TAS walilia afya, elimu bora
CHAMA cha Watu Wenye Ulemavu wa Ngozi nchini (TAS) Mkoa wa Mwanza, kimeiomba serikali kuipatia jamii hiyo huduma bora za afya na elimu, ikiwemo ofisi za kuendesha shughuli zao. Ombi...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima19 Jul
Elimu ya Juu walilia fedha za mafunzo
WANAFUNZI wa elimu ya juu nchini, wameitupia lawama Bodi ya Mikopo kwa kuwacheleweshea fedha za kujikimu wakati wa mafunzo kwa vitendo. Wakizungumza na Tanzania Daima jana kwa njia ya simu,...
9 years ago
Dewji Blog26 Dec
Raia waamilifu walilia huduma bora kwa wakulima
Na Krantz Mwantepele,
“Huku tupo tu tunahangaika na kilimo, tunalima kila mwaka, lakini ukweli ni kwamba kilimo chetu wala hakina faida basi tu bora siku ziende” Lilikuwa ni jibu toka Alex Jonh maarufu kwa jina la “Mafuriko” mmoja wa wanaharakati na waraghbishi wa kijiji cha Lugunga, kilichopo wilaya ya Mbogwe, mkoani Geita baada ya kuulizwa swali kuhusu maendeleo ya kijiji chao na mmoja wa waandishi wa habari za mitandao Ali Masoud maarufu kwa jina la Kipanya.
Kijiji hiki kina wakazi...
9 years ago
StarTV22 Dec
Sera Ya Afya Kutotungiwa Sheria yasababisha  Wazee nchini wakosa huduma bora za afya
Kukosekana kwa huduma bora katika sekta ya afya inayowatambua wazee kupata matibabu bora na bure kunatokana na sera ya wazee kutotungiwa sheria tangu mwaka 2003 inayotoa muongozo kwa watendaji wa Serikali na taasisi mbalimbali kuwahudumia.
Licha ya sera hiyo kutoa mwongozo kwa kila zahanati, kituo cha afya na hospitali za wilaya na mkoa kuwa na chumba maalumu kwa ajili ya matibabu ya wazee ikiwemo daktari anayetambua magonjwa yao lakini bado sera hiyo haitekelezwi.
Naibu Mkurugenzi wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-KCJDtnmMhwQ/Xr2GfnCGKSI/AAAAAAALqRc/CFpyvjL1Q5w15fkE39S9zbHbecKCTzteQCLcBGAsYHQ/s72-c/64d3de49-bd61-444c-9eed-b6361a663742-768x512.jpg)
JAFO AZINDUA KITUO CHA AFYA WILAYA YA KITETO, AWATAKA WAHUDUMU WA AFYA KUTOA HUDUMA BORA KWA WANANCHI
![](https://1.bp.blogspot.com/-KCJDtnmMhwQ/Xr2GfnCGKSI/AAAAAAALqRc/CFpyvjL1Q5w15fkE39S9zbHbecKCTzteQCLcBGAsYHQ/s640/64d3de49-bd61-444c-9eed-b6361a663742-768x512.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/b5c06735-ef65-4901-9094-4edc9a418852-1024x683.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/09a3b3d2-a405-43e5-9eca-2d4b6b034c1a-1024x683.jpg)
11 years ago
Michuzi08 Jul
WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO, Dr. SHUKURU KAWAMBWA, AIPONGEZA SHULE YA SEKONDARI " IMPERIAL" KWA JINSI ILIVYO JIPANGA KUTOA ELIMU BORA.
Shule ya Sekondari Imperial, iko Msolwa-Chalinze.
Shule imejengwa...
11 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/07/IMG_9373.jpg?width=600)
WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO AIPONGEZA SHULE YA SEKONDARI 'IMPERIAL' KWA JINSI ILIVYO JIPANGA KUTOA ELIMU BORA
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-uPwYxTQ5CC0/Vew3BmtPihI/AAAAAAAH2nU/qxxlBT0ObS4/s72-c/Jakaya-Kikwete1.jpg)
ELIMU YA TANZANIA NI BORA, ASEMA JK
![](http://2.bp.blogspot.com/-uPwYxTQ5CC0/Vew3BmtPihI/AAAAAAAH2nU/qxxlBT0ObS4/s640/Jakaya-Kikwete1.jpg)
Na Mwandishi wetu, Dar es SalaamRAIS Jakaya Kikwete amesema madai kuwa elimu inayotolewa Tanzania ni duni ni potofu kwani wahitimu wake wanakubalika duniani.
Akihutubia Mkutano Mkuu wa Nane wa Baraza la Taifa la Biashara (TNBC) uliofanyika hivi karibuni Jijini Dar es Salaam, Rais Kikwete alisema badala yake, tatizo liko kwenye kuwaandaa wahitimu kukidhi matakwa ya soko la ajira la ndani na la kimataifa.
“Elimu yetu ni bora na inakubalika popote duniani...wahitimu wanaweza...
9 years ago
Raia Tanzania03 Sep
Samia: Nitapigania huduma bora za afya
WIKI moja iliyopita Chama Cha Mapinduzi (CCM) kilizindua kampeni zake za Uchaguzi Mkuu, katika viwanja vya jangwani jijini Dar es Salaam uzinduzi ambao ulifana kwa kuhudhuriwa na maelfu ya wananchi.
Uzinduzi huo ulifungua pazia kwa chama hicho kuanza kufanya kampeni ya kuomba ridhaa ya wananchi kukirejesha madarakani ili kiendelee kutawala kwa miaka mitano ijayo.
Ni kupitia uzinduzi huo , CCM iliweka hadharani ilani yake ya Uchaguzi na mgombea wake Dk. John Magufuli na...