo wa serikali wa kumaliza mgogoro huo, ni utekelezaji wa maagizo ya Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, kuitaka...
10 years ago
Mwananchi14 Mar
Kinana: Lowassa safi, Nyalandu anazurura
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/f5QbJIEIZ4z7MAED4q*-xypQ6wtYTSgG6v3Ig5HcAPio0F3904SYh5rJC9ZJ-5fYYJnRkFgX*Ohmi-7HzS5QPezlOGP2lL0g/Bond.jpg)
BOND AMRUSHIA KIJEMBE MTITU
9 years ago
Bongo Movies01 Jan
Wema Sepetu Amrushia kijembe Diamond!
SIMBA! Kufuatia lile sakata la jina la mnyama Simba ambapo Diamond amekuwa akijiita jina hilo siku za hivi karibuni na msanii Mr Blue kudai kuwa alilianzisha yeye kujiita simba huku mkongwe Afande Sele akisisitiza yeye ndiyo samba dume, mastaa wengi wa hapa bongo wamekuwa wakijiita majina ya wanyama ikiwa ni namna moja ya kuchombeza sakata hilo wakati msanii Alikiba akijiita kuwa yeye ndiyo balozi wa wanyama wote.
Naye staa wa Bongo Movies Wema sepetu hakuwa nyuma kwenye kuchombeza sakata...
9 years ago
Mwananchi16 Aug
JK, Magufuli warusha kijembe ‘kwa Ukawa’