NGUO ZA MWEZI MTUKUFU NA EID ZIMEWASILI DMV
![](http://3.bp.blogspot.com/-dA1zu_LdYa4/VZAfYmZpM8I/AAAAAAADuBg/Oh-kQfwo6jw/s72-c/4b7915542f7edae79870e4afa53a312c.jpg)
Mzigo umeingia dmv from bara Arabu nguo za kila aina za mwezi mtukufu na Eid Karibuni sana piga no 2407066333hakutakuwa na mkopo Asanteni
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi01 Jul
Waonywa kutopandisha bei Mwezi Mtukufu
>Wafanyabiashara wametakiwa kuacha tamaa ya kujipatia faida kubwa kipindi hiki cha Mwezi Mtukufu wa Ramadhan kwa kupandisha bei za bidhaa na hivyo kuwapa wakati mgumu wafungaji.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EwLJgW6X-wXsASYapn4rG7V673y8P8aEb88xk4LWm0Q2ExiEZZJX-Wkd89fJ4kcTuKg7VB9uz1PLciKthekwUqEJn12JJ4B6/amini.jpg?width=650)
MWEZI MTUKUFU MKOROGO UTANIKOMA - MAIMARTHA
Stori: Hamida Hassan
Mtangazaji ambaye pia ni mjasiriamali, Maimartha Jesse amesema anafurahia ujio wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kwani kazi yake itakuwa ni kutulia na kujipodoa tu.Akipiga stori na Ijumaa Mai alisema mwezi huo huwa mishemishe zake zikiwemo za u-MC anaziweka kando na kwamba atatumia muda mwingi kutengeneza mwili wake. Mtangazaji ambaye pia ni mjasiriamali, Maimartha Jesse “Yaani mkorogo utanikomaje,...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/o1QX7UF1Vt7Ksdskwz3o6DK6JYYa-fEAXsJpLObZYuBUl0kSoUnEXj6398dnDw6BW36ugqAgpOwZT2pvchoS4FTzfh3fWHFt/CHEKANAKITIME.jpg)
MWEZI MTUKUFU, DHAMBI ZOTE POO!
Wakati nilikuwa mdogooo tulikuwa na taratibu za kuwekeana ‘poo’. Katika utaratibu huo ilikuwa mnawekeana makubaliano na mwenzio au wenzio mliokuwa nao kuwa kila kitu kinasimama mpaka baadaye bila kukorofishana. Kwa mfano kama mlikuwa mnacheza mchezo wa kujificha, ghafla unaitwa kwenu, basi utatoka ulikokuwa umejificha huku unawaambia wenzio, ‘Jamani poo nimeitwa na mama’ basi unaruhusiwa kwenda...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-HoKvkav3sy0E4fmzVHy3m2L0uXbbcf-xdS3j1GuWcwzRVKrBLoVm8rgK*VmBVrH7rbIYv1MEmaWgiiwJUPBCGy48xPNOk1W/BACKRISASI.jpg?width=650)
MWEZI MTUKUFU WAMUOKOA MTUHUMIWA WA WIZI
Chande Abdallah
Bahati ilioje! Kibaka mmoja aliyejulikana kama Baba Hawa, mkazi wa Sinza Kamanyola jijini Dar juzikati nusura auawe kwa kuchomwa moto na wananchi wenye hasira baada ya kunaswa akiiba kinyonyeo cha kompyuta (flash) kwenye duka moja la vifaa vya ofisini (stationery) lililopo Bamaga, Mwenge. Kwa mujibu wa wafanyakazi wa duka hilo, mtu huyo aliingia kwa mbwembwe kama mteja wa kawaida akiomba kutolewa fotokopi ya...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yO1JdgjIDGaCM0cfE2TsVdaTTDF8PqYK2frUkGpDvismrg-s6Bc-8Hb*-x7Z*ygyGTkEyOxjVAMhtTjHJRaQFj7JQvajDwG4/MAMAWEMA.jpg?width=650)
MASTAA TUJIRUDI, HUU NI MWEZI MTUKUFU
WAUMINI wa dini ya Kiislamu kote duniani, hivi sasa wapo katika mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, ambao hutokea kila mwaka, kuelekea Sikukuu ya Idd el Fitr. Ni siku zipatazo 30 ambazo Waislamu wanatakiwa kuacha kutenda dhambi, sambamba na kufunga kula chakula nyakati za mchana. Ingawa siku zote za maisha yetu hapa duniani tunatakiwa kuacha kutenda dhambi, kufanya mambo ya kumpendeza Mungu na kuwa watu wema, lakini mwezi huu...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/--GjTSxxCg8w/XqGfVZsy6VI/AAAAAAAA_e8/MsIGxVXfD4kxvp7GcvYBPTweStH9bKBJQCNcBGAsYHQ/s72-c/1e943c61-0fde-4a0b-b71f-cb67c7b20b80.jpg)
DK. SHEIN ATOA SALAMU ZA MWEZI MTUKUFU WA RAMADHAN
![](https://1.bp.blogspot.com/--GjTSxxCg8w/XqGfVZsy6VI/AAAAAAAA_e8/MsIGxVXfD4kxvp7GcvYBPTweStH9bKBJQCNcBGAsYHQ/s400/1e943c61-0fde-4a0b-b71f-cb67c7b20b80.jpg)
Pia aliwatakia waislamu wote mfungo mwema wa Mwezi huu wa Ramadhani kwa kufanya ibada mbali mbali ikiwemo sadaka na zaka na mengineyo pia kuondokana na mikusanyiko isiyofaa kuyaepuka maradhi yaliyoingia Duniani kote na kufuatana maelekezo yanayotolewa na Viongozi wao pamoja na kujihifadhi na...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-hkjARShYk8E/U4-4TBojY3I/AAAAAAAFnwU/v3qnAh2WAa8/s72-c/unnamed+(14).jpg)
Mualiko wa Kongamano la 6 la Kukaribisha Mwezi mtukufu wa Ramadhan
![](http://3.bp.blogspot.com/-hkjARShYk8E/U4-4TBojY3I/AAAAAAAFnwU/v3qnAh2WAa8/s1600/unnamed+(14).jpg)
TAMPRO ni Taasisi ya wanataaluma wa Kiislamu katika fani mbali mbali iliyosajiriwa Mwaka 1997 kwa lengo la kuwaleta pamoja wanataaluma wa kiislamu kulitumikia taifa huku...
11 years ago
Habarileo29 Jun
RC aonya watakaopaisha bei za bidhaa mwezi mtukufu
MKUU wa Mkoa wa Dodoma Dk Rehema Nchimbi amewataka wafanyabiashara mkoani hapa kutopandisha bei ya bidhaa katika mwezi mtukufu wa Ramadhani.
5 years ago
MichuziDKT SHEIN ATOA SALAM ZA MWEZI MTUKUFU WA RAMADHAN
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania