Wakulima walalamikia kampuni kukiuka utaratibu
Wakulima wa pamba wilayani hapa wamezilalamikia kampuni tisa za ununuzi wa zao hilo kwa kukiuka sheria na utaratibu wa kilimo cha mkataba kwa kuwauzia mbegu kinyume chamakubaliano.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi07 Oct
Haya ni matokeo ya kukiuka utaratibu
11 years ago
Tanzania Daima11 Dec
Mtandao walalamikia utaratibu wa usafirishaji mazao ya misitu
MTANDAO wa Usimamizi wa Mazao ya Misitu Tanzania (TRAFFIC) umesema kuwa pamoja na kuwepo kwa sheria zinazotoa mwongozo wa bidhaa za misitu zinavyopaswa kusafirishwa, utaratibu huo umeshindwa kutekelezwa ipasavyo. Akizungumza...
11 years ago
Tanzania Daima13 Jan
Wakulima walalamikia ubora wa dawa
BAADHI ya wakulima kutoka mkoani Mbeya wamelalamikia dawa za kilimo aina ya Karate 50 ec na Selecron 720 ec kuwa hazina ubora. Wakulima hao waliowakilishwa na John Mwaipopo, walisema dawa...
10 years ago
Mwananchi16 Dec
Wakulima walalamikia Lumbesa, Makokoro
10 years ago
Mwananchi17 Oct
Wakulima wa Idodi walalamikia bei ya soko
10 years ago
MichuziKAMPUNI YA MABIBO BEER YAIDAI TUME YA USHINDANI (FCC) SH.TIRIONI MOJA KWA KINACHODAIWA KUKIUKA MKATABA
9 years ago
StarTV19 Dec
Uendeshaji Kilimo Cha Tumbaku Wakulima walalamikia makato ya ushuru
Wakulima wa zao la tumbaku nchini, wamelalamikia serikali juu ya makato makubwa ya ushuru wanaokwata katika zao hilo, lakini mwisho wa siku hakuna fedha zinazorudishwa katika kuwasaidia wakulima hao hatua inayowafanya kuendesha kilimo hicho kwa shida.
Wakulima hao wamesema bado kuna matatizo mengi yanayowakabili na serikali haijaamua kuyafanyia kazi, ikiwemo suala la makampuni yanayonunua zao hilo, kuwakata kilo za tumbaku, ambazo huwa tofauti na wanazokubaliana kununua.
Zao la tumbaku...
10 years ago
Mwananchi07 Jun
Wanaokiuka utaratibu kutwaa madaraka, watavuruga utaratibu, wadumu milele