Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mtandao usafirishaji binadamu haukamatiki?

Kwa siku kadhaa sasa, gazeti hili limekuwa likichapisha makala kuhusiana na madhila yaliyompata msichana mmoja mkazi wa Dar es Salaam, aliyepelekwa nchini China na mtandao wa watu wanaofanya biashara ya kusafirisha binadamu,

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Mtandao walalamikia utaratibu wa usafirishaji mazao ya misitu

MTANDAO wa Usimamizi wa Mazao ya Misitu Tanzania (TRAFFIC) umesema kuwa pamoja na kuwepo kwa sheria zinazotoa mwongozo wa bidhaa za misitu zinavyopaswa kusafirishwa, utaratibu huo umeshindwa kutekelezwa ipasavyo. Akizungumza...

 

5 years ago

Michuzi

SEKRETARIETI YA KUZUIA NA KUPAMBANA NA BIASHARA HARAMU YA USAFIRISHAJI BINADAMU WAFANYA KIKAO CHA KUPENDEKEZA MAREKEBISHO YA SHERIA


Katibu wa Sekretarieti ya Kuzuia na Kupambana na Biashara Haramu ya Usafirishaji Binadamu, Seperatus Fella, akifafanua jambo kuhusu Sheria ya Kuzuia Biashara Haramu ya Usafirishaji wa Binadamu katika Kikao cha Wadau wa Sheria wa Wizara na Idara za serikali kwa ajili ya kupendekeza marekebisho ya Sheria hiyo, Kikao hicho kimefanyika, Jijini Dodoma leo.Katibu wa Sekretarieti ya Kuzuia na Kupambana na Biashara Haramu ya Usafirishaji Binadamu, Seperatus Fella (Wa kwanza...

 

9 years ago

Michuzi

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AZINDUA MPANGO WA KAZI WA KIMATAIFA NA KANUNI ZA SHERIA YA KUZUIA USAFIRISHAJI HARAMU WA BINADAMU.

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizindua Mpangokazi wa Kimataifa na Kanuni za Sheria ya kuzuia usafirishaji haramu wa Binadamu, wakati wa hafla hiyo ya uzinduzi iliyofanyika leo Agosti 21, 2015 kwenye Viwanja vya Karimjee, jijini Dar es Salaam. Kulia ni Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Mathias Chikawe (kulia) ni Mwenyekiti wa Kamati ya Kimataifa ya kupambana na Usafirishaji Haramu wa Binadamu, Kinemo Kihonamo.Makamu wa Rais wa Jamhuri ya...

 

9 years ago

Michuzi

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AZINDUA MPANGO WA KAZI WA KIMATAIFA NA KANUNI ZA SHERIA YA KUZUIA USAFIRISHAJI HARAMU WA BINADAMU.

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizindua Mpangokazi wa Kimataifa na Kanuni za Sheria ya kuzuia usafirishaji haramu wa Binadamu, wakati wa hafla hiyo ya uzinduzi iliyofanyika leo Agosti 21, 2015 kwenye Viwanja vya Karimjee, jijini Dar es Salaam. Kulia ni Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Mathias Chikawe (kulia) ni Mwenyekiti wa Kamati ya Kimataifa ya kupambana na Usafirishaji Haramu wa Binadamu, Kinemo Kihonamo.  Makamu wa Rais wa Jamhuri...

 

9 years ago

StarTV

Tanzania yatakiwa kutekeleza mapendekezo 107 ya  Mtandao wa watetezi wa haki za binadamu

Tanzania umeitaka Serikali kuyafanyia kazi mapendekezo 107 yaliyotolewa na wadau wanaosimamia haki za binadamu.

Wamesema ni muhimu Serikali ikubali mapendekezo hayo ili kuhakikisha sheria mbalimbali zinatekelezwa na kuzipa fursa asasi za kiraia kufuatilia na kuwasaidia wananchi kuzifahamu sheria hizo.

Akizindua Ripoti ya Utekelezaji wa mapendekezo 107 ya Haki za Binadamu Tanzania, Mkurugenzi wa Tume za Haki za Binadamu, Onesmo- Olengulumwa amesema Serikali imeyatekeleza mapendekezo hayo kwa...

 

10 years ago

Michuzi

MTANDAO WA KUTETEA HAKI ZA BINADAMU WAHAMASISHA AMANI KABLA YA UCHAGUZI MKUU


Waandishi wa habari hapa Nchini wametakiwa kuwaelimisha jamii juu ya umuhimu wa amani katika nchi ya Tanzania tunapoelekea uchaguzi mkuu kwa kuandika na kutangaza amani hali itakayosaidia uchaguzi kufanyika kwa amani
Akizungumza katika mkutano wa siku mbili wa kujadili masuala ya ulinzi na usalama kuelekea uchaguzi mkuu,uliofanyika jijini Arusha mwisho mwa wiki, ulioandaliwa na mtandao wa utetezi wa haki za binadamu. Mkuu wa Wilaya ya Arumeru mkoa Arusha Husna Mwilima alisema kuwa...

 

5 years ago

Michuzi

LHRC KUZINDUA RIPOTI YA HAKI ZA BINADAMU TANZANIA 2019 KWA NJIA YA MTANDAO

Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) wametangaza kupitia tovuti yao na mitandao ya kijamii kuzindua Ripoti ya Haki za Binadamu Tanzania 2019. 
RIPOTI imepangwa kuzinduliwa Jumatano, Aprili 29, 2020 kupitia mtandao wa YouTube (Haki TV), mtandao wa Zoom na mitandao ya Twitter, Facebook na Instagram.

 Kwa mujibu wa LHRC, hii ni mara ya kwanza kwa shirika hilo la utetezi wa haki za binadamu hapa nchini kuzindua ripoti kwa njia ya kidigitali tangu walipoanza kuchapisha ripoti hiyo mwaka...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mtandao wa Haki za Binadamu watoa tamko juu ya kutekwa na kuteswa kwa kiongozi wa wahitimu JKT

9

Mwenyekiti wa JKT Tanzania, Bw. George Mgoba akiwa wodini.

TAMKO KWA VYOMBO VYA HABARI.docx by moblog

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani