Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Raia waamilifu walilia huduma bora kwa wakulima

Na Krantz Mwantepele,

“Huku tupo tu tunahangaika na kilimo, tunalima kila mwaka, lakini ukweli ni kwamba kilimo chetu wala hakina faida basi tu bora siku ziende” Lilikuwa ni jibu toka Alex Jonh maarufu kwa jina la “Mafuriko” mmoja wa wanaharakati na waraghbishi wa kijiji cha Lugunga, kilichopo wilaya ya Mbogwe, mkoani Geita baada ya kuulizwa swali kuhusu maendeleo ya kijiji chao na mmoja wa waandishi wa habari za mitandao Ali Masoud maarufu kwa jina la Kipanya.

Kijiji hiki kina wakazi...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

Tunapaswa kujivunia kwa kuongeza eneo la uzalishaji wa mbegu, miche bora pamoja usajili wa Wakulima na watoa huduma za kilimo – Waziri Hasunga

Afisa Mawasiliano serikalini Wizara ya Kilimo Ndg Issa Sabuni (Mwenye Fulana) jambo mbele ya Waziri wa Kilimo Mhe Japhet Hasunga (Mwenye Tai) wakati wa uzinduzi wa mtandao wa kutoa habari (Kilimo Tv) uliofanyika katika ukumbi wa mikutano maarufu Kilimo IV Jijini Dodoma tarehe 8 Machi 2020. Wengine pichani ni Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Ndg Gerald Kusaya (asiye na Tai) na  Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Prof Siza Tumbo (Mwenye kaunda suti). (Picha Zote Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo)

 

11 years ago

Mwananchi

Wakulima wa pamba walilia pembejeo

>Wakulima wa zao la pamba mkoani Mara, wamelalamikia ukosefu wa pembejeo, hususani dawa ya kunyunyuzi zao hilo pamoja na kilimo cha mkataba kwa madai sasa hakiwanufaishi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wakulima wa chai Tanga walilia kiwanda cha Mponde

KUTOKANA na wakulima wa chai wilayani Lushoto kukosa sehemu ya kuuza zao lao hilo kwa kipindi cha mwaka mmoja sasa wameamua kutafuta njia za kisheria zaidi. Kiwanda walichokuwa wanakitegemea kuuza...

 

11 years ago

Tanzania Daima

TAS walilia afya, elimu bora

CHAMA cha Watu Wenye Ulemavu wa Ngozi nchini (TAS) Mkoa wa Mwanza, kimeiomba serikali kuipatia jamii hiyo huduma bora za afya na elimu, ikiwemo ofisi za kuendesha shughuli zao. Ombi...

 

11 years ago

Michuzi

NSSF YAPANUA WIGO WA HUDUMA ZAKE KWA KUANZISHA MPANGO MAALUMU KWA WAKULIMA NA WACHIMBA MADINI WADOGO

Kaimu Mkurugenzi Mkuu, Crescesius Magori (kulia) wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF akipata maelezo kutoka kwa Meneja Kiongozi, Uhusiano na  Huduma kwa Wateja, Eunice Chiume (katikati) wa Shirika hilo alipotembelea banda hilo katika Maonesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa (Sabasaba). Wa pili kulia ni Mkurugenzi wa Mawasiliano na  Teknohama, Idi Khalfani, Kushoto ni Afisa Uhusiano Mwandamizi, Teopista Muheta.Kwa sasa Wakulima na wachimba madini Wadogo wanaweza kujichangia na...

 

9 years ago

Global Publishers

Airtel yashinda tuzo mbili kwa kutoa huduma bora kwa wateja‏

pic 1 (3)MKurugenzi Mkuu wa Airtel Bwana Sunil Colaso akipokea tuzo ya ubora katika kipengele cha kutoa huduma za kimtandao kutoka kwa waandaaji wa tuzo za Tanzania Leadership Award bwana Kishore Bollakpalli (kushoto). Airtel Tanzania imejishindia tuzo mbili za ubora katika kipengele cha kutoa huduma za kimtandao pamoja na huduma zinazokidhi mahitaji ya wateja.

Yajishindia tuzo kwa matumizi bora katika kutoa huuduma za kimtandao pamoja na huduma zinazokidhi mahitaji ya wateja

Dar es Salaam, Jumanne...

 

10 years ago

Michuzi

PSPF YAPATA TUZO YA KIMATAIFA KWA KUTOA HUDUMA BORA KWA WATEJA WAKE


unnamedBalozi wa PSPF Bw.Mrisho Mpoto alionesha tuzo iliyotolewa na Taasisi ya Kimataifa ya kusimamia Mifuko ya Hifadhi ya Jamii (ISSA) kwa Mfuko wa Pensheni wa PSPF kwa ajili ya kwa  kutumiaTeknolojia ya Habari na Mawasilino katika utunzaji wa kumbukumbu za wateja na kwa kuwasiliana na wateja wake kwa kutumia simu za mikonono, kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa PSPF Bw. Adam Mayingu.

 

10 years ago

Michuzi

MKUU WA MKOA WA TANGA AUSIFU MFUKO WA GEPF KWA UBUNIFU NA HUDUMA BORA KWA WATEJA

Meneja Masoko wa Mfuko wa GEPF,Aloyce Ntukamazina (aliesimama) akitoa hotuba ya ufunguzi na kumkaribisha mgeni rasmi, Mkuu wa Mkoa wa Tanga,Mh. Magalula Saidi Magalula (katikati) kufungua semina maalum kwa maafisa rasilimali watu wa Mkoa wa Tanga,iliyofanyika kwenye Hoteli ya Tanga Beach Resort,jijini humo.wa kwanza kushoto ni meneja wa GEPF mkoa wa Tanga,Silvanus Aloyce. Mkuu wa Mkoa wa Tanga,Mh. Magalula Saidi Magalula akifungua rasmi semina hiyo maalum kwa maafisa rasilimali watu wa...

 

11 years ago

Dewji Blog

TBL yatoa elimu kwa wakulima juu ya uzalishaji bora wa zao la Shayiri

001.Joel Msechu mtaalamu wa shyiri kutoka TBL akiwaonyesha wakulima magonjwa wa shyiri na namna ya kuzuia magonjwa hayo

 Joel Msechu mtaalamu wa zao la shayiri kutoka Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) akiwaonesha wakulima magonjwa wa shayiri na namna ya kuzuia magonjwa hayo katika katika mashamba yaliyopo Kijiji cha Emairete Monduli juu, mkoani Arusha. Wakulima hao huwezeshwa na Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) katika uzalishaji wa zao hilo ambalo ni malighafi ya kutengenezea bia zinzozalishwa na kampuni hiyo.

01-Dr Bennie Basson akiwaonyesha wakulima kijitabu cha muongozo wa kilimo cha shayiri

Meneja wa Zao la Shayiri Dk. Bennie Basson akiwaonesha wakulima kijitabu cha muongozo wa kilimo cha...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani