Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BILIONEA LAKE OIL ATOWEKA

Stori: Makongoro Oging’
BILIONEA mmiliki wa kampuni ya mafuta ya Lake Oil, Ally Edha Awadhi anayetafutwa na polisi kwa kosa la kumnyanyapaa, kumdhulumu, kumtesa na kumjeruhi mfanyakazi wake, ametoweka na huenda akawa amekimbilia nje ya nchi, Uwazi limenasa mkanda mzima. Mfanyakazi wa bilionea anayemiliki kampuni ya mafuta ya Lake Oil. Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai nchini, (DCI) Kamishna Isaya Mngulu...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

BILIONEA LAKE OIL AJISALIMISHA POLISI

Stori: Haruni Sanchawa na Makongoro Oging’ BILIONEA mmiliki wa kampuni ya usafirishaji na usambazaji wa mafuta Lake Oil, Ally Edna Awadh, aliyekuwa akitafutwa na Polisi kwa kosa la kushambulia na kujeruhi, hatimaye amejitokeza na kujisalimisha ofisi ya upelelezi Makao Makuu ya Jeshi hilo jijini Dar es Salaam. Aliyekuwa mfanyakazi wa Bilionea Lake Oil, Ally Edna Awadh aliyejeruhiwa na boss wake. Chanzo chetu cha kuaminika...

 

11 years ago

GPL

BILIONEA LAKE...

Stori: MAKONGORO OGING’ NA HARUN SANCHAWA Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limemtia mbaroni bilionea Ally Edha Awadhi ambaye ni mmiliki wa Kampuni ya Lake Oil ya Mikocheni jijini Dar es Salaam kutokana na madai ya kumtesa mfanyakazi wake. Mfanyakazi aliyeteswa. Akizungumza na waandishi wa habari hii ofisini kwake wiki iliyopita, Mkuu wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai Kanda Maalum ya Dar, ACP Jafari Mohamed...

 

10 years ago

TheCitizen

LAKE ZONE: Oil adulteration rate declines by 71pc

>Petroleum adulteration rate has dropped by 71 per cent, the Energy and Water Utilities Regulatory Authority (Ewura) has said.

 

11 years ago

Habarileo

Lake Oil yatoa msaada kwa hospitali tatu

KAMPUNI ya Lake Oil imetoa vifaa vyenye thamani ya zaidi ya milioni 11.3 katika hospitali tatu za halmashauri za manispaa za Ilala, Temeke na Kinondoni. Msaada huo kwa hospitali za Mwananyamala (Kinondoni), Amana (Ilala) na Temeke, unalenga kupunguza changamoto za utoaji huduma za afya katika hospitali za umma nchini.

 

10 years ago

GPL

MABOSI LAKE OIL WADAIWA KUMVUA NGUO MFANYAKAZI

Mfanyakazi wa kampuni ya mafuta ya Lake Oil, Deocres Deus Ruta (32) anayedai kunyanyanswa na mabosi zake. Stori:Makongoro Oging’
Baadhi ya vigogo wa kampuni ya mafuta ya Lake Oil wanadaiwa kumvua nguo mfanyakazi wao Deocres Deus Ruta (32) (pichani)ambaye ni dereva wao pia vijana wawili ambao siyo wafanyakazi wa kampuni hiyo. Akizungumza katika ofisi za gazeti hili mwishoni mwa wiki iliyopita Ruta alidai kwamba Desemba...

 

5 years ago

Bloomberg

Aramco Delays Oil Pricing Amid Saudi-Russia Row on Oil Cuts

Aramco Delays Oil Pricing Amid Saudi-Russia Row on Oil Cuts  BloombergView Full coverage on Google News

 

10 years ago

GPL

SITTI MTEMVU ATOWEKA

Stori: Chande Abdallah na Deogratius Mongela
WAKATI suala la kudaiwa kudanganya umri likiwa bado ‘bichii’, taarifa zinadai kuwa mshindi wa Miss Tanzania 2014, Sitti Mtemvu ametoweka na hajulikani alipo, Risasi Mchanganyiko limechimbua stori kamili. Mshindi wa Miss Tanzania 2014, Sitti Mtemvu. Shughuli ya kumsaka mrembo huyo ili kujua undani wa sakata lake ilianzia Temeke ambako ilielezwa kuwa ndiko anakoishi....

 

11 years ago

Tanzania Daima

Aliyesafirisha twiga atoweka

GIZA nene limetanda juu ya mahali alipo mshitakiwa namba moja katika kesi ya kusafirisha wanyama hai nchini Qatar, Kamran Ahmed. Mshtakiwa huyo jana alipaswa kuwepo mahakamani ambako inasikilizwa kesi yake...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani