Watendaji, wafanyabiashara huhujumu mazao ya misitu
KATIKA kipindi hiki misitu nchini inaendelea kupungua kutokana na uharibifu unaofanywa na wananchi walio kandokando ya rasilimali hiyo. Mbali na misitu kuharibiwa na wananchi, pia baadhi ya watendaji wa serikali...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi
UHIFADHI WA MISITU NA UZALISHAJI WA MAZAO


10 years ago
Mwananchi06 Dec
DC awashukia wanaovuna mazao ya misitu Rufiji
11 years ago
Habarileo16 Sep
'Ushuru mazao ya misitu unaumiza wananchi'
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana ameahidi wananchi wa wilaya za Rufiji na Mkuranga, kuwa ataishauri Serikali ili iangalie uwezekano wa kupunguza ushuru unaotokana na misitu.
11 years ago
Tanzania Daima11 Dec
Mtandao walalamikia utaratibu wa usafirishaji mazao ya misitu
MTANDAO wa Usimamizi wa Mazao ya Misitu Tanzania (TRAFFIC) umesema kuwa pamoja na kuwepo kwa sheria zinazotoa mwongozo wa bidhaa za misitu zinavyopaswa kusafirishwa, utaratibu huo umeshindwa kutekelezwa ipasavyo. Akizungumza...
11 years ago
MichuziSerikali yafanikiwa kudhibiti uvunaji haramu wa mazao ya misitu - Mafupa
Hayo yamesemwa na Meneja wa Wakala wa huduma za Misitu Tanzania kanda ya Kaskazini (TFS) bw. Cuthbert Mafupa wakati wa ziara ya waandishi wa Habari waliotembelea hifadhi ya Chome na ile ya Amani iliyipo mkoani Tanga ili kujifunza na kuona hatua...
10 years ago
Michuzi.jpg)
VIONGOZI WA TANZANIA NA KENYA WAKUBALIANA KUKOMESHA BIASHARA HARAMU YA MAZAO YA MISITU
.jpg)
10 years ago
Dewji Blog24 Mar
Tanzania na Kenya watiliana saini makubaliano ya kupiga vita biashara haramu ya mbao na mazao ya misitu
Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Misitu na Nyuki nchini Tanzania, Bi. Gladness Mkamba akifafanua jambo baada ya kutia saini makubaliano kati ya Tanzania na Kenya kupiga vita biashara haramu ya mbao pamoja na mazao ya misitu inayofanyika kupitia mipaka ya nchi hizo katika mkutano uliofanyika jijini Arusha na Kuandaliwa na Shirika la kimataifa la kulinda wanyama na viumbe hai World Wildlife Foundation (WWF) ambao ni waandaaji na washirika wa makubaliano hayo pamoja na shirika la TRAFFIC....
11 years ago
Tanzania Daima14 Jul
Wafanyabiashara wamkataa meneja misitu
BAADHI ya Wafanyabiashara wa mazao ya misitu wilayani Kisarawe, Pwani wamesema hawamtaki Meneja wa Misitu, Methew Mwanuo kwa madai ya rushwa. Wakizungumza na Tanzania Daima kwa nyakati tofauti wilayani hapo mwishoni mwa...
11 years ago
Tanzania Daima10 Jul
Wafanyabiashara wamkataa ofisa misitu
WAFANYABIASHARA wa mazao ya misitu wilayani Kisarawe, Pwani wameitaka Wizara ya Maliasili na Utalii kupitia Wakala wa Misitu Nchini (TFS) kumwondoa ofisa wake, Mathew Mwanuo na kuwaletea mwingine. Mwanuo anatuhumiwa...