Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ofisa Elimu Wilaya, walimu 6 washushwa vyeo

NAIBU Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), anayeshughulikia Elimu, Kassim Majaliwa, amemvua madaraka kwa kumshusha cheo Ofisa Elimu wa Wilaya ya Mbinga mkoani Ruvuma, Hanji Godigodi. Godigodi anadaiwa kushindwa kutekeleza majukumu yake ya kazi na kufanya ubadhirifu wa Sh milioni 268 za maendeleo ya elimu ya sekondari wilayani humo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Walimu wakuu washushwa vyeo

Walimu wakuu 16 wa shule za msingi mkoani hapa wameshushwa vyeo baada ya kushindwa kuwajibika vyema.

 

10 years ago

Mwananchi

Walimu wakuu Dodoma washushwa vyeo kwa kushindwa kuwajaibika

Walimu wakuu 16 wa shule za msingi mkoani hapa wameshushwa vyeo  mwaka huu baada ya kushindwa kuwajibika vyema  katika nafasi zao.

 

11 years ago

Mwananchi

Waziri awashusha vyeo ofisa elimu, wakuu wa shule za sekondari

Naibu Waziri wa Nchi katika Ofisi ya Waziri Mkuu (Tamisemi), Kassim Majaliwa, ametengua uteuzi wa Ofisa Elimu ya Sekondari wa Wilaya ya Mbinga, Hanji Godigodi na wakuu sita wa shule za sekondari wilayani humo kwa tuhuma za ubadhirifu Sh60 milioni.

 

5 years ago

Michuzi

OFISA ELIMU NYASA AWACHARUKIA WALIMU WAKUU NA MAAFISA ELIMU KATA



Ofisa Elimu msingi Wilaya ya Nyasa Bw. Said Kalima akiongea na Walimu wakuu na Maafisa Elimu kata wa Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa jana, Katika ukumbi wa Kasimu Majaliwa ulioko katika shule ya Sekondari Mbamba-bay wilayani hapa.Amewaagiza walimu hao kufundisha kwa bidii na kutomvumilia mwalimu mzembe na kupandisha ufaulu ufikie asilimia mia moja kwa Wilaya ya nyasa,kuanzia mwaka huu 2020 na kuendelea.

……………………………………………………………………………………….

Ofisa Elimu Msingi wa Wilaya ya Nyasa Said Kalima,...

 

10 years ago

Habarileo

Washushwa vyeo kwa uzembe maabara za JK

Mkuu wa Wilaya ya Mtwara, Wilman NdileMKUU wa Wilaya ya Mtwara, Wilman Ndile amemwagiza Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mtwara Vijijini, kutoa adhabu kali kwa Ofisa Mtendaji wa Kata ya Madimba na Mkuu wa Shule ya Sekondari ya Kutwa ya Mayanga wilayani humo kwa madai ya kushindwa kusimamia kikamilifu ujenzi wa maabara.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Walimu Maswa wamkataa Ofisa Elimu

WALIMU wa shule za msingi katika Halmashauri ya Wilaya ya Maswa, mkoani Simiyu, wamemtaka mkurugenzi na mwenyekiti wa halmashauri hiyo kumwondoa Ofisa Elimu wa Shule za Msingi wilayani humo, Mabeyo...

 

10 years ago

Habarileo

Ofisa elimu kortini kwa kutapeli mil 5.4/-

OFISA Elimu wa Sekondari wa Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara, Julius Mduma amefikishwa kwenye Mahakama ya Wilaya ya Kiteto na kushtakiwa kwa kosa la kujipatia Sh 5.4 milioni kwa njia ya udanganyifu.

 

5 years ago

Michuzi

MAHAKAMA YAHOJI UPELELEZI WA KESI YA UHUJUMU UCHUMI INAYOMKABILI OFISA ELIMU KWA UMMA LHRC

Na Karama Kenyunko, Michuzi Globu ya jamii.
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imeutaka upande wa mashtaka katika  kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili Ofisa Elimu kwa Umma wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) Tito Magoti (26) na mwenzake kueleza hali ya upelelezi umefikia wapi kama unakwenda mbele au la.
Tito anashtakiwa na mwenzake mbaye ni mtaalamu wa masuala ya Tehama Theodory Gyan (36) ambapo wote kwa pamoja wanakabiliwa na mashtaka ya utakatishaji fedha wa Sh.milioni 17,...

 

11 years ago

Mwananchi

Shule Wilaya ya Handeni hazina nyumba za walimu

Imeelezwa kuwa zaidi ya asilimia 50 ya shule katika Wilaya ya Handeni mkaoni Tanga, zina upungufu wa nyumba za kuishi walimu hasa maeneo ya nje ya wilaya.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani