Mikopo ya elimu inawezekana
Moja ya kero kuu zinazoikabili sekta ya elimu nchini ni kuwapo kwa idadi kubwa ya wanafunzi wa elimu ya juu wanaokosa mikopo. Wanaobahatika kupata nao wanapewa chini ya kima halisi wanachohitaji pia fedha zenyewe baadhi ya nyakati zinachelewa kuwafikia.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLBODI YA MIKOPO ELIMU YA JUU YAELEZEA UREJESHWAJI WA MIKOPO
Mkurugenzi wa Habari Elimu wa Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu, Cosmas Mwaisogwa (katikati) akizungumza jambo, kulia ni Afisa Mwandamizi wa Elimu Bodi ya Elimu ya Juu, Veneranda Malima na kushoto ni Juma Chagonja, Mkurugenzi wa Urejeshaji Mikopo ya Elimu ya Juu. Wanahabari wakifuatilia mkutano huo.…
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-jM1o7O6hdjw/VaaBI8AGdBI/AAAAAAABRzk/sdo2WPNb7xM/s72-c/New%2BPicture%2B%25284%2529.jpg)
BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU YASOGEZA MBELE TAREHE YA MWISHO YA KUPOKEA MAOMBI YA MIKOPO
![](http://3.bp.blogspot.com/-jM1o7O6hdjw/VaaBI8AGdBI/AAAAAAABRzk/sdo2WPNb7xM/s640/New%2BPicture%2B%25284%2529.jpg)
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu inapenda kuwafahamisha Waombaji wa mikopo na Umma kwa ujumla kuwa muda wa kuwasilisha maombi ya mikopo umeongezwa mbele hadi tarehe 31 Julai, 2015.
Hatua hii imechukuliwa ili kuwapa fursa wale ambao kwa sababu mbalimbali hawakuweza kufanya maombi ya mikopo katika muda uliopangwa. Itakumbukwa kuwa, awali Bodi ilianza kupokea maombi kwa njia ya mtandao tarehe 4 Mei, 2015 na mwisho wa kuwasilisha maombi ulipangwa kuwa tarehe 30 Juni, 2015.
Kupitia...
10 years ago
MichuziMH.HAMAD RASHID AWAASA WANAFUNZI KUJIUNGA NA MFUKO WA PENSHENI WA PSPF ILI KUPATA MIKOPO YA ELIMU NA MIKOPO YA KUANZIA MAISHA
10 years ago
Mwananchi04 Nov
Elimu ya ujasiriamali shuleni na vyuoni inawezekana-2
Wiki iliyopita nilianza kugusia sababu kwa nini tunahitaji kuufanyia mabadiliko mfumo wetu wa elimu. Endelea
11 years ago
Mwananchi21 Jan
Elimu bora inawezekana Serikali ikiamua
Baada ya matokeo ya Mtihani ya Darasa la Saba mwaka 2011 kutangazwa, mengi yalizungumzwa hasa baada ya kubainika kuwa zaidi ya wanafunzi 5,200 waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza walikuwa hawajui kusoma wala kuandika.
10 years ago
Mwananchi28 Oct
Elimu ya ujasiriamali shuleni na vyuoni inawezekana- 1
Miezi kadha iliyopita tulishuhudia takriban vijana 10,000 wakimiminika katika Uwanja Mkuu wa Taifa kwa ajili ya usaili wa nafasi 70 za kazi katika idara mbalimbali za Uhamiahaji.
11 years ago
Michuzi02 Jul
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-KpP6UOlLcGA/UwuWeczkRMI/AAAAAAAFPTA/Ah0uRv8o32k/s72-c/se1.jpg)
Wananchama wa Chama cha Wafanyakazi wa Taasisi za Elimu ya Juu, Sayansi, Teknolojia, Habari na Utafiti nchini (RAAWU), Tawi la Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) wakutana
Wananchama wa Chama cha Wafanyakazi wa Taasisi za Elimu ya Juu, Sayansi, Teknolojia, Habari na Utafiti nchini (RAAWU), Tawi la Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) wamekutana kwa semina ya siku mbili mwishoni mwa wiki iliyopita kupitia pamoja na mambo mengine; masuala ya nafasi na wajibu wa kisheria wa vyama vya wafanyakazi katika kuleta tija na ufanisi sehemu za kazi.
Akifungua semina hiyo ya siku mbili kwa wanachama wa RAAWU tawi la HESLB, Kaimu Mkurugenzi Msaidizi wa...
11 years ago
Tanzania Daima02 Feb
‘Mikopo ya walimu inadumaza elimu’
MWENYEKITI wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), Zitto Kabwe, amesema kiwango cha elimu kinazidi kuporomoka kutokana na walimu kuwa na mikopo mingi. Akizungumza juzi wakati...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania