Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Walimu Maswa wamkataa Ofisa Elimu

WALIMU wa shule za msingi katika Halmashauri ya Wilaya ya Maswa, mkoani Simiyu, wamemtaka mkurugenzi na mwenyekiti wa halmashauri hiyo kumwondoa Ofisa Elimu wa Shule za Msingi wilayani humo, Mabeyo...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

OFISA ELIMU NYASA AWACHARUKIA WALIMU WAKUU NA MAAFISA ELIMU KATA



Ofisa Elimu msingi Wilaya ya Nyasa Bw. Said Kalima akiongea na Walimu wakuu na Maafisa Elimu kata wa Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa jana, Katika ukumbi wa Kasimu Majaliwa ulioko katika shule ya Sekondari Mbamba-bay wilayani hapa.Amewaagiza walimu hao kufundisha kwa bidii na kutomvumilia mwalimu mzembe na kupandisha ufaulu ufikie asilimia mia moja kwa Wilaya ya nyasa,kuanzia mwaka huu 2020 na kuendelea.

……………………………………………………………………………………….

Ofisa Elimu Msingi wa Wilaya ya Nyasa Said Kalima,...

 

11 years ago

Habarileo

Ofisa Elimu Wilaya, walimu 6 washushwa vyeo

NAIBU Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), anayeshughulikia Elimu, Kassim Majaliwa, amemvua madaraka kwa kumshusha cheo Ofisa Elimu wa Wilaya ya Mbinga mkoani Ruvuma, Hanji Godigodi. Godigodi anadaiwa kushindwa kutekeleza majukumu yake ya kazi na kufanya ubadhirifu wa Sh milioni 268 za maendeleo ya elimu ya sekondari wilayani humo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wafanyabiashara wamkataa ofisa misitu

WAFANYABIASHARA wa mazao ya misitu wilayani Kisarawe, Pwani wameitaka Wizara ya Maliasili na Utalii kupitia Wakala wa Misitu Nchini (TFS) kumwondoa ofisa wake, Mathew Mwanuo na kuwaletea mwingine. Mwanuo anatuhumiwa...

 

10 years ago

Habarileo

Ofisa elimu kortini kwa kutapeli mil 5.4/-

OFISA Elimu wa Sekondari wa Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara, Julius Mduma amefikishwa kwenye Mahakama ya Wilaya ya Kiteto na kushtakiwa kwa kosa la kujipatia Sh 5.4 milioni kwa njia ya udanganyifu.

 

11 years ago

Mwananchi

Waziri awashusha vyeo ofisa elimu, wakuu wa shule za sekondari

Naibu Waziri wa Nchi katika Ofisi ya Waziri Mkuu (Tamisemi), Kassim Majaliwa, ametengua uteuzi wa Ofisa Elimu ya Sekondari wa Wilaya ya Mbinga, Hanji Godigodi na wakuu sita wa shule za sekondari wilayani humo kwa tuhuma za ubadhirifu Sh60 milioni.

 

5 years ago

Michuzi

MAHAKAMA YAHOJI UPELELEZI WA KESI YA UHUJUMU UCHUMI INAYOMKABILI OFISA ELIMU KWA UMMA LHRC

Na Karama Kenyunko, Michuzi Globu ya jamii.
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imeutaka upande wa mashtaka katika  kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili Ofisa Elimu kwa Umma wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) Tito Magoti (26) na mwenzake kueleza hali ya upelelezi umefikia wapi kama unakwenda mbele au la.
Tito anashtakiwa na mwenzake mbaye ni mtaalamu wa masuala ya Tehama Theodory Gyan (36) ambapo wote kwa pamoja wanakabiliwa na mashtaka ya utakatishaji fedha wa Sh.milioni 17,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Mikopo ya walimu inadumaza elimu’

MWENYEKITI wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), Zitto Kabwe, amesema kiwango cha elimu kinazidi kuporomoka kutokana na walimu kuwa na mikopo mingi. Akizungumza juzi wakati...

 

10 years ago

Mtanzania

Walimu 18,000 kupigwamsasa Mtaala mpya wa Elimu

Jumanne-SaginiNa Debora Sanja, Dodoma
JUMLA ya walimu 18,000 wa shule za msingi kutoka mikoa 14 nchini wanatarajiwa kupatiwa mafunzo yenye lengo la kuwajengea uwezo wa kuweza kufundisha Mtaala mpya wa Elimu ya Msingi Darasa la kwanza na pili .
Mafunzo hayo yatatolewa na Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI) kwa kushirikiana na Taasisi ya Elimu Tanzania (TET).
Kwa mujibu wa Katibu Mkuu wa TAMISEMI, Jumanne Sagini, alisema mitaala ya mafunzo hayo imeandaliwa na TET kutokana na...

 

9 years ago

Mwananchi

Mafunzo kwa walimu kunusuru anguko la elimu

Katika miaka ya hivi karibuni, taifa limeshuhudia anguko kubwa la kiwango cha ubora wa elimu nchini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani