Ajali yaua 35 Musoma
WATU zaidi ya 37 wameripotiwa kufariki dunia papo hapo na wengine zadi ya 70 kujeruhiwa vibaya, baada ya mabasi mawili kugongana yakihusisha pia gari dogo moja katika ajali iliyotokea eneo...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-CSvqWNnkoJg/VHCK9-cxGaI/AAAAAAAAEvU/-e1VFarx8rw/s72-c/MUSOMA%2BEXPRESS.jpg)
BASI LA MUSOMA EXPRESS LAPATA AJALI LIKITOKEA DAR KWENDA MUSOMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-CSvqWNnkoJg/VHCK9-cxGaI/AAAAAAAAEvU/-e1VFarx8rw/s1600/MUSOMA%2BEXPRESS.jpg)
Basi hilo limepata ajali katika eneo la Usanda hatua chache baada ya kutoka katika mzani wa Tinde barabara ya Tinde Shinyanga.
Inaelezwa kuwa wakati dereva akiendesha basi hilo ghafla mwanamume mmoja anayedaiwa kuwa ni mzee (mtembea kwa miguu) alikatisha barabarani na kusababisha ajali hiyo.
wakizungumza na...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/tlB4pKQX5miP-7z4XJ-yFVZmna7U0Gteb9wdJ7Xa5DLro3wUuQa391vsLXvJ4a2EzoBbIt-1pzgdJG4J6npRsqPRYQYY734U/ajali.jpg)
AJALI MUSOMA YADAIWA NI KAFARA!
Stori: Musa Mateja aliyekuwa Mara
Inauma sana! Ajali mbaya iliyosababisha vifo vya watu 39 iliyohusisha Basi la Kampuni ya J4 Express lenye nambari za usajili T 677 CYC, lililokuwa likitoka Musoma kuelekea Sirari mkoani Mara baada ya kugongana uso kwa uso na basi lingine la Kampuni ya Mwanza Coach lenye nambari za usajili T 736 AWJ katika eneo la Saba Saba mjini Musoma mkoani Mara, Ijumaa iliyopita, imedaiwa kuna ushirikina au...
10 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-vHJy8mHNzag/VAmxVZ17zhI/AAAAAAAGe3I/oSCfZkNfuCI/s640/1.jpg)
TASWIRA YA AJALI MUSOMA SIKU YA JANA
Basi la Kampuni ya J4 EXPRESS lenye nambari za usajili T 677 CYC lililokuwa likitoka Musoma kuelekea Kilari Mkoani Mara likiwa limeumia vibaya sana baada ya kugongana uso kwa uso na Basi lingine la Kampuni ya MWANZA COACH lenye nambari za usajili T 736 AWJ katika eneo la SabaSaba, Mjini Musoma mchana siku ya jana.
Basi la Kampuni ya MWANZA COACH lililokuwa likitokea Musoma kwenda Mwanza linavyoonekana baada ya...
10 years ago
Eatv05 Sep
WATU ZAIDI YA 36 WAFARIKI KWA AJALI MUSOMA
WATU ZAIDI YA 36 WAFARIKI KWA AJALI MUSOMA!
Takribani watu zaidi ya 36 wanahofiwa kupoteza maisha baada ya magari mawili ya abiria kugongana uso kwa uso katika eneo la Sabasaba Musoma, mkoani Mara
Ajali hiyo imelihusisha basi la MWANZA COACH T736 AWJ lililogongana na gari lingine la J.4 Express T677 CYC.
Miili ya marehemu na majeruhi wamepelekwa katika hospitali ya mkoa iliyopo Musoma mjini.
R.I.P All na poleni sana wote mliofikwa na msiba huo
Takribani watu zaidi ya 36 wanahofiwa kupoteza maisha baada ya magari mawili ya abiria kugongana uso kwa uso katika eneo la Sabasaba Musoma, mkoani Mara
Ajali hiyo imelihusisha basi la MWANZA COACH T736 AWJ lililogongana na gari lingine la J.4 Express T677 CYC.
Miili ya marehemu na majeruhi wamepelekwa katika hospitali ya mkoa iliyopo Musoma mjini.
R.I.P All na poleni sana wote mliofikwa na msiba huo
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/tV6jtHhMLWxDMjShiHxXc5mEnqMkgsi2012sMnUelFlhKZUOfEP1uVppnfRUMtQBu06cZGlmyzLF2ezh7aGy04-kf-8qtl0r/2musoma2.jpg?width=650)
MWILI WA MAREHEMU WA AJALI YA MUSOMA WALETA KIZAAZAA
Wananchi mjini Musoma wakiwa eneo la makaburi ya Musima Bus kushuhudia tukio hilo. LEneo la makaburi ya Musima Bus walipozikwa baadhi ya marehemu wa ajali ya mabasi ya Mwanza Coach na J4 Express…
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/iRGkQSu08cuF3qInhReyuht5Eors1Od90bxtd8kEuiotnZnzw3eWvrb4LY5oaAUD9SI*5ehVVuVVxKYhOyK7Ph03vrWqAM1P/IMG20140905WA0000.jpg?width=650)
WATU ZAIDI YA 36 WAFARIKI KATIKA AJALI MUSOMA
Miili na majeruhi wakipokelewa katika Hospitali ya mkoa wa Mara. ...Baadhi ya maiti zikiwa zimefunikwa.…
10 years ago
Mwananchi16 Sep
AJALI YA MUSOMA: ‘Nilishuhudia watu wakitupwa huku na kule’
“Kama ambaye nilikuwa nikitazama filamu ya kutisha, nilishuhudi watu wakirushwa huku na huko, vilio na kelele za kukata tamaa zikisikika kila kona, sikujua kitu gani kilikuwa kinatokea mpaka baada ya muda fulani kupita,†anasimulia Asha Juma (19), mkazi wa Nyakato, Musoma aliyekuwa abiria kwenye basi la Mwanza Coach lililogongana na J4 Express hivi karibuni.
10 years ago
Michuzi06 Sep
SALAAMA ZA RAMBIRAMBI TOKA JUMUIYA YA WATANZANIA ITALI KUFUATIA AJALI YA MUSOMA
![](https://3.bp.blogspot.com/-JQxuUcXLTEE/VAs_TGyfphI/AAAAAAAAHQ0/_CIkgWcKJQo/s1600/logo-tanzania%2Bxx.jpg)
"Jana September 5 2014 kwenye eneo la Sabasaba Mjini Musoma ilitokea ajali mbaya sana ya mabasi mawili yakiwa na abiria na kulihusisha gari jingine dogo ambapo majeruhi ni zaidi ya 70 na waliofariki ni 39 Wanawake kwa Wanaume kwa mujibu wa taarifa mpya za vifo zilizotoka."
JUMUIYA YA WATANZANIA ITALIA IMEPOKEA TAARIFA ZA AJALI KWA MASIKITIKO NA MSHITUKO MKUBWA SANA.
TUNAWAPA POLE NDUGU JAMAA NA MARAFIKI WOTE WALIOPOTEZA...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania