CHANGAMOTO YA UMEME NA UTITIRI WA KODI VYALALAMIKIWA MKOA WA MARA
![](https://1.bp.blogspot.com/-BgFI9PrzVYw/XlUPyArYONI/AAAAAAALfRQ/ynG9GOYVJkU3aThGAb3lJg15CyP6V8IwQCLcBGAsYHQ/s72-c/N2-2.jpg)
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji) Mhe. Angellah Kairuki akipata maelezo kuhusu biashara ya ngozi kutoka kwa mfanyabiashara na mfugaji Bw. Jonath Magige wakati wa maonesho ya wafanyabiashara walioshiriki katika mkutano wa mashauriano kati ya Serikali na Sekta binafsi ili kusikiliza changamoto za wawekezaji na wafanyabiashara uliofanyika Wilaya ya Musoma Mjini Mkoa wa Mara.
Naibu Waziri Viwanda na Biashara Mhe. Mhandisi Stella Manyanya akijibu hoja za wawekezaji na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi26 Nov
Utitiri wa kodi waikwaza TCCIA
10 years ago
Mwananchi27 Feb
Walia na utitiri wa kodi nchini
10 years ago
Mwananchi02 Apr
Utitiri wa kodi nchini wamkera Kinana
9 years ago
Dewji Blog14 Oct
Salim Asas alia na utitiri wa kodi
![](http://3.bp.blogspot.com/-7ChM46M9FoY/Vhv3FPEzw6I/AAAAAAAAF68/8tqkdtM5mOU/s640/risala.jpg)
Mkurugenzi wa makampuni ya Asas, Salim Abri akisoma risala fupi kwa Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Dkt Titus Kamani hivi karibuni. (Picha na Friday Simbaya).
IRINGA: Mkurugenzi wa makampuni ya Asas, Salim Abri ameiomba serikali kuondoa kodi ya ongezeko la thamani (VAT) kwenye mazao ya maziwa ambayo ni siagi, jibini, samli, cream na maziwa yenye ladha za matunda.
Salim alitoa kilio hicho mbele ya Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Dkt. Titus Kamani alipotembea kiwanda cha...
9 years ago
Mwananchi25 Sep
Tanesco yatoa sababu kukatika umeme mara kwa mara
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-SWEbNM-m1mQ/XpVRM5yWm0I/AAAAAAALm40/1FURc384GJ0VDBTfM56J1zJnAy_w9od7ACLcBGAsYHQ/s72-c/85f2ecd1-1313-4f77-b867-e4105a025dcb.jpg)
Uhamiaji Mkoa wa Mara yapokea Kontena kutoka Barrick North Mara
![](https://1.bp.blogspot.com/-SWEbNM-m1mQ/XpVRM5yWm0I/AAAAAAALm40/1FURc384GJ0VDBTfM56J1zJnAy_w9od7ACLcBGAsYHQ/s640/85f2ecd1-1313-4f77-b867-e4105a025dcb.jpg)
Akiongea wakati akipokea kontena hilo Afisa uhamiaji Mkoa wa Mara Naibu Kamishna wa Uhamiaji DCI Albert Rwelamila aliwapongeza wakurugenzi wa Barrick North Mara...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-a2AmfGQwHa8/VQwb5XCk48I/AAAAAAAAGo0/O4V4DkqAN-U/s72-c/IMG_5477.jpg)
WAFANYABIASHARA MANISPAA YA SUMBAWANGA WALALAMIKIA KODI MBALIMBALI SERIKALINI, MKUU WA MKOA WA RUKWA AWATAKA KUWA WAZALENDO KULIPA KODI KWA HIARI KUJENGA NCHI YAO
![](http://2.bp.blogspot.com/-a2AmfGQwHa8/VQwb5XCk48I/AAAAAAAAGo0/O4V4DkqAN-U/s1600/IMG_5477.jpg)
10 years ago
Habarileo25 Dec
Vijiji 45 kupata umeme Mara
WAZIRI wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo, amesema vijiji 45 mkoani Mara vinatarajiwa kuunganishiwa na huduma ya umeme kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA).
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-okFeQL6KYvw/VCCB7-TLexI/AAAAAAAGlIw/tTP4yqvJMtc/s72-c/4.jpg)
Mradi wa TEDAP kutatua changamoto za upatikanaji wa umeme Jijini Dar
![](http://4.bp.blogspot.com/-okFeQL6KYvw/VCCB7-TLexI/AAAAAAAGlIw/tTP4yqvJMtc/s1600/4.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-p7fuzFa92CA/VCCB-GeA7NI/AAAAAAAGlI4/YmXqCGK0n-o/s1600/5.jpg)