Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mkurugenzi awaasa madiwani wa Jiji

MADIWANI na watendaji wa kata 12 za halmashauri ya jiji la Mwanza, wametakiwa kuweka takwimu katika taarifa zao za utekelezaji wa shughuli za maendeleo ya kata kubaini ukubwa wa matatizo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MWANAHARAKATI AVAA GUNIA NA KUTINGA OFISI ZA JIJI KUMDAI MKURUGENZI WA JIJI LA MWANZA AMLIPE FEDHA ZAKE

Mwanaharakati John Masweta akiwa kwenye geti kuu la Makao Makuu ya Jiji la Mwanza.…

 

11 years ago

Tanzania Daima

Madiwani wamkataa Mkurugenzi

BARAZA la Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo, mkoani Pwani, limemtaka Waziri Mkuu Mizengo Pinda kumtafutia kituo kingine cha kazi Mkurugenzi wa halmashauri hiyo, Samweli Sarianga, kutokana na kushindwa...

 

9 years ago

Habarileo

Jiji Arusha wazindua baraza la madiwani

 BARAZA la kwanza la Madiwani waliochaguliwa katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25, mwaka huu katika Halmashauri ya Jiji la Arusha linatarajiwa kufanyika leo.

 

11 years ago

Habarileo

Madiwani wakwamisha bajeti ya Jiji Mwanza

KIKAO cha Baraza la Madiwani jijini Mwanza jana kilikataa kupitisha bajeti ya mwaka 20014/15 kwa madai kuwa haijakidhi matakwa ya wananchi kwa kutoa kipaumbele zaidi kwa wafanyakazi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Safisha jiji yawakera madiwani Arusha

BAADHI ya madiwani wa Jiji la Arusha, wameeleza kukerwa na zoezi la safisha safisha jiji hilo zilivyoendeshwa kwa misingi ya kukiuka haki za binadamu. Madiwani hao wametaka zoezi hilo lifanyike...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Madiwani Kalambo wamgomea mkurugenzi

MKURUGENZI Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa, Philibert Ngaponda, amejikuta kwenye wakati mgumu baada ya madiwani kugoma kuendelea na kikao cha Baraza la Madiwani kutokana na kile...

 

10 years ago

Habarileo

Madiwani Simanjiro wamkataa Mkurugenzi

BARAZA la Madiwani la Halmashauri ya wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara, juzi liligeuka kuwa kamati ili kujadili ajenda namba tano iliyokuwa ikihusu kupunguzwa kwa posho za vikao vya madiwani kutoka Sh 80,000 kwa kila diwani hadi Sh 40,000.

 

10 years ago

Mwananchi

Madiwani wataka mkurugenzi asimamishwe

>Baraza la Madiwani Halmashauri ya Manispaa ya Moshi, limepitisha maazimio ya kumtaka Rais Jakaya Kikