WAFANYABIASHARA MWANZA WAGOMA, KISA MWENYEKITI WAO KUNYIMWA DHAMANA
Baadhi ya maduka katika mitaa mbalimbali mkoani Mwanza yakiwa yamefungwa huku wananchi wakihangaika kutafuta huduma hiyo. Asilimia kubwa ya maduka yamefungwa. ...Hali ilikuwa hivi katika mitaa mbalimbali jijini Mwanza. Na Johnson James, GPL / Mwanza WAFANYABIASHARA wanaofanya shughuli…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboWAFANYABIASHARA MWANZA WAFUNGA MADUGA KUMSAPOTI MWENYEKITI WAO MINJA
![](http://4.bp.blogspot.com/-hJJLz0ayYbw/VNtygSEMUuI/AAAAAAAAPwY/tyr5nWdUc9A/s640/MWENYEKITI%2BMINJA%2B1.jpg)
10 years ago
Mtanzania21 Aug
Wafanyabiashara Mwanza wagoma
![Jiji la Mwanza](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/jiji-la-mwanza.jpg)
Jiji la Mwanza
SITTA TUMMA NA PETER FABIAN, MWANZA
WAFANYABIASHARA jijini hapa wamegoma. Mgomo huo ulianza jana asubuhi baada ya wafanyabiashara hao kusitisha huduma zote kwa kile walichoeleza kuwa ni kutoridhishwa na gharama za ushuru wanazotozwa na Halmashauri ya Jiji la Mwanza.
Mgomo huo unafanyika ikiwa ni siku moja kabla ya Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, kufanya ziara ya kiserikali jijini hapa.
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wafanyabiashara Tanzania (JWT) Jiji la Mwanza, Christopher Wambura,...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zQ2pP5BJqrU5nrBWsW01*r1xTJF9I4hAKVOw5t4KN8-XTHZwUa8KPGsWskce-vjtxlSXwdtcbtCoEDh48x*swH4RoKkr*fEB/MINJANEW.jpg?width=650)
MWENYEKITI WA WAFANYABIASHARA AACHIWA KWA DHAMANA DODOMA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/p9piKYn1mVK0YidHV6mbrxvBr2aXtVJdfJVlI-LluCuXu7RM-UGiN7b9CJtk-M5hjAFDNN6nsbcV0HvGtiiG86Ju4komTGiE/maduka5.jpg?width=650)
BAADHI YA WAFANYABIASHARA JIJINI DAR WAFUNGA MADUKA KUMUUNGA MKONO MWENYEKITI WAO
9 years ago
Mtanzania28 Aug
Wanasheria wavalia njuga Masha kunyimwa dhamana
Na Elias Msuya
CHAMA cha Wanasheria cha Tanganyika (TLS), kimelaani kitendo cha mwanachama wake ambaye amewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Lawrence Masha, kunyimwa dhamana mahakamani.
Katika taarifa yake iliyotolewa jana kwa vyombo vya habari, TLS imesema mahakama imekuwa na tabia ya kunyima watu haki yao hiyo kwa kisingizio cha kuhakiki nyaraka za dhamana.
Kutokana na hali hiyo, chama hicho kimesema kitaunda tume maalumu ya kuchunguza uvunjwaji wa taratibu za mahakama...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/v3DYtXKaFNqRYeXMviWMp60BG7aU0jJE5q79G3VJrsh9NDFoEkkoMH8gSyt5ePPN9Ufvqb7zraaKQ5o-P5IAwpacef1DAKqi/MGOMO.jpg)
WAFANYABIASHARA MUSOMA WAGOMA
11 years ago
Dewji Blog21 Jul
Wafanyabiashara wa Nyama Kibaha wagoma
Na Mwandishi wetu
Wafanyabiashara wa mabucha mjini Kibaha wamegoma kufanya shughuli hiyo kufuatia halmashauri ya mji wa Kibaha kuwahamisha kutoka machinjio ya awali na kuwapeleka katika machinjio mpya ambayo hawakuridhika nayo kutokana na kukosekana kwa miundombinu ya kutosha.
Msemaji wa wafanyabiashara aliyejitambulisha kwa jina la Bw.Athuman Mkanga amesema wao wameamuamua kuchukua uamuzi huo kufuatia halmashauri kutoa tamko la lazima ambalo linawataka wao kuhamia eneo hilo na...
9 years ago
Mwananchi26 Dec
Madereva wagoma Ilemela, kisa polisi kushusha nauli
10 years ago
MichuziMGOMO WA WAFANYABIASHARA IRINGA BAADHI WAGOMA KUSHIRIKIA