Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Usafirishaji wa reli waikwaza TPA

Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa TPA, Awadhi Massawe KUSHUKA kwa kiwango cha uondoshaji mizigo bandarini kwa njia ya reli kutoka asilimia 10 mwaka 2008 hadi kufikia asilimia moja hivi sasa, kumeathiri uwezo wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) kuweza kushindana kikamilifu na bandari za jirani.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Raia Tanzania

Serikali iisaidie TPA kuhusu Reli

MIONGONI mwa taasisi nyeti hapa nchini ni Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari  (TPA) ambayo kupitia shughuli zake, serikali hukusanya walau asilimia 40 ya mapato yake ya ndani kwa mwaka.

Hiki ni kiasi kikubwa cha mapato na kwa sababu hii kuna kila ulazima wa serikali kuhakikisha TPA inapata kila aina ya ushirikiano ili iweze kupata mapato zaidi na hivyo kutunisha mfuko wa serikali.

Kuna njia nyingi ambazo serikali inaweza kuzitumia kuboresha bandari. Mojawapo, na ya muhimu kuliko zote...

 

11 years ago

Dewji Blog

Wakulima Dodoma, wasifu Ufanisi wa TPA katika kuwezesha Usafirishaji wa Mazao na Uagizaji wa Pembejeo za Kilimo

PIC 1

Mwenyekiti wa ALAT Mkoa wa Dodoma na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa, Bw.  Hamis Abdallah Mwenda (kushoto) akipata maelezo katika Banda la TPA lililopo viwanja vya nanenane Nzuguni, Dodoma kutoka kwa Afisa Mawasiliano, Bw. Focus Mauki (kulia). Katikati ni Afisa Mkuu wa TPA, Bi. Lydia Mallya.

PIC 2

Afisa Mawasiliano, Bw. Focus Mauki (wapili kushoto) akifafanua jambo kwa Mwenyekiti wa ALAT Mkoa wa Dodoma na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa, Bw.  Hamis Abdallah Mwenda...

 

11 years ago

GPL

WAKULIMA DODOMA, WASIFU UFANISI WA MAMLAKA YA USIMAMIZI WA BANDARI TANZANIA (TPA) KATIKA KUWEZESHA USAFIRISHAJI WA MAZAO NA UAGIZAJI WA PEMBEJEO ZA KILIMO.

Mwenyekiti wa ALAT Mkoa wa Dodoma na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa, Bw.  Hamis Abdallah Mwenda (kushoto) akipata maelezo katika Banda la TPA lililopo viwanja vya Nane nane Nzuguni, Dodoma kutoka kwa Afisa Mawasiliano, Bw. Focus Mauki (kulia). Katikati ni Afisa Mkuu wa TPA, Bi. Lydia Mallya. Afisa Mawasiliano, Bw. Focus Mauki (wa pili kushoto) akifafanua jambo kwa Mwenyekiti wa ALAT Mkoa wa Dodoma na...

 

10 years ago

Mwananchi

Utitiri wa kodi waikwaza TCCIA

Chama cha Wafanyabiashara wenye Viwanda na Kilimo Tanzania (TCCIA), mkoani Lindi kimeishauri Serikali kukabidhi kazi ya ukusanyaji kodi kwa mamlaka husika ili kupunguza mrundikano wa vyombo vinavyokusanya kodi.

 

11 years ago

Mwananchi

Reli yawatunuku askari reli watunukiwa

Polisi wa Kikosi cha Reli wametunukiwa zawadi mbalimbali askari ikiwamo vyeti baada ya kukamata shehena ya mataruma na reli vyenye thamani ya zaidi ya Sh285 milioni.

 

11 years ago

Tanzania Daima

NBS na mageuzi ya usafirishaji

UNAPOZUNGUMZIA kampuni kongwe za usafirishaji abiria na mizigo ndani ya nje ya Mkoa wa Tabora, huwezi kuacha kuitaja kampuni ya NBS Classic Co. Ltd ‘The Pride of Tabora’. Kampuni hiyo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bandari kurahisisha usafirishaji

MAMLAKA ya Bandari nchini kwa kushirikiana na wadau wa maendeleo, imeandaa utaratibu wa kuanzisha teknolojia mpya ya kimataifa itakayotumika kurahisisha shughuli za usafirishaji katika bandari ya Dar es Salaam. Akizungumza...

 

11 years ago

Mwananchi

Mtandao usafirishaji binadamu haukamatiki?

Kwa siku kadhaa sasa, gazeti hili limekuwa likichapisha makala kuhusiana na madhila yaliyompata msichana mmoja mkazi wa Dar es Salaam, aliyepelekwa nchini China na mtandao wa watu wanaofanya biashara ya kusafirisha binadamu,

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kinara usafirishaji wahamiaji atoweka

IDARA ya Uhamiaji mkoani Kilimanjaro, inamsaka kwa udi na uvumba mfanyabiashara mmoja maarufu katika miji ya Moshi na Arusha kwa tuhuma za kujihusisha na usafirishaji wa wahamiaji haramu wanaotoka katika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani