Nanai: Wapeni elimu bora watoto
Wazazi na walezi nchini wameshauriwa kuhakikisha wanawapatia elimu bora watoto wao kwa kuwa ni taifa la kesho.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi11 May
Wapeni lishe bora watoto wenu-Rai
Wazazi wametakiwa kutilia mkazo lishe na afya za watoto wao, kwani kwa kufanya hivyo kutawaongezea uwezo wa kujifunza shuleni.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-9AZe3MQUqB8/XmekAT1g6vI/AAAAAAALidc/sM5Y5vLB5foQsn4W5U33YzRWPs0Mdc3RQCLcBGAsYHQ/s72-c/b92722be-1e86-43e3-a068-61abe5ad5369.jpg)
WAPENI ELIMU YA KUJIKINGA NA CORONA WANANCHI-DKT.CHAULA
![](https://1.bp.blogspot.com/-9AZe3MQUqB8/XmekAT1g6vI/AAAAAAALidc/sM5Y5vLB5foQsn4W5U33YzRWPs0Mdc3RQCLcBGAsYHQ/s640/b92722be-1e86-43e3-a068-61abe5ad5369.jpg)
Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto-Idara kuu afya Dkt. Zainab Chaula akiongea na waganga wakuu wa mikoa(hawapo pichani) wakati wa mkutano wa kujadili utayari wa kukabiliana na tishio la mlipuko wa virus vya corona kwenye ukumbi wa mkutano wa hospitali ya taifa muhimbili-mloganzila
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/f20de537-5f8c-41e4-bfd4-7af3fc7841ae.jpg)
Baadhi wa waganga wakuu wa mikoa na maofisa kutoka wizara ya afya walioshiriki mkutano wa kujadili tishio la ugonjwa wa Corona.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/7d025d66-c4a5-450c-9891-ceb0cc0b5666.jpg)
Naibu Mkuu anayeshughulikia afya kutoka Ofisi ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-GO3SQUgkAzg/Xr0fKjSzJYI/AAAAAAALqLA/8GxMKHyLZjAnROaMK4KgWP77OVkKGeZqgCLcBGAsYHQ/s72-c/73ee6664-8517-47de-946c-20d14b3656fa.jpg)
DC LUDEWA AWASISITIZA WAZAZI KUHAKIKISHA WATOTO WAO WANAPATA ELIMU BORA
![](https://1.bp.blogspot.com/-GO3SQUgkAzg/Xr0fKjSzJYI/AAAAAAALqLA/8GxMKHyLZjAnROaMK4KgWP77OVkKGeZqgCLcBGAsYHQ/s640/73ee6664-8517-47de-946c-20d14b3656fa.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-j4G00-WWrzE/Xr0fJszCF5I/AAAAAAALqK4/Qur5F1JoGFMxqRcU6jibKTPgncC8VcRoACLcBGAsYHQ/s640/0ee5a40c-557c-42a9-9280-0091e3f2c9eb%2B%25281%2529.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-uZEXrKEFIoU/Xr0fJ64AJ7I/AAAAAAALqK8/swDbAYagS1kRiySUXCpuB2MhVLdYc2IUgCLcBGAsYHQ/s640/2c188978-fc3d-4ed4-b9bb-32e14222c811.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-vHGYXYXb9Lg/Xr0fLOuB_aI/AAAAAAALqLE/P57Zwo4ty3kAdpgL9evfkHlyZhYmfpbIQCLcBGAsYHQ/s640/a7f6f638-f38e-4d2d-be88-50de3237c566.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-KcOHm_n-31E/U_MarajqlKI/AAAAAAAGArY/UjO1jGuNT6Q/s72-c/unnamed%2B(24).jpg)
Wazazi wana wajibu na ulazima wa kuhakikisha watoto wao wanapata elimu bora - Balozi Seif Ali Iddi
Wazazi wana wajibu na ulazima wa kuhakikisha kwamba watoto wao wanawasimamia vyema katika kupata elimu bora itakayotoa mwanga wa kimaisha katika hatma yao ya baadaye.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi alitoa nasaha hizo wakati akizunghumza na Uongozi wa Kamati ya Skuli, walimu, Wazazi na Wanafunzi wa Skuli ya Sekondari ya Kinyasini Wilaya ya Kaskazini “A “ mara baada ya kuikagua na kuangalia maendeleo na changamoto zinazoikabili skuli hiyo.
