Mkurugenzi awaasa madiwani wa Jiji
MADIWANI na watendaji wa kata 12 za halmashauri ya jiji la Mwanza, wametakiwa kuweka takwimu katika taarifa zao za utekelezaji wa shughuli za maendeleo ya kata kubaini ukubwa wa matatizo.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLMWANAHARAKATI AVAA GUNIA NA KUTINGA OFISI ZA JIJI KUMDAI MKURUGENZI WA JIJI LA MWANZA AMLIPE FEDHA ZAKE
11 years ago
Tanzania Daima12 May
Madiwani wamkataa Mkurugenzi
BARAZA la Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo, mkoani Pwani, limemtaka Waziri Mkuu Mizengo Pinda kumtafutia kituo kingine cha kazi Mkurugenzi wa halmashauri hiyo, Samweli Sarianga, kutokana na kushindwa...
9 years ago
Habarileo08 Dec
Jiji Arusha wazindua baraza la madiwani
BARAZA la kwanza la Madiwani waliochaguliwa katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25, mwaka huu katika Halmashauri ya Jiji la Arusha linatarajiwa kufanyika leo.
11 years ago
Habarileo11 Jan
Madiwani wakwamisha bajeti ya Jiji Mwanza
KIKAO cha Baraza la Madiwani jijini Mwanza jana kilikataa kupitisha bajeti ya mwaka 20014/15 kwa madai kuwa haijakidhi matakwa ya wananchi kwa kutoa kipaumbele zaidi kwa wafanyakazi.
11 years ago
Tanzania Daima26 May
Safisha jiji yawakera madiwani Arusha
BAADHI ya madiwani wa Jiji la Arusha, wameeleza kukerwa na zoezi la safisha safisha jiji hilo zilivyoendeshwa kwa misingi ya kukiuka haki za binadamu. Madiwani hao wametaka zoezi hilo lifanyike...
11 years ago
Tanzania Daima29 Jul
Madiwani Kalambo wamgomea mkurugenzi
MKURUGENZI Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa, Philibert Ngaponda, amejikuta kwenye wakati mgumu baada ya madiwani kugoma kuendelea na kikao cha Baraza la Madiwani kutokana na kile...
10 years ago
Habarileo25 Oct
Madiwani Simanjiro wamkataa Mkurugenzi
BARAZA la Madiwani la Halmashauri ya wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara, juzi liligeuka kuwa kamati ili kujadili ajenda namba tano iliyokuwa ikihusu kupunguzwa kwa posho za vikao vya madiwani kutoka Sh 80,000 kwa kila diwani hadi Sh 40,000.
10 years ago
Mwananchi27 Jan
Madiwani wataka mkurugenzi asimamishwe
11 years ago
Tanzania Daima17 Jan
Madiwani, Mkurugenzi Arusha wavutana
KIKAO cha Baraza la Madiwani cha Jiji la Arusha kimeshindwa kufanyika baada ya madiwani kupitisha hoja ya kukaa kama kamati wakitaka kujadili nidhamu ya Mkurugenzi wa jiji hilo, Sipora Liana,...