tangazao la msiba musoma
Bwana Abiud Maregesi wa Kijitonyama Dar Es Salaam, anasikitika kutangaza kifo cha Mama yake mzazi, Mama Martha Maregesi, kilichotokea Jumanne, tarehe 04 Novemba 2014 katika Hospital ya Rufaa ya Musoma. Mazishi yatafanyika Alhamisi tarehe 06 November 2014 kijiji Seka Majita Musoma. Habari ziwafikie Ndugu, Jamaa na Marafiki popote walipo.
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-CSvqWNnkoJg/VHCK9-cxGaI/AAAAAAAAEvU/-e1VFarx8rw/s72-c/MUSOMA%2BEXPRESS.jpg)
BASI LA MUSOMA EXPRESS LAPATA AJALI LIKITOKEA DAR KWENDA MUSOMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-CSvqWNnkoJg/VHCK9-cxGaI/AAAAAAAAEvU/-e1VFarx8rw/s1600/MUSOMA%2BEXPRESS.jpg)
Basi hilo limepata ajali katika eneo la Usanda hatua chache baada ya kutoka katika mzani wa Tinde barabara ya Tinde Shinyanga.
Inaelezwa kuwa wakati dereva akiendesha basi hilo ghafla mwanamume mmoja anayedaiwa kuwa ni mzee (mtembea kwa miguu) alikatisha barabarani na kusababisha ajali hiyo.
wakizungumza na...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-KflJpP97m_E/U7MCleu3tMI/AAAAAAAFuAM/8x2XjBMh9Fs/s72-c/unnamed+(12).jpg)
BIASHARA UNITED MUSOMA YAIBAMIZA POLISI VETERAN YA MUSOMA MABAO 2-0
![](http://1.bp.blogspot.com/-KflJpP97m_E/U7MCleu3tMI/AAAAAAAFuAM/8x2XjBMh9Fs/s1600/unnamed+(12).jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-CLSjlE6R4zk/VjYQmWjGcLI/AAAAAAAID2o/n_pkPSf_Oxw/s72-c/unnamed%2B%252826%2529.jpg)
TANGAZAO KWA WASAMALIA WEMA: MTOTO CAREEN ANAHITAJI MSAADA
![](http://1.bp.blogspot.com/-CLSjlE6R4zk/VjYQmWjGcLI/AAAAAAAID2o/n_pkPSf_Oxw/s640/unnamed%2B%252826%2529.jpg)
Mtoto Careen Modest Kassuw pichani, ana umri wa mwaka mmoja, amezaliwa ana tatizo la Moyo ukiwa na matundu mawili na valvu zake nyembamba zimebana kiasi hivyo analazimika kusafirishwa kwenda India kwa matibabu.
Wazazi wa mtoto huyo wanaomba msaada wako wewe Mtanzania kwa atakayeguswa ili wafanikishe gharama za matibabu ya mtoto Careen ambayo ni Shilingi Milioni 30 zinahitajika ili kuokoa maisha yake.Ewe Mtanzania, ewe mzazi tunaomba mchango wako wa hali na mali, kwa atakayeguswa tunaomba...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-hWlzQcV6-Do/U1EZIO5mZaI/AAAAAAAFbrA/ndXgyRvXiLU/s72-c/unnamed.jpg)
SERENGETI FREIGHT FORWARDERS LTD WAZEE WA KAZI GOOD NEWS! TANGAZAO LA KUHAMA OFISI
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-NefYiu42lUw/VYcyC2AKTkI/AAAAAAAHiPU/LpOGIUxkdUU/s72-c/unnamed%2B%252848%2529.jpg)
MEMBE AHUDHURIA MSIBA WA MTOTO WA JENERALI MSUGURI NA KUHANI MSIBA WA JOHN NYERERE BUTIAMA MKOANI MARA
![](http://3.bp.blogspot.com/-NefYiu42lUw/VYcyC2AKTkI/AAAAAAAHiPU/LpOGIUxkdUU/s640/unnamed%2B%252848%2529.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima27 Jan
Mauaji ya kutisha Musoma
WATU watano wameuawa kikatili kwa kuchinjwa, kukatwa mapanga katika mfululizo wa matukio ya mauaji ya kinyama yanayoendelea kutokea katika wilaya za Musoma, Butiama na Rorya mkoani Mara. Kibaya zaidi, mauaji...
10 years ago
Tanzania Daima06 Sep
Ajali yaua 35 Musoma
WATU zaidi ya 37 wameripotiwa kufariki dunia papo hapo na wengine zadi ya 70 kujeruhiwa vibaya, baada ya mabasi mawili kugongana yakihusisha pia gari dogo moja katika ajali iliyotokea eneo...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/iRGkQSu08csMAtQ7T*pA58r-UGJ1jGOl2yLVk-QVVR7WQ9zIaI5hKiAEY5Y1DXDDfnPDXaIA4wDLusAYPTQNDZDO7E2aAeMV/breakingnews.gif)
AJALI YAUA 35 MUSOMA
Ajali hiyo imetokea baada ya basi la Kampuni ya J4 Express lenye namba za usajili T 677 CYC lililokuwa likitoka Musoma kuelekea Silari mkoani Mara kuligonga ubavuni gari dogo aina ya Nissan Terano lenye namba za usajili T 332 AKK na kulitupa mtoni kisha kugongana uso kwa uso na basi lingine la Kampuni...
9 years ago
TheCitizen16 Nov
Musoma readies itself for El nino