Balozi Seif alisema elimu...
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi alitoa nasaha hizo wakati akizunghumza na Uongozi wa Kamati ya Skuli, walimu, Wazazi na Wanafunzi wa Skuli ya Sekondari ya Kinyasini Wilaya ya Kaskazini “A “ mara baada ya kuikagua na kuangalia maendeleo na changamoto zinazoikabili skuli hiyo.
Balozi Seif alisema elimu...
11 years ago
Michuzi08 Jul
WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO, Dr. SHUKURU KAWAMBWA, AIPONGEZA SHULE YA SEKONDARI " IMPERIAL" KWA JINSI ILIVYO JIPANGA KUTOA ELIMU BORA.
Waziri wa Elimu na Mafunzo, Dr. Shukuru Kawambwa, jana Tarehe 7 July-2014, alitembelea maenesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa (TANTRADE) , yajulikanayo kama maonesho ya Saba Saba, na kutembelea Banda la Shule ya Sekondari Imperial, Dr. Kawambwa ametoa pongezi kwa uongozi na waalimu wa Shule ya Sekondari Imperial, kwa Jinsi ilivyojipanga kuhakikisha inatoa Elimu Bora Nchini, inayokidhi viwango vya Kimataifa, kwa gharama nafuu.
Shule ya Sekondari Imperial, iko Msolwa-Chalinze.
Shule imejengwa...
Shule ya Sekondari Imperial, iko Msolwa-Chalinze.
Shule imejengwa...
11 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/07/IMG_9373.jpg?width=600)
WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO AIPONGEZA SHULE YA SEKONDARI 'IMPERIAL' KWA JINSI ILIVYO JIPANGA KUTOA ELIMU BORA
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi , Dr. Shukuru Kawambwa akipokelewa na Mabalozi wa shule ya sekondari ya Imperial wakati alipowasili kwenye banda la shule hyo jana na kupata maelezo mbalimbali kutoka kwa Mkuu wa shule hiyo na waalimu. Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi , Dr. Shukuru Kawambwa akiingia katika banda la shule ya sekondari Imperial.… ...
10 years ago
Mwananchi12 Apr
Nanai: Vijana jiandikisheni Daftari la Wapigakura
>Vijana wametakiwa kujiandikisha katika Daftari la Kudumu la Wapigakura ili washiriki katika Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani Oktoba mwaka huu.
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-uPwYxTQ5CC0/Vew3BmtPihI/AAAAAAAH2nU/qxxlBT0ObS4/s72-c/Jakaya-Kikwete1.jpg)
ELIMU YA TANZANIA NI BORA, ASEMA JK
![](http://2.bp.blogspot.com/-uPwYxTQ5CC0/Vew3BmtPihI/AAAAAAAH2nU/qxxlBT0ObS4/s640/Jakaya-Kikwete1.jpg)
Na Mwandishi wetu, Dar es SalaamRAIS Jakaya Kikwete amesema madai kuwa elimu inayotolewa Tanzania ni duni ni potofu kwani wahitimu wake wanakubalika duniani.
Akihutubia Mkutano Mkuu wa Nane wa Baraza la Taifa la Biashara (TNBC) uliofanyika hivi karibuni Jijini Dar es Salaam, Rais Kikwete alisema badala yake, tatizo liko kwenye kuwaandaa wahitimu kukidhi matakwa ya soko la ajira la ndani na la kimataifa.
“Elimu yetu ni bora na inakubalika popote duniani...wahitimu wanaweza...
10 years ago
Mwananchi30 Nov
Nanai: Sekta binafsi ina mchango mkubwa
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL), Francis Nanai ameiomba Serikali kuongeza ushirikiano na sekta binafsi kwa kuwa inatoa mchango mkubwa kwenye maendeleo ya Taifa.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania