Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WAFANYABIASHARA WAASWA KUTOPANDISHA BEI YA NYAMA MSIMU HUU WA SIKUKUU

Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Abdallah Ulega amewataka wafanyabiashara wanaouza nyama nchini kutopandisha bei ya nyama kipindi hiki cha sikukuu ya Eid El Fitr  ili kuhakikisha kila mwananchi anapata kitoweo hicho.
Akizungumza jana Mei 18,2020 jijini Dar es Salaam, Naibu Waziri Mhe.Ulega amemtaka pia Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilala, Bw. Jumanne Shauri ndani ya siku saba kuhakikisha wanawapeleka wafanyabiashara wanaofanya biashara katika machinjio ya vingunguti kujionea eneo jipya...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Waonywa kutopandisha bei Mwezi Mtukufu

>Wafanyabiashara wametakiwa kuacha tamaa ya kujipatia faida kubwa kipindi hiki cha Mwezi Mtukufu wa Ramadhan kwa kupandisha bei za bidhaa na hivyo kuwapa wakati mgumu wafungaji.

 

10 years ago

Michuzi

KITUO CHA RADIO 5 CHAANDAA “KAMPENI YA RADIO 5 VIWANJANI”MSIMU HUU WA SIKUKUU YA XMASS NA MWAKA MPYA

SAM_0369Radio 5 FM 105.7 imeandaa "kampeni ya RADIO 5 viwanjani" katika mkoa wa Arusha ambapo itawakutanisha watangazaji  na madjs na wasikilizaji wao katika kumbi za starehe kwa takribani wiki tano ikiwa ni sehemu ya kuwashukuru mashabiki wa Redio hiyo kwa kuwa pamoja kwa mwaka mzima huku mashabiki wakijipatia zawadi mbalimbali katika kampeni hiyo(katika picha ni Mtangazaji wa kituo cha Redio 5 Julius Kamafa aliyejizolea umaarufu mkubwa jijini Arusha kupitia kipindi chake cha funiko base ...

 

10 years ago

Mwananchi

Walipachika mabao msimu uliopita, msimu huu chali

Ligi Kuu Tanzania Bara imesimama kwa muda wa mwezi mmoja huku timu zote zikiwa zimeshacheza michezo saba na Mtibwa Sugar ndiyo inaongoza msimamo wa ligi hiyo ikiwa na pointi 15.

 

5 years ago

Michuzi

BEI YA SUKARI YATANGAZWA, SERIKALI YAONYA WAFANYABIASHARA WANAOPANDISHA BEI KIHOLELA

 Waziri wa Viwanda na Biashara, Innocent Bashungwa akizungumza na wandishi wa habari leo katika mkutano wa pamoja na Waziri wa Kilimo ambapo wametangaza bei mpya ya sukari na kutoa onyo kwa wafanyabiashara ambao watapandisha bei kiholela.Waziri wa Kilimo, Josephat Hasunga (kulia) akitangaza bei mpya ya sukari nchini baada ya sukari kupanda ghafla katika kipindi hiki cha ugonjwa wa Corona, pembeni yake ni Waziri wa Viwanda na Biashara, Innocent Bashungwa.
Charles James, Michuzi TVSERIKALI...

 

11 years ago

GPL

10 years ago

Mwananchi

Mwongozo kwa wanunuzi wa laptop msimu wa sikukuu

Mwanzoni kompyuta mpakato hazikuwavutia watu wengi kwa sababu ya kuuzwa kwa bei kubwa. Pia umbile lake kubwa halikuwapendezwa watumiaji wengi.

 

10 years ago

GPL

MSIMU WA SIKUKUU LE MBEBIZ IMEKULA KIPANDE YAKE

Oya masela inakuwa nini kwa kitaa hiyo? Ni mzuka? Kipande hii ni mpango mzima. Mambo vipi hapo kwa wanangu Wanyalu kwa fasi ya Iringa? Basi barida machalii wangu! Hivi washkaji yale mangawira ya eskro ndo imetoka au? Maana naona mafisadi waliotuhumiwa wanadunda tu kitaa wakati maraia wanasafa kinoma. Ni mwendo wa kuungaunga wakati wao wanapeta mwanzo mwisho. Kama vipi tukomae hadi kieleweke! Wasiporudisha hakyanani neksti...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kisarawe waaswa wasichague viongozi wa msimu

WANANCHI wilayani Kisarawe, Mkoa wa Pwani, wametakiwa kuchagua viongozi ambao watakuwa nao karibu katika shughuli mbalimbali za kimaendeleo badala ya wale wa kuwagawia zawadi huku wakiwaacha bila kushirikiana nao hadi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani