Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WAFANYABIASHARA MUSOMA WAGOMA

Hayo ni baadhi ya maduka ya wafanyabiashara wa Musoma yaliyofungwa. Maduka ya dawa yakiwa yamefungwa pia. Wafanyabishara Musoma wamegoma kuendelea na biashara wakishinikiza T.R.A kurekebisha mashine  za kodi.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Wafanyabiashara Mwanza wagoma

Jiji la Mwanza

Jiji la Mwanza

SITTA TUMMA NA PETER FABIAN, MWANZA

WAFANYABIASHARA jijini hapa wamegoma. Mgomo huo ulianza jana asubuhi baada ya wafanyabiashara hao kusitisha huduma zote kwa kile walichoeleza kuwa ni kutoridhishwa na gharama za ushuru wanazotozwa na Halmashauri ya Jiji la Mwanza.

Mgomo huo unafanyika ikiwa ni siku moja kabla ya Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, kufanya ziara ya kiserikali jijini hapa.

Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wafanyabiashara Tanzania (JWT) Jiji la Mwanza, Christopher Wambura,...

 

11 years ago

Dewji Blog

Wafanyabiashara wa Nyama Kibaha wagoma

machinjo

Na Mwandishi wetu

Wafanyabiashara wa mabucha mjini Kibaha wamegoma kufanya shughuli hiyo kufuatia halmashauri ya mji wa Kibaha kuwahamisha kutoka machinjio ya awali na kuwapeleka katika machinjio mpya ambayo hawakuridhika nayo kutokana na kukosekana kwa miundombinu ya kutosha.

Msemaji wa wafanyabiashara aliyejitambulisha kwa jina la Bw.Athuman Mkanga amesema wao wameamuamua kuchukua uamuzi huo kufuatia halmashauri kutoa tamko la lazima ambalo linawataka wao kuhamia eneo hilo na...

 

10 years ago

Michuzi

MGOMO WA WAFANYABIASHARA IRINGA BAADHI WAGOMA KUSHIRIKIA

Wananchi mbalimbali  wa mji  wa Iringa  wakiwa katika  soko  kuu mjini humo kupata  huduma  zao wakati sehemu mbali mbali huduma  zikiwa  zimesitishwa  kufuatia mgomo  wa wafanyabiashara  nchini, kushinikiza  jeshi la  polisi  kumwachia  huru mwenyekiti  wao  wa chama  cha  wafanyabiashara  nchini Bw  Johnson  Minja anayedaiwa  kushikiliwa na  jeshi la polisi kwa mahojiano.
Baadhi ya Maduka yakiwa yamefungwa kutokana na mgomo unaoendelea wa wafanyabiashara nchini.Moja  kati  ya  maduka  mjini...

 

10 years ago

GPL

WAFANYABIASHARA MWANZA WAGOMA, KISA MWENYEKITI WAO KUNYIMWA DHAMANA

Baadhi ya maduka katika mitaa mbalimbali mkoani Mwanza yakiwa yamefungwa huku wananchi wakihangaika kutafuta huduma hiyo. Asilimia kubwa ya maduka yamefungwa. ...Hali ilikuwa hivi katika mitaa mbalimbali jijini Mwanza. Na Johnson James, GPL /  Mwanza WAFANYABIASHARA wanaofanya shughuli…

 

10 years ago

Vijimambo

BASI LA MUSOMA EXPRESS LAPATA AJALI LIKITOKEA DAR KWENDA MUSOMA

 Basi la Musoma Express lenye namba za usajili T138 BDQ lililokuwa likitokea Dar es salaam kwenda Musoma limepata ajali majira ya saa 4 usiku  katika kijiji cha usanda shinyanga vijijini .
Basi hilo limepata ajali katika eneo la Usanda hatua chache baada ya kutoka katika mzani wa Tinde barabara ya Tinde Shinyanga.

Inaelezwa kuwa wakati dereva akiendesha basi hilo ghafla mwanamume  mmoja anayedaiwa kuwa ni mzee (mtembea kwa miguu) alikatisha barabarani na kusababisha ajali hiyo.
 wakizungumza na...

 

11 years ago

Michuzi

BIASHARA UNITED MUSOMA YAIBAMIZA POLISI VETERAN YA MUSOMA MABAO 2-0

Timu ya soka ya Biashara United ya mjini Musoma Mkoani Mara (pichani) inayojiandaa kwa  mchezo wa kirafiki dhidi ya timu ya soka ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, mwishoni mwa wiki imewabamizia Timu ya Polisi Veteran ya Mjini Musoma mabao 2-0 katika mchezo wa kirafiki uliofanyika katika uwanja wa Kumbukumbu ya Karume mjini Shinyanga.Mchezo huo ambao ulikuwa na kila aina ya ufundi kutoka kwa wachezaji wa timu zote kipindi cha kwanza kilimalizika baada ya timu hizo kutosha nguvu ya...

 

10 years ago

Daily News

Three killed in Musoma accident


Three killed in Musoma accident
Daily News
THREE people died on the spot and four others injured in a road accident involving a Toyota Noah in Mara Region, police reported on Tuesday. The accident occurred on Monday along Bunda - Musoma highway, according to the Mara Regional Police ...

 

10 years ago

GPL

AJALI YAUA 35 MUSOMA

WATU zaidi ya 35 wamefariki dunia katika ajali mbaya iliyoyahusisha magari matatu, mawili mabasi ya abiria na moja gari dogo aina ya Nissan Terano leo asubuhi eneo la SabaSaba, mjini Musoma.
Ajali hiyo imetokea baada ya basi la Kampuni ya J4 Express lenye namba za usajili T 677 CYC lililokuwa likitoka Musoma kuelekea Silari mkoani Mara kuligonga ubavuni gari dogo aina ya Nissan Terano lenye namba za usajili T 332 AKK na kulitupa mtoni kisha kugongana uso kwa uso na basi lingine la Kampuni...

 

10 years ago

Michuzi

tangazao la msiba musoma

Bwana Abiud Maregesi wa Kijitonyama Dar Es Salaam, anasikitika kutangaza kifo cha Mama yake mzazi, Mama Martha Maregesi, kilichotokea Jumanne, tarehe 04 Novemba 2014 katika Hospital ya Rufaa ya Musoma.  Mazishi yatafanyika Alhamisi tarehe 06 November 2014 kijiji Seka Majita Musoma.  Habari ziwafikie Ndugu, Jamaa na Marafiki popote walipo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani