Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kinara usafirishaji wahamiaji atoweka

IDARA ya Uhamiaji mkoani Kilimanjaro, inamsaka kwa udi na uvumba mfanyabiashara mmoja maarufu katika miji ya Moshi na Arusha kwa tuhuma za kujihusisha na usafirishaji wa wahamiaji haramu wanaotoka katika...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Kinara usafirishaji wahamiaji haramu amchafua Mwema 

MKUU wa Jeshi la Polisi nchini (IGP), Ernest Mangu, ameagiza kusakwa na hatimaye kutiwa mbaroni mfanyabiashara Emmanuel Kisima maarufu kwa jina la ‘Papaa’ kutokana na kutumia vibaya jina la mtangulizi...

 

11 years ago

Habarileo

Uhamiaji wanasa kinara wa uvushaji wahamiaji haramu

IDARA ya uhamiaji mkoani Kilimanjaro, imefanikiwa kumkamata kinara wa biashara ya binadamu, Abdul Ndaishimiye (33) raia wa Burundi anayedaiwa kuvusha wahamiaji haramu kuingia nchini kwa wastani wa Sh milioni 2 kwa kila mtu mmoja.

 

10 years ago

GPL

SITTI MTEMVU ATOWEKA

Stori: Chande Abdallah na Deogratius Mongela
WAKATI suala la kudaiwa kudanganya umri likiwa bado ‘bichii’, taarifa zinadai kuwa mshindi wa Miss Tanzania 2014, Sitti Mtemvu ametoweka na hajulikani alipo, Risasi Mchanganyiko limechimbua stori kamili. Mshindi wa Miss Tanzania 2014, Sitti Mtemvu. Shughuli ya kumsaka mrembo huyo ili kujua undani wa sakata lake ilianzia Temeke ambako ilielezwa kuwa ndiko anakoishi....

 

11 years ago

GPL

MKE ATOWEKA KIMIUJIZA

Stori: Hamida Hassan na Gladness Mallya
USHIRIKINA.
Katika hali inayotafsiriwa kuwa ni imani za kishirikina, mwanamke mmoja aliyefahamika kwa jina la Merry Patrick  au Mama Jack, mkazi wa Magole B Ilala jijini Dar es Salaam, ametoweka kimiujiza nyumbani kwake usiku wa manane wiki iliyopita. Chacha Muhochi, mume wa mwanamke huyo, aliliambia gazeti hili kuwa siku ya tukio, saa tisa usiku akiwa nje ya nyumba akilinda mifugo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Aliyesafirisha twiga atoweka

GIZA nene limetanda juu ya mahali alipo mshitakiwa namba moja katika kesi ya kusafirisha wanyama hai nchini Qatar, Kamran Ahmed. Mshtakiwa huyo jana alipaswa kuwepo mahakamani ambako inasikilizwa kesi yake...

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

Mfanyakazi wa ndani atoweka na kichanga



Mwingine aiba mtoto wa miaka
miwili, amtelekeza barabarani
NA MWANDISHI WETU, MWANZA
WIMBI la wizi wa watoto sasa limeanza kushika kasi nchini, ambapo watumishi wawili wa ndani kwa nyakati na maeneo tofauti, wametoweka na watoto wa waajiri wao.
Miongoni mwa watoto walioibwa, yupo mwenye umri wa miezi tisa na mwingine miaka miwili na nusu. Kati ya hao, mmoja amepatikana akiwa ametelekezwa barabarani.
Watumishi hao walikuwa wakiwalea watoto hao, ambapo waliofanikiwa kuwaiba wazazi wao wakiwa kwenye...

 

10 years ago

Habarileo

Mtendaji atoweka na mil. 2.5/- za maabara

MKUU wa Wilaya ya Muleba, Lembris Kipuyo amemwagiza Mkuu wa Polisi Wilaya hiyo (OCD) kumtafuta Philipo Paul aliyekuwa mtendaji wa Kata ya Kimwani kabla ya kuhamishiwa Kata ya Rutoro akidaiwa kutafuna Sh milioni 2.5, fedha zilizochangwa na wananchi kwa ajili ya ujenzi wa maabara.

 

11 years ago

GPL

BILIONEA LAKE OIL ATOWEKA

Stori: Makongoro Oging’
BILIONEA mmiliki wa kampuni ya mafuta ya Lake Oil, Ally Edha Awadhi anayetafutwa na polisi kwa kosa la kumnyanyapaa, kumdhulumu, kumtesa na kumjeruhi mfanyakazi wake, ametoweka na huenda akawa amekimbilia nje ya nchi, Uwazi limenasa mkanda mzima. Mfanyakazi wa bilionea anayemiliki kampuni ya mafuta ya Lake Oil. Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai nchini, (DCI) Kamishna Isaya Mngulu...

 

11 years ago

GPL

Yondani naye atoweka Yanga

Beki wa Yanga, Kelvin Yondani. Na Khadija Mngwai
IMEBAINIKA kuwa beki wa Yanga, Kelvin Yondani ameamua kuondoka klabuni hapo bila ya kufukuzwa tangu mechi dhidi ya Mgambo JKT, huku kocha wa timu hiyo, Hans van Der Pluijm akiwa hana taarifa zozote juu yake. Yondani hakucheza mechi ya juzi dhidi ya Kagera Sugar pamoja na ile ya JKT Ruvu ambapo ilielezwa kuwa, aliwekwa nje kwa kuwa alikuwa na kadi tatu za njano. Kikizungumza na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani