‘Mikopo ya walimu inadumaza elimu’
MWENYEKITI wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), Zitto Kabwe, amesema kiwango cha elimu kinazidi kuporomoka kutokana na walimu kuwa na mikopo mingi. Akizungumza juzi wakati...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLBODI YA MIKOPO ELIMU YA JUU YAELEZEA UREJESHWAJI WA MIKOPO
Mkurugenzi wa Habari Elimu wa Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu, Cosmas Mwaisogwa (katikati) akizungumza jambo, kulia ni Afisa Mwandamizi wa Elimu Bodi ya Elimu ya Juu, Veneranda Malima na kushoto ni Juma Chagonja, Mkurugenzi wa Urejeshaji Mikopo ya Elimu ya Juu. Wanahabari wakifuatilia mkutano huo.…
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-jM1o7O6hdjw/VaaBI8AGdBI/AAAAAAABRzk/sdo2WPNb7xM/s72-c/New%2BPicture%2B%25284%2529.jpg)
BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU YASOGEZA MBELE TAREHE YA MWISHO YA KUPOKEA MAOMBI YA MIKOPO
![](http://3.bp.blogspot.com/-jM1o7O6hdjw/VaaBI8AGdBI/AAAAAAABRzk/sdo2WPNb7xM/s640/New%2BPicture%2B%25284%2529.jpg)
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu inapenda kuwafahamisha Waombaji wa mikopo na Umma kwa ujumla kuwa muda wa kuwasilisha maombi ya mikopo umeongezwa mbele hadi tarehe 31 Julai, 2015.
Hatua hii imechukuliwa ili kuwapa fursa wale ambao kwa sababu mbalimbali hawakuweza kufanya maombi ya mikopo katika muda uliopangwa. Itakumbukwa kuwa, awali Bodi ilianza kupokea maombi kwa njia ya mtandao tarehe 4 Mei, 2015 na mwisho wa kuwasilisha maombi ulipangwa kuwa tarehe 30 Juni, 2015.
Kupitia...
10 years ago
MichuziMH.HAMAD RASHID AWAASA WANAFUNZI KUJIUNGA NA MFUKO WA PENSHENI WA PSPF ILI KUPATA MIKOPO YA ELIMU NA MIKOPO YA KUANZIA MAISHA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-kdGVxZ2sC74/XkxEfiZS6AI/AAAAAAALeGc/4VbDWTkmuhEeUyHfzWiDLzYBPaxkagCpQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_75271AA-1024x682.jpg)
OFISA ELIMU NYASA AWACHARUKIA WALIMU WAKUU NA MAAFISA ELIMU KATA
![](https://1.bp.blogspot.com/-kdGVxZ2sC74/XkxEfiZS6AI/AAAAAAALeGc/4VbDWTkmuhEeUyHfzWiDLzYBPaxkagCpQCLcBGAsYHQ/s640/IMG_75271AA-1024x682.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/IMG_75321AA-1024x682.jpg)
Ofisa Elimu msingi Wilaya ya Nyasa Bw. Said Kalima akiongea na Walimu wakuu na Maafisa Elimu kata wa Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa jana, Katika ukumbi wa Kasimu Majaliwa ulioko katika shule ya Sekondari Mbamba-bay wilayani hapa.Amewaagiza walimu hao kufundisha kwa bidii na kutomvumilia mwalimu mzembe na kupandisha ufaulu ufikie asilimia mia moja kwa Wilaya ya nyasa,kuanzia mwaka huu 2020 na kuendelea.
……………………………………………………………………………………….
Ofisa Elimu Msingi wa Wilaya ya Nyasa Said Kalima,...
10 years ago
Tanzania Daima17 Aug
Walimu wapatiwa mikopo
KAMPUNI ya Maic & GT inayojihusisha na usambazaji wa piki piki na bajaji, jana imetoa mikopo kwa walimu wa shule za msingi zilizopo katika Manispaa ya Ilala jijini Dar es...
11 years ago
Michuzi02 Jul
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-KpP6UOlLcGA/UwuWeczkRMI/AAAAAAAFPTA/Ah0uRv8o32k/s72-c/se1.jpg)
Wananchama wa Chama cha Wafanyakazi wa Taasisi za Elimu ya Juu, Sayansi, Teknolojia, Habari na Utafiti nchini (RAAWU), Tawi la Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) wakutana
Wananchama wa Chama cha Wafanyakazi wa Taasisi za Elimu ya Juu, Sayansi, Teknolojia, Habari na Utafiti nchini (RAAWU), Tawi la Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) wamekutana kwa semina ya siku mbili mwishoni mwa wiki iliyopita kupitia pamoja na mambo mengine; masuala ya nafasi na wajibu wa kisheria wa vyama vya wafanyakazi katika kuleta tija na ufanisi sehemu za kazi.
Akifungua semina hiyo ya siku mbili kwa wanachama wa RAAWU tawi la HESLB, Kaimu Mkurugenzi Msaidizi wa...
10 years ago
Mwananchi25 Nov
Mikopo ya elimu inawezekana
Moja ya kero kuu zinazoikabili sekta ya elimu nchini ni kuwapo kwa idadi kubwa ya wanafunzi wa elimu ya juu wanaokosa mikopo. Wanaobahatika kupata nao wanapewa chini ya kima halisi wanachohitaji pia fedha zenyewe baadhi ya nyakati zinachelewa kuwafikia.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania