Elimu bora inawezekana Serikali ikiamua
Baada ya matokeo ya Mtihani ya Darasa la Saba mwaka 2011 kutangazwa, mengi yalizungumzwa hasa baada ya kubainika kuwa zaidi ya wanafunzi 5,200 waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza walikuwa hawajui kusoma wala kuandika.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi25 Nov
Mikopo ya elimu inawezekana
Moja ya kero kuu zinazoikabili sekta ya elimu nchini ni kuwapo kwa idadi kubwa ya wanafunzi wa elimu ya juu wanaokosa mikopo. Wanaobahatika kupata nao wanapewa chini ya kima halisi wanachohitaji pia fedha zenyewe baadhi ya nyakati zinachelewa kuwafikia.
9 years ago
BBCSwahili04 Jan
Hiddink: Inawezekana Chelsea kumaliza nne bora
Hiddink amesema bado inawezekana klabu hiyo kumaliza katika nne bora Ligi ya Premia baada yao kulaza Crystal Palace 3-0 Jumapili.
10 years ago
Mwananchi28 Oct
Elimu ya ujasiriamali shuleni na vyuoni inawezekana- 1
Miezi kadha iliyopita tulishuhudia takriban vijana 10,000 wakimiminika katika Uwanja Mkuu wa Taifa kwa ajili ya usaili wa nafasi 70 za kazi katika idara mbalimbali za Uhamiahaji.
10 years ago
Mwananchi04 Nov
Elimu ya ujasiriamali shuleni na vyuoni inawezekana-2
Wiki iliyopita nilianza kugusia sababu kwa nini tunahitaji kuufanyia mabadiliko mfumo wetu wa elimu. Endelea
11 years ago
Michuzi08 Jul
WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO, Dr. SHUKURU KAWAMBWA, AIPONGEZA SHULE YA SEKONDARI " IMPERIAL" KWA JINSI ILIVYO JIPANGA KUTOA ELIMU BORA.
Waziri wa Elimu na Mafunzo, Dr. Shukuru Kawambwa, jana Tarehe 7 July-2014, alitembelea maenesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa (TANTRADE) , yajulikanayo kama maonesho ya Saba Saba, na kutembelea Banda la Shule ya Sekondari Imperial, Dr. Kawambwa ametoa pongezi kwa uongozi na waalimu wa Shule ya Sekondari Imperial, kwa Jinsi ilivyojipanga kuhakikisha inatoa Elimu Bora Nchini, inayokidhi viwango vya Kimataifa, kwa gharama nafuu.
Shule ya Sekondari Imperial, iko Msolwa-Chalinze.
Shule imejengwa...
Shule ya Sekondari Imperial, iko Msolwa-Chalinze.
Shule imejengwa...
11 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/07/IMG_9373.jpg?width=600)
WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO AIPONGEZA SHULE YA SEKONDARI 'IMPERIAL' KWA JINSI ILIVYO JIPANGA KUTOA ELIMU BORA
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi , Dr. Shukuru Kawambwa akipokelewa na Mabalozi wa shule ya sekondari ya Imperial wakati alipowasili kwenye banda la shule hyo jana na kupata maelezo mbalimbali kutoka kwa Mkuu wa shule hiyo na waalimu. Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi , Dr. Shukuru Kawambwa akiingia katika banda la shule ya sekondari Imperial.… ...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-uPwYxTQ5CC0/Vew3BmtPihI/AAAAAAAH2nU/qxxlBT0ObS4/s72-c/Jakaya-Kikwete1.jpg)
ELIMU YA TANZANIA NI BORA, ASEMA JK
![](http://2.bp.blogspot.com/-uPwYxTQ5CC0/Vew3BmtPihI/AAAAAAAH2nU/qxxlBT0ObS4/s640/Jakaya-Kikwete1.jpg)
Na Mwandishi wetu, Dar es SalaamRAIS Jakaya Kikwete amesema madai kuwa elimu inayotolewa Tanzania ni duni ni potofu kwani wahitimu wake wanakubalika duniani.
Akihutubia Mkutano Mkuu wa Nane wa Baraza la Taifa la Biashara (TNBC) uliofanyika hivi karibuni Jijini Dar es Salaam, Rais Kikwete alisema badala yake, tatizo liko kwenye kuwaandaa wahitimu kukidhi matakwa ya soko la ajira la ndani na la kimataifa.
“Elimu yetu ni bora na inakubalika popote duniani...wahitimu wanaweza...
11 years ago
Mwananchi22 Jun
Nanai: Wapeni elimu bora watoto
Wazazi na walezi nchini wameshauriwa kuhakikisha wanawapatia elimu bora watoto wao kwa kuwa ni taifa la kesho.
11 years ago
Tanzania Daima12 Jan
TAS walilia afya, elimu bora
CHAMA cha Watu Wenye Ulemavu wa Ngozi nchini (TAS) Mkoa wa Mwanza, kimeiomba serikali kuipatia jamii hiyo huduma bora za afya na elimu, ikiwemo ofisi za kuendesha shughuli zao. Ombi...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania