Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Madiwani Simanjiro wamkataa Mkurugenzi

BARAZA la Madiwani la Halmashauri ya wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara, juzi liligeuka kuwa kamati ili kujadili ajenda namba tano iliyokuwa ikihusu kupunguzwa kwa posho za vikao vya madiwani kutoka Sh 80,000 kwa kila diwani hadi Sh 40,000.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Madiwani wamkataa Mkurugenzi

BARAZA la Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo, mkoani Pwani, limemtaka Waziri Mkuu Mizengo Pinda kumtafutia kituo kingine cha kazi Mkurugenzi wa halmashauri hiyo, Samweli Sarianga, kutokana na kushindwa...

 

10 years ago

Habarileo

Iramba wamkataa mkurugenzi wao

WAJUMBE wa Kamati ya Utawala, Mipango na Fedha katika Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba mkoani Singida, wameamua kutohudhuria kikao chochote hadi Serikali itakapomwondoa Mkurugenzi Mtendaji wake (DED), Halima Mpita.

 

10 years ago

Mwananchi

Madiwani wataka mkurugenzi asimamishwe

>Baraza la Madiwani Halmashauri ya Manispaa ya Moshi, limepitisha maazimio ya kumtaka Rais Jakaya Kikwete, kumsimamisha kazi kwa muda mkurugenzi wa manispaa hiyo, Shaban Ntarambe.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Madiwani, Mkurugenzi Arusha wavutana

KIKAO cha Baraza la Madiwani cha Jiji la Arusha kimeshindwa kufanyika baada ya madiwani kupitisha hoja ya kukaa kama kamati wakitaka kujadili nidhamu ya Mkurugenzi wa jiji hilo, Sipora Liana,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Madiwani Kalambo wamgomea mkurugenzi

MKURUGENZI Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa, Philibert Ngaponda, amejikuta kwenye wakati mgumu baada ya madiwani kugoma kuendelea na kikao cha Baraza la Madiwani kutokana na kile...

 

11 years ago

Habarileo

Mkurugenzi awaasa madiwani wa Jiji

MADIWANI na watendaji wa kata 12 za halmashauri ya jiji la Mwanza, wametakiwa kuweka takwimu katika taarifa zao za utekelezaji wa shughuli za maendeleo ya kata kubaini ukubwa wa matatizo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Madiwani Maswa wamjia juu mkurugenzi

MADIWANI wa Halmashauri ya Wilaya ya Maswa, Mkoa wa Simiyu, wamemjia juu mkurugenzi wa halmashauri hiyo, Hilda Lauwo, wakimtaka atoe maelezo ni kwa nini anashindwa kuwaalika waandishi wa habari hasa...

 

10 years ago

Mwananchi

Madiwani walaani jaribio la kumuua mkurugenzi

 Madiwani wa CCM wilayani Iramba wamelaani vikali jaribio la kutaka kuuawa kwa bomu mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba.

 

10 years ago

Habarileo

Madiwani Mufindi wapandisha presha ya Mkurugenzi, alazwa

 Paulo NtinikaMKURUGENZI wa Halmashauri ya Wilaya ya Mufindi, Paulo Ntinika, amejikuta akilazimika kutoka katika kikao cha Baraza la Madiwani na kwenda kupumzishwa hospitalini, baada ya madiwani kumtuhumu moja kwa moja kwa matumizi mabaya ya zaidi ya Sh milioni 291.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani