Madiwani walaani jaribio la kumuua mkurugenzi
 Madiwani wa CCM wilayani Iramba wamelaani vikali jaribio la kutaka kuuawa kwa bomu mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog19 Jan
Madiwani Iramba wataka Jeshi la Polisi kuwasaka waliofanya jaribio la kumuua DED kwa bomu
Katibu wa madiwani wa CCM wilaya ya Iramba na diwani wa kata ya Urughu, Simon Tyosela, akizungumza na waandishi wa habari juu ya tamko lao la kulaani vikali jaribio la kutaka kumuawa Mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya Iramba, Halima Mpita Januari 2 mwaka huu saa 1.15 asubui akiwa nyumbani kwake.(Picha na Nathaniel Limu).
Na Nathaniel Limu, Singida
MADIWANI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilaya ya Iramba mkoa wa Singida,wamelaani vikali jaribio la kutaka kumuawa kwa bomu mkurugenzi...
10 years ago
BBCSwahili29 Aug
4 hatiani kwa jaribio la kumuua Nyamwasa
11 years ago
BBCSwahili29 Jan
Jaribio la kumuua waziri Libya latibuka
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-reT7fSF_m-k/VVSPH6dRZmI/AAAAAAAHXRs/ObkeLAYa93E/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-05-14%2Bat%2B2.56.00%2BPM.png)
MARAIS WA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI WALAANI JARIBIO LA KUPINDULIWA KWA RAIS NKURUNZINZA - MEMBE
Globu ya Jamii
MARAIS wa Jumuiya ya Afrika Mashariki wamelaani kitendo cha baadhi ya askari kufanya jaribio la kutaka kuipindua serikali ya Burundi.Akizungumza na waandishi wa Habari jijini Dar es salaam leo, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard Membe amesema kuwa hali ya Burundi ni tete na kwamba japo linaonekana ni jambo dogo lakini linaweza kugharimu maisha ya watu.
"Hivyo tunatakiwa tuvute subira...Tusubiri na sio kulitangaza suala hilo...
11 years ago
Tanzania Daima12 May
Madiwani wamkataa Mkurugenzi
BARAZA la Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo, mkoani Pwani, limemtaka Waziri Mkuu Mizengo Pinda kumtafutia kituo kingine cha kazi Mkurugenzi wa halmashauri hiyo, Samweli Sarianga, kutokana na kushindwa...
10 years ago
GPL16 May
WANAJESHI WA JARIBIO LA JARIBIO LA MAPINDUZI-BURUNDI WALIVYOKAMATWA
10 years ago
Habarileo25 Oct
Madiwani Simanjiro wamkataa Mkurugenzi
BARAZA la Madiwani la Halmashauri ya wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara, juzi liligeuka kuwa kamati ili kujadili ajenda namba tano iliyokuwa ikihusu kupunguzwa kwa posho za vikao vya madiwani kutoka Sh 80,000 kwa kila diwani hadi Sh 40,000.
11 years ago
Tanzania Daima29 Jul
Madiwani Kalambo wamgomea mkurugenzi
MKURUGENZI Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa, Philibert Ngaponda, amejikuta kwenye wakati mgumu baada ya madiwani kugoma kuendelea na kikao cha Baraza la Madiwani kutokana na kile...
10 years ago
Mwananchi27 Jan
Madiwani wataka mkurugenzi asimamishwe