Wafanyabiashara wa Nyama Kibaha wagoma
Na Mwandishi wetu
Wafanyabiashara wa mabucha mjini Kibaha wamegoma kufanya shughuli hiyo kufuatia halmashauri ya mji wa Kibaha kuwahamisha kutoka machinjio ya awali na kuwapeleka katika machinjio mpya ambayo hawakuridhika nayo kutokana na kukosekana kwa miundombinu ya kutosha.
Msemaji wa wafanyabiashara aliyejitambulisha kwa jina la Bw.Athuman Mkanga amesema wao wameamuamua kuchukua uamuzi huo kufuatia halmashauri kutoa tamko la lazima ambalo linawataka wao kuhamia eneo hilo na...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-NhEWNeZFDm0/U8l-SsEqEOI/AAAAAAAF3iA/F0tGINjlIQM/s72-c/c12d840eef0bf692177f.jpg)
WACHINJA NYAMA MJINI KIBAHA WAGOMA
![](http://2.bp.blogspot.com/-NhEWNeZFDm0/U8l-SsEqEOI/AAAAAAAF3iA/F0tGINjlIQM/s1600/c12d840eef0bf692177f.jpg)
SAKATA la Umoja wa wafanyabiashara wa nyama na mazao yake wilayani Kibaha mkoani Pwani (UWABINK) leo umechukua sura mpya baada ya kufanya mgomo wa kutochinja ngombe na kusababisha nyama kukosekana kwenye mji wa Kibaha na vitongoji vyake.
Kutokana na mgomo huo wa kutochinja ngombe kumesababisha nyama kukosekana katika maeneo ya kuanzia Maili Moja hadi Visiga na Kibamba CCM wilaya ya Kinondoni Jijijini Dar es Salaam.
Akizungumza na waandishi wa habari msemaji wa umoja...
11 years ago
MichuziWENYE BUCHA MOSHI WAGOMA KUUZA NYAMA KWA SIKU MBILI
Globu ya Jamii, Moshi
WAKAZI wa mji Manispaa ya Moshi, wametaabika kwa siku mbili sasa wakiwa hawapati kitoweo cha Nyama baada ya halmashauri ya manispaa hiyo na mamlaka ya udhibiti wa Chakula na dawa TFDA kuyafunga maduka ya nyama ambayo hayakidhi vigezo vya afya.
Katika hali inayoonesha kuwapo kwa mgomo wa wauza...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/v3DYtXKaFNqRYeXMviWMp60BG7aU0jJE5q79G3VJrsh9NDFoEkkoMH8gSyt5ePPN9Ufvqb7zraaKQ5o-P5IAwpacef1DAKqi/MGOMO.jpg)
WAFANYABIASHARA MUSOMA WAGOMA
10 years ago
Mtanzania21 Aug
Wafanyabiashara Mwanza wagoma
![Jiji la Mwanza](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/jiji-la-mwanza.jpg)
Jiji la Mwanza
SITTA TUMMA NA PETER FABIAN, MWANZA
WAFANYABIASHARA jijini hapa wamegoma. Mgomo huo ulianza jana asubuhi baada ya wafanyabiashara hao kusitisha huduma zote kwa kile walichoeleza kuwa ni kutoridhishwa na gharama za ushuru wanazotozwa na Halmashauri ya Jiji la Mwanza.
Mgomo huo unafanyika ikiwa ni siku moja kabla ya Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, kufanya ziara ya kiserikali jijini hapa.
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wafanyabiashara Tanzania (JWT) Jiji la Mwanza, Christopher Wambura,...
10 years ago
MichuziMGOMO WA WAFANYABIASHARA IRINGA BAADHI WAGOMA KUSHIRIKIA
10 years ago
Tanzania Daima13 Sep
Wafanyabiashara Kibaha wafunga maduka
WAFANYABIASHARA zaidi ya 50 wa mji wa Kibaha Mkoani Pwani, wamefunga maduka yao kuwaunga mkono wafanyabiashara saba waliofungiwa maduka na Mamlaka ya Mapato (TRA), mkoani hapa kutokana na kukosa mashine...
10 years ago
GPLWAFANYABIASHARA MWANZA WAGOMA, KISA MWENYEKITI WAO KUNYIMWA DHAMANA
5 years ago
MichuziWAFANYABIASHARA WAASWA KUTOPANDISHA BEI YA NYAMA MSIMU HUU WA SIKUKUU
Akizungumza jana Mei 18,2020 jijini Dar es Salaam, Naibu Waziri Mhe.Ulega amemtaka pia Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilala, Bw. Jumanne Shauri ndani ya siku saba kuhakikisha wanawapeleka wafanyabiashara wanaofanya biashara katika machinjio ya vingunguti kujionea eneo jipya...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-IgFolVmSdDc/VikjJaybHvI/AAAAAAADBTo/f7T2dsjsQD4/s72-c/_MG_8626.jpg)
Magufuli afanya mikutano ya kampeni katika jimbo la Kibamba,Kawe,Chalinze,Kibaha vijijini na Kibaha mjini jijini Dar leo.
![](http://2.bp.blogspot.com/-IgFolVmSdDc/VikjJaybHvI/AAAAAAADBTo/f7T2dsjsQD4/s640/_MG_8626.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-v71L4Lfc83g/VikjJoulG3I/AAAAAAADBTs/ynUqrQMxGMs/s640/_MG_8581.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-VeSlQCeD2Lw/VikjSh8EWJI/AAAAAAADBUU/roQcPwLizU0/s640/_MG_8765.jpg)