Wafanyabiashara wamkataa ofisa misitu
WAFANYABIASHARA wa mazao ya misitu wilayani Kisarawe, Pwani wameitaka Wizara ya Maliasili na Utalii kupitia Wakala wa Misitu Nchini (TFS) kumwondoa ofisa wake, Mathew Mwanuo na kuwaletea mwingine. Mwanuo anatuhumiwa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima14 Jul
Wafanyabiashara wamkataa meneja misitu
BAADHI ya Wafanyabiashara wa mazao ya misitu wilayani Kisarawe, Pwani wamesema hawamtaki Meneja wa Misitu, Methew Mwanuo kwa madai ya rushwa. Wakizungumza na Tanzania Daima kwa nyakati tofauti wilayani hapo mwishoni mwa...
11 years ago
Tanzania Daima12 Feb
Walimu Maswa wamkataa Ofisa Elimu
WALIMU wa shule za msingi katika Halmashauri ya Wilaya ya Maswa, mkoani Simiyu, wamemtaka mkurugenzi na mwenyekiti wa halmashauri hiyo kumwondoa Ofisa Elimu wa Shule za Msingi wilayani humo, Mabeyo...
11 years ago
Tanzania Daima14 Jan
Watendaji, wafanyabiashara huhujumu mazao ya misitu
KATIKA kipindi hiki misitu nchini inaendelea kupungua kutokana na uharibifu unaofanywa na wananchi walio kandokando ya rasilimali hiyo. Mbali na misitu kuharibiwa na wananchi, pia baadhi ya watendaji wa serikali...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Dk30GyOVLII/XrEDiPxhLdI/AAAAAAALpI8/Cdqc-NxXpQA6KQk5MBDJGESTcxtGTQExgCLcBGAsYHQ/s72-c/6c038d41-0e82-4cfa-b0af-64894c366946.jpg)
WAKALA WA HUDUMA ZA MISITU TANZANIA WALEZEA ULIVYOJIPANGA KUKABILI MAJANGA YA MOTO KWENYE MISITU,MASHAMBA
![](https://1.bp.blogspot.com/-Dk30GyOVLII/XrEDiPxhLdI/AAAAAAALpI8/Cdqc-NxXpQA6KQk5MBDJGESTcxtGTQExgCLcBGAsYHQ/s640/6c038d41-0e82-4cfa-b0af-64894c366946.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-V_m9qjEUfB0/XrEDiooPDUI/AAAAAAALpJA/Ufkc1Pnu208VHE9s3dQPSytZdO724r8XgCLcBGAsYHQ/s640/6ef4f28c-b6fd-4522-ad3f-11392cd6e632.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-XEs1bWkQL4g/XrEDij6nPcI/AAAAAAALpJE/GOrQ6fEVAAUJUvhq-FHGpdHYv_1eJG89wCLcBGAsYHQ/s640/8cf1c48a-e21b-4ee2-bd99-289d72365fe9.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-KSzX2j5ZdwM/XrEDhoZpu8I/AAAAAAALpI4/dZhCZ9W8D60XXd2-YBKN3QnfTzx12KuGACLcBGAsYHQ/s640/60d6d58c-80c7-4eb1-b962-968744d22442.jpg)
11 years ago
Michuzi26 May
WAKALA WA HUDUMA ZA MISITU TANZANIA (TFS) YANYA ZIARA NA WAANDISHI WA VYOMBO VYA HABARI KUJIONEA UTUNZAJI WA MISITU YA CHOME, SHENGENA-KILIMANJARO
9 years ago
MichuziNEWZ ALERT:WAZIRI WA MALIASILI PROF. JUMANNE MAGHEMBE AMSIMAMISHA KAZI MKURUGENZI WA MIPANGO WA WAKALA WA HUDUMA ZA MISITU TANZANIA (TFS) NA MAOFISA MISITU WA MIKOA YOTE NCHINI LEO
11 years ago
Tanzania Daima12 May
Madiwani wamkataa Mkurugenzi
BARAZA la Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo, mkoani Pwani, limemtaka Waziri Mkuu Mizengo Pinda kumtafutia kituo kingine cha kazi Mkurugenzi wa halmashauri hiyo, Samweli Sarianga, kutokana na kushindwa...
11 years ago
Tanzania Daima11 Feb
Walalamikaji wamkataa hakimu
WALALAMIKAJI 12 waliokuwa wafanyakazi wa taasisi ya mikopo ya FINCA Tanzania Ltd, ambao walifukuzwa kazi Juni mwaka jana, wamemkataa Hakimu Yusuph Lumumba, anayesikiliza shauri la mgogoro huo dhidi ya taasisi hiyo...
10 years ago
Habarileo25 Oct
Madiwani Simanjiro wamkataa Mkurugenzi
BARAZA la Madiwani la Halmashauri ya wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara, juzi liligeuka kuwa kamati ili kujadili ajenda namba tano iliyokuwa ikihusu kupunguzwa kwa posho za vikao vya madiwani kutoka Sh 80,000 kwa kila diwani hadi Sh 40,000.