Lowassa was never appointed to run: Kinana
CCM Secretary General Abdulrahman Kinana said its party didn't nominate  Mr Edward Lowassa  as  presidential candidate because he had done nothing to earn the role.
TheCitizen
Habari Zinazoendana
10 years ago
Daily News31 May
Lowassa declares wish to run for president in style
Daily News
FORMER Prime Minister and Monduli member of Parliament, Edward Lowassa has officially announced his aspiration to vie for the country's presidency ahead of October general elections. Addressing the multitude at Sheikh Amri Abeid Stadium in Arusha ...
10 years ago
Mtanzania14 Mar
Kinana ammwagia sifa Lowassa
Na Mwandishi Wetu
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana, amemmwagia sifa Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa kuwa ni miongoni mwa viongozi waliotekeleza kikamilifu ilani ya chama hicho.
Kinana ambaye yupo mkoani Arusha kwa ziara ya chama hicho ya siku tisa, aliyasema hayo yeye na msafara wake alipopokewa katika Kata ya Makuyuni Wilaya ya Monduli.
“Napenda kumpongeza mbunge wa Monduli na Waziri Mkuu mstaafu kwa kazi kubwa ya maendeleo aliyoifanya katika jimbo...
9 years ago
Habarileo12 Dec
Kinana amvaa Lowassa Arusha
KATIBU Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana amemjibu aliyekuwa mgombea urais wa Chadema, Edward Lowassa, aliyedai kuwa kazi nzuri anazofanya Rais John Magufuli, ni utekelezaji wa sera za vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa).
10 years ago
Raia Tanzania16 Jul
Lowassa, Kinana walikimbia jiji
SIKU tatu baada ya mchakato wa kumpata mgombea urais ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kumalizika mjini Dodoma, viongozi wa juu na wagombea urais kadhaa ndani ya chama hicho wameondoka jijini Dar es Salaam.
Mgombea aliyetikisa mchakato huo, Edward Lowassa, yupo kijijini kwake Ngarash wilayani Monduli huku Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana naye akiripotiwa kuwa jijini Arusha.
Taarifa zinasema kwamba viongozi hao wapo mkoani Arusha kwa ajili ya kujiandikisha katika Daftari la...
10 years ago
Mwananchi14 Mar
Kinana: Lowassa safi, Nyalandu anazurura
10 years ago
Uhuru Newspaper14 Mar
Kinana Katibu Mkuu wa aina yake-Lowassa
MBUNGE wa Monduli, Edward Lowassa, amesema uongozi wa Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, ni wa aina yake na ambao haujapata kutokea.
Alisema kasi hiyo haijawahi kutokea kwa makatibu wakuu waliopita na hivyo kummwagia sifa Kinana kwa kazi nzuri anayoifanya ya kukitumia Chama.
Lowassa alisema hayo juzi alipokuwa akitoa salamu za jimbo hilo mara baada ya kuwasili kwa Kinana na ujumbe wake katika Kijiji cha Oloksale.
Alisema endapo wabunge wote wa CCM wangetekeleza Ilani ya Chama hakungekuwa...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-xGXm-t8Pkjc/VaGl3UUIXmI/AAAAAAAAwjc/c8hNbAvGOro/s72-c/DSC_0119.jpg)
Kinana Apata Wasaa Wa Kuongea Na Lowassa. Hivi Ndivyo ilivyokuwa
![](http://3.bp.blogspot.com/-xGXm-t8Pkjc/VaGl3UUIXmI/AAAAAAAAwjc/c8hNbAvGOro/s640/DSC_0119.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-2SjFP9yJ1Ho/VaGl9ORO2JI/AAAAAAAAwjk/HPe5LiYLPoM/s640/DSC_0120.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-S_PeD_AEWoY/VaGmJKh1OlI/AAAAAAAAwjs/cnhuCQT8tJE/s640/DSC_0123.jpg)
10 years ago
MichuziLOWASSA- NAWAPONGEZA KATIBU MKUU WA CCM,NDUGU KINANA NA NAPE KWA KAZI KUBWA WANAYOIFANYA YA KUKIIMARISHA CHAMA
10 years ago
Vijimambo12 Aug
Lowassa ni mbinafsi “Watanzania mnatakiwa kufahamu kuwa mnapokutana na Lowassa, Ninyi sio kitu bali kitu ni Lowassa,”
![](http://i1.wp.com/dar24.com/wp-content/uploads/2015/08/polepole.jpg?resize=702%2C702)
HAMFREY POLEPOLE AMGALAGAZA VIBAYA MCHUNGAJI MSIGWA KWENYE MDAHARO
![](http://i2.wp.com/dar24.com/wp-content/uploads/2015/08/Msigwa.jpg?resize=595%2C300)