Kinara usafirishaji wahamiaji atoweka
IDARA ya Uhamiaji mkoani Kilimanjaro, inamsaka kwa udi na uvumba mfanyabiashara mmoja maarufu katika miji ya Moshi na Arusha kwa tuhuma za kujihusisha na usafirishaji wa wahamiaji haramu wanaotoka katika...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima13 Jan
Kinara usafirishaji wahamiaji haramu amchafua MwemaÂ
MKUU wa Jeshi la Polisi nchini (IGP), Ernest Mangu, ameagiza kusakwa na hatimaye kutiwa mbaroni mfanyabiashara Emmanuel Kisima maarufu kwa jina la ‘Papaa’ kutokana na kutumia vibaya jina la mtangulizi...
11 years ago
Habarileo21 Dec
Uhamiaji wanasa kinara wa uvushaji wahamiaji haramu
IDARA ya uhamiaji mkoani Kilimanjaro, imefanikiwa kumkamata kinara wa biashara ya binadamu, Abdul Ndaishimiye (33) raia wa Burundi anayedaiwa kuvusha wahamiaji haramu kuingia nchini kwa wastani wa Sh milioni 2 kwa kila mtu mmoja.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yhCsS*vRHKg7pgM9fY-VPcxAxjqqdorke7b*w5vmF8dHp1ErHDN854oyE4sjhSwjcGaJeiKjuOlrbnMK8HND3brekC9-pE*h/sitt.jpg)
SITTI MTEMVU ATOWEKA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/FqkiRUfegCg-ldegUJPxiryPyitK3RedqXM9VL5ahUYNEM*FYbxC8zUU7QKPDd7zQ3selzHzQqvQwJdXfH-b9*ZLRh*oBu8D/mke.jpg?width=650)
MKE ATOWEKA KIMIUJIZA
11 years ago
Tanzania Daima26 Mar
Aliyesafirisha twiga atoweka
GIZA nene limetanda juu ya mahali alipo mshitakiwa namba moja katika kesi ya kusafirisha wanyama hai nchini Qatar, Kamran Ahmed. Mshtakiwa huyo jana alipaswa kuwepo mahakamani ambako inasikilizwa kesi yake...
11 years ago
Uhuru Newspaper31 Jul
Mfanyakazi wa ndani atoweka na kichanga
Mwingine aiba mtoto wa miaka
miwili, amtelekeza barabarani
NA MWANDISHI WETU, MWANZA
WIMBI la wizi wa watoto sasa limeanza kushika kasi nchini, ambapo watumishi wawili wa ndani kwa nyakati na maeneo tofauti, wametoweka na watoto wa waajiri wao.
Miongoni mwa watoto walioibwa, yupo mwenye umri wa miezi tisa na mwingine miaka miwili na nusu. Kati ya hao, mmoja amepatikana akiwa ametelekezwa barabarani.
Watumishi hao walikuwa wakiwalea watoto hao, ambapo waliofanikiwa kuwaiba wazazi wao wakiwa kwenye...
10 years ago
Habarileo03 Nov
Mtendaji atoweka na mil. 2.5/- za maabara
MKUU wa Wilaya ya Muleba, Lembris Kipuyo amemwagiza Mkuu wa Polisi Wilaya hiyo (OCD) kumtafuta Philipo Paul aliyekuwa mtendaji wa Kata ya Kimwani kabla ya kuhamishiwa Kata ya Rutoro akidaiwa kutafuna Sh milioni 2.5, fedha zilizochangwa na wananchi kwa ajili ya ujenzi wa maabara.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/v4Ts6wAJqDpdT74VPAM2*94HMlgQeP2Nfd1jPaM-28LWZIDZ3JkCdk7JOEtvEznmZMnSbQ32leeCbxjuGkr8nXaXdB1tH-XN/bilion.jpg)
BILIONEA LAKE OIL ATOWEKA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/czF6wJsbSj1oUSquckziRkCQ79YD5GbY*dEFC0vQ3AizZF8pWaScJZW*SuTIRtVR8KzmVoRXffTz-rkrmft1jgcCMuhgAmZ9/YONDANI.jpg?width=650)
Yondani naye atoweka Yanga