Mtendaji atoweka na mil. 2.5/- za maabara
MKUU wa Wilaya ya Muleba, Lembris Kipuyo amemwagiza Mkuu wa Polisi Wilaya hiyo (OCD) kumtafuta Philipo Paul aliyekuwa mtendaji wa Kata ya Kimwani kabla ya kuhamishiwa Kata ya Rutoro akidaiwa kutafuna Sh milioni 2.5, fedha zilizochangwa na wananchi kwa ajili ya ujenzi wa maabara.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo20 Sep
Aguswa na ujenzi wa maabara na kutoa mil 3/-
MDAU wa Maendeleo ya elimu nchini, Mnandi Mrutu anayefanya shughuli zake mkoani Iringa, ameahidi kutoa Sh milioni tatu ikiwa ni mchango wake kwa ajili ya ujenzi wa maabara katika shule ya sekondari ya Kirongaya ya wilayani Same mkoani Kilimanjaro.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/--SItcHzNI14/XoRpytb39sI/AAAAAAALlwQ/s5G7J8-M3acstptI1WoiidXiGWRPHrHtACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200401-WA0043-768x576.jpg)
SERIKALI YATOA MIL 240 KWA AJILI YA MAABARA ZA SEKONDARI CHALINZE
![](https://1.bp.blogspot.com/--SItcHzNI14/XoRpytb39sI/AAAAAAALlwQ/s5G7J8-M3acstptI1WoiidXiGWRPHrHtACLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200401-WA0043-768x576.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/IMG-20200401-WA0042-1024x768.jpg)
……………………………………………………………………………………
NA MWAMVUA MWINYI, Chalinze
SERIKALI Kuu imetoa kiasi cha sh.milioni 240 ,kwa ajili ya kumalizia maabara nane katika za sekondari kwenye halmashauri ya Chalinze, wilaya ya Bagamoyo Mkoa wa Pwani .
Fedha hizo zitatokana na bajeti ya mwaka wa 2020/2021, zinalenga kujenga vyumba hivyo katika shule 9 za sekondari, ambapo kila chumba kimoja kitatumia sh.milioni 30.
Kaimu Ofisa Elimu Sekondari Halmashauri ya Chalinze, Irene Joseph aliiambia Kamati ya Siasa ya...
10 years ago
Mwananchi07 Jan
Kuna tofauti ya maabara na majengo ya maabara
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*tHd*uipNJA6h*SaGxqh6X31ZRZzXdQe5H7Yxsd7u0rvjtr5Cf*7wBPHT9v8ZiLlJ6aK6IdLnbhVzQWm0tZ0GEGO6EsOXOMs/gojwa.jpg?width=650)
GONJWA LA RAY C HATARI, LAPUKUTISHA WATU MIL 2, MIL 100 WAAMBUKIZWA!
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Y8lOMs5YYoU/XrAEyzo-2KI/AAAAAAALpCs/U9BrgekezygT17s1Xi7S0mFjScUeReG4ACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200504-WA0132-768x511.jpg)
KOKA AKABIDHI BAISKELI 95 ZENYE THAMANI YA MIL.25 PAMOJA NA BARAKOA,NDOO,SANITIZER ZA MIL .3
![](https://1.bp.blogspot.com/-Y8lOMs5YYoU/XrAEyzo-2KI/AAAAAAALpCs/U9BrgekezygT17s1Xi7S0mFjScUeReG4ACLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200504-WA0132-768x511.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/IMG-20200504-WA0125-1024x682.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/IMG-20200504-WA0126-1024x682.jpg)
………………………………………………………………………………………………..
NA MWAMVUA MWINYI,KIBAHA .
MBUNGE wa Jimbo la Kibaha Mjini, Silvestry Koka, amekabidhi baiskeli 95 zenye thamani ya sh.milioni 25 kwa viongozi wa matawi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) jimboni humo ,kwa ajili ya urahisishaji wa utendaji kazi.
Aidha Koka ametoa ndoo za Maji,dawa ya kunawia mikono “Sanitizer” na barakoa zenye thamani ya sh.milioni 3 kwa ajili ya kutumika katika Ofisi za Chama za matawi na kata na kuwakumbusha kujihadhari dhidi ya Ugonjwa wa...
11 years ago
Habarileo05 Aug
Hakimu aliyekula rushwa mil 2/- atozwa faini mil 1.5/-
ALIYEKUWA Hakimu Mkazi Mahakama Wilaya ya Urambo, Oscar Bulugu, amekutwa na hatia ya kuomba na kupokea rushwa ya Sh milioni 2.
11 years ago
Habarileo05 Aug
Hakimu aliyekula rushwa ya mil 2/- ahukumiwa faini mil 1.5/-
ALIYEKUWA Hakimu Mkazi Mahakama Wilaya ya Urambo, Oscar Bulugu, amekutwa na hatia ya kuomba na kupokea rushwa ya Sh milioni 2.
10 years ago
Bongo Movies11 Mar
JB:Tukikutna Tena Nitaweka Mil 10, Ray Aweke Mil 3!
“Kijana shupavu mjukuu wa Kigosi, bado sijamuona. Habari njema aliweka million yake ili ale million mbili, biashara nzuri sana hii nimeshakula mil 2 zako.sasa nakupa offer. tukikutana safari hii weka milion tatu naweka milion kumi. Lazima nikuvutie maana nimeambiwa hutaki tena changamka hutaki kukomboa hela zako???”-JB abandika andiko hili mtandaoni baada ya kuweka picha ya Ray.
Ray bado ajapatikana kujibu hii. Dah kufungwa noma sana.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yhCsS*vRHKg7pgM9fY-VPcxAxjqqdorke7b*w5vmF8dHp1ErHDN854oyE4sjhSwjcGaJeiKjuOlrbnMK8HND3brekC9-pE*h/sitt.jpg)
SITTI MTEMVU ATOWEKA