Wanasheria wavalia njuga Masha kunyimwa dhamana
Na Elias Msuya
CHAMA cha Wanasheria cha Tanganyika (TLS), kimelaani kitendo cha mwanachama wake ambaye amewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Lawrence Masha, kunyimwa dhamana mahakamani.
Katika taarifa yake iliyotolewa jana kwa vyombo vya habari, TLS imesema mahakama imekuwa na tabia ya kunyima watu haki yao hiyo kwa kisingizio cha kuhakiki nyaraka za dhamana.
Kutokana na hali hiyo, chama hicho kimesema kitaunda tume maalumu ya kuchunguza uvunjwaji wa taratibu za mahakama...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima17 Jun
Viongozi wavalia njuga ‘vimemo’
VIONGOZI wa serikali za vijiji vya Kata ya Maguha na Magubike, mkoani Morogoro, wameazimia kusambaratisha na kukomesha migogoro ya ardhi kwa kuvifikisha mahakamani vikaratasi vyote vya kugawana ardhi kwa njia...
11 years ago
Tanzania Daima29 Apr
Wake wa viongozi wavalia njuga ugonjwa wa saratani
UMOJA wa Wake wa Viongozi nchini, umezitaka taasisi na wadau mbalimbali kushirikiana na Hospitali ya Aga Khan ili kuwakomboa wanawake kutokana na ugonjwa wa saratani. Akizungumza jijini Dar es Salaam...
10 years ago
Mwananchi26 Aug
Masha apata dhamana
10 years ago
GPLWAFANYABIASHARA MWANZA WAGOMA, KISA MWENYEKITI WAO KUNYIMWA DHAMANA
10 years ago
GPL
MASHA AACHIWA KWA DHAMANA
10 years ago
Mwananchi22 Oct
Masha apanda kizimbani, apata dhamana
10 years ago
VijimamboALIYEKUWA WAZIRI WA MAMBO YA NDANI LAURENCE MASHA AKOSA DHAMANA AENDA MAHABUSU YA GEREZA LA SEGEREA
10 years ago
Michuzi
Aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani nchini, Lawrence Masha alipoachiwa baada ya kukamilisha masharti ya dhamana.


Masha alifikishwa mahakamani hapo jana...
11 years ago
BBCSwahili21 May
Wabunge wa EFF wavalia kama wafanyikazi