Waonywa kutopandisha bei Mwezi Mtukufu
>Wafanyabiashara wametakiwa kuacha tamaa ya kujipatia faida kubwa kipindi hiki cha Mwezi Mtukufu wa Ramadhan kwa kupandisha bei za bidhaa na hivyo kuwapa wakati mgumu wafungaji.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo29 Jun
RC aonya watakaopaisha bei za bidhaa mwezi mtukufu
MKUU wa Mkoa wa Dodoma Dk Rehema Nchimbi amewataka wafanyabiashara mkoani hapa kutopandisha bei ya bidhaa katika mwezi mtukufu wa Ramadhani.
11 years ago
CloudsFM02 Jul
BEI ZA VYAKULA JIJINI DAR ZAPANDA MFUNGO WA MWEZI MTUKUFU WA RAMADHANI
BAADHI ya wakazi wa Jiji la Dar es Salaam, wamelalamikia bei kubwa za vyakula katika kipindi hiki cha Mfungo wa mwezi Mtukufu wa Ramadhani kwenye badhi ya masoko jijini humo.
Wakizungumza kwa nyakati tofauti, wakazi wa jiji hilo Bw. Khamis Mshaka na Bi. Salma Jumbe, walisema baadhi ya wafanyabiashara wanapandisha bei ya vyakula ili kupata faida.
Walisema hali hiyo inawafanya wananchi wengi hasa wenye kipato kidogo washindwe kumudu bei za vyakula wanapokwenda sokoni.
“Tabia hii si nzuri na...
5 years ago
MichuziWAFANYABIASHARA WAASWA KUTOPANDISHA BEI YA NYAMA MSIMU HUU WA SIKUKUU
Akizungumza jana Mei 18,2020 jijini Dar es Salaam, Naibu Waziri Mhe.Ulega amemtaka pia Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilala, Bw. Jumanne Shauri ndani ya siku saba kuhakikisha wanawapeleka wafanyabiashara wanaofanya biashara katika machinjio ya vingunguti kujionea eneo jipya...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EwLJgW6X-wXsASYapn4rG7V673y8P8aEb88xk4LWm0Q2ExiEZZJX-Wkd89fJ4kcTuKg7VB9uz1PLciKthekwUqEJn12JJ4B6/amini.jpg?width=650)
MWEZI MTUKUFU MKOROGO UTANIKOMA - MAIMARTHA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/o1QX7UF1Vt7Ksdskwz3o6DK6JYYa-fEAXsJpLObZYuBUl0kSoUnEXj6398dnDw6BW36ugqAgpOwZT2pvchoS4FTzfh3fWHFt/CHEKANAKITIME.jpg)
MWEZI MTUKUFU, DHAMBI ZOTE POO!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yO1JdgjIDGaCM0cfE2TsVdaTTDF8PqYK2frUkGpDvismrg-s6Bc-8Hb*-x7Z*ygyGTkEyOxjVAMhtTjHJRaQFj7JQvajDwG4/MAMAWEMA.jpg?width=650)
MASTAA TUJIRUDI, HUU NI MWEZI MTUKUFU
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-HoKvkav3sy0E4fmzVHy3m2L0uXbbcf-xdS3j1GuWcwzRVKrBLoVm8rgK*VmBVrH7rbIYv1MEmaWgiiwJUPBCGy48xPNOk1W/BACKRISASI.jpg?width=650)
MWEZI MTUKUFU WAMUOKOA MTUHUMIWA WA WIZI
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-hkjARShYk8E/U4-4TBojY3I/AAAAAAAFnwU/v3qnAh2WAa8/s72-c/unnamed+(14).jpg)
Mualiko wa Kongamano la 6 la Kukaribisha Mwezi mtukufu wa Ramadhan
![](http://3.bp.blogspot.com/-hkjARShYk8E/U4-4TBojY3I/AAAAAAAFnwU/v3qnAh2WAa8/s1600/unnamed+(14).jpg)
TAMPRO ni Taasisi ya wanataaluma wa Kiislamu katika fani mbali mbali iliyosajiriwa Mwaka 1997 kwa lengo la kuwaleta pamoja wanataaluma wa kiislamu kulitumikia taifa huku...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-dA1zu_LdYa4/VZAfYmZpM8I/AAAAAAADuBg/Oh-kQfwo6jw/s72-c/4b7915542f7edae79870e4afa53a312c.jpg)
NGUO ZA MWEZI MTUKUFU NA EID ZIMEWASILI DMV
![](http://3.bp.blogspot.com/-dA1zu_LdYa4/VZAfYmZpM8I/AAAAAAADuBg/Oh-kQfwo6jw/s640/4b7915542f7edae79870e4afa53a312c.jpg)