Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mtandao walalamikia utaratibu wa usafirishaji mazao ya misitu

MTANDAO wa Usimamizi wa Mazao ya Misitu Tanzania (TRAFFIC) umesema kuwa pamoja na kuwepo kwa sheria zinazotoa mwongozo wa bidhaa za misitu zinavyopaswa kusafirishwa, utaratibu huo umeshindwa kutekelezwa ipasavyo. Akizungumza...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

UHIFADHI WA MISITU NA UZALISHAJI WA MAZAO

Kuimarika kwa uhifadhi wa misitu katika misitu ya tao la Mashariki iliyoko kwenye milima ya Usambara kumesaidia kuboresha shughuli za kijamii kwa wananchi wanaoishi kwenye vijiji kuzunguka misitu hiyo katika wilaya ya Muheza na Korogwe mkoani Tanga, mashamba haya ya mpunga ni katika kijiji cha Mkwakwani kata ya Mnyuzi wilaya ya Korogwe yamestawi vizuri kutokana na juhudi hizo za uhifadhi wa misitu, zinazofanywa na wadau mbalimbali wa uhifadhi ikiwemo wakala wa huduma za misitu nchini TFS na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Watendaji, wafanyabiashara huhujumu mazao ya misitu

KATIKA kipindi hiki misitu nchini inaendelea kupungua kutokana na uharibifu unaofanywa na wananchi walio kandokando ya rasilimali hiyo. Mbali na misitu kuharibiwa na wananchi, pia baadhi ya watendaji wa serikali...

 

11 years ago

Habarileo

'Ushuru mazao ya misitu unaumiza wananchi'

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana ameahidi wananchi wa wilaya za Rufiji na Mkuranga, kuwa ataishauri Serikali ili iangalie uwezekano wa kupunguza ushuru unaotokana na misitu.

 

10 years ago

Mwananchi

DC awashukia wanaovuna mazao ya misitu Rufiji

Mkuu wa Wilaya ya Rufiji, Nurdin Babu ametangaza vita dhidi ya wavunaji haramu wa mazao ya misitu baada ya kuanza kutumika kwa taratibu mpya.

 

10 years ago

Mwananchi

Wakulima walalamikia kampuni kukiuka utaratibu

Wakulima wa pamba wilayani hapa wamezilalamikia kampuni tisa za ununuzi wa zao hilo kwa kukiuka sheria na utaratibu wa kilimo cha mkataba kwa kuwauzia mbegu kinyume chamakubaliano.

 

5 years ago

Michuzi

MLELE YATANGAZA UTARATIBU WA KUNUNUA MAZAO

 Na Mwandishi wetu
Katavi
WILAYA ya Mlele mkoani Katavi  yenye Halmashauri mbili za wilaya, imetenga  vituo 80 vya kununulia mazao mbalimbali katika msimu wa 2020  huku wilaya hiyo ikiwa ni mara ya kwanza  kuingia katika mfumo  rasmi wa stakabadhi gharani.
Kati  ya hivyo,Halmashauri ya Mpimbwe imetenga vituo 49 na Halmashauri ya wilaya Mlele imetenga vituo 31 huku wafanya biashara wakionywa kujiepusha kununua mazao  kwa  kutumia vipimo haramu.
Mkuu wa wilaya hiyo Rachel  Kassanda amesema...

 

11 years ago

Michuzi

Serikali yafanikiwa kudhibiti uvunaji haramu wa mazao ya misitu - Mafupa

Serikali yafanikiwa kudhibiti uvunaji haramu wa mazao ya misitu katika Hifadhi ya Msitu wa Mazingira asilia wa Chome (Shengena) Wilayani Same Mkoani Kilimanjaro kwa kutumia ulinzi shirikishi unaohusisha vijiji 27 vinavyoizunguka hifadhi hiyo.
Hayo yamesemwa na Meneja wa Wakala wa huduma za Misitu Tanzania kanda ya Kaskazini (TFS) bw. Cuthbert Mafupa wakati wa ziara ya waandishi wa Habari waliotembelea hifadhi ya Chome na ile ya Amani iliyipo mkoani Tanga ili kujifunza na kuona hatua...

 

10 years ago

Michuzi

VIONGOZI WA TANZANIA NA KENYA WAKUBALIANA KUKOMESHA BIASHARA HARAMU YA MAZAO YA MISITU

Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Misitu na Nyuki nchini Tanzania,Gladness Mkamba akizungumza mara baada ya kutia saini makubaliano kati ya Tanzania na Kenya kupiga vita biashara haramu ya mbao pamoja na mazao ya misitu inayofanyika kupitia mipaka ya nchi hizo katika mkutano uliofanyika jijini Arusha na Kuandaliwa na Shirika la kimataifa la kulinda wanyama na viumbe hai World Wildlife Foundation (WWF) ambao ni waandaaji na washirika wa makubaliano hayo pamoja na shirika la TRAFFIC .Picha picha...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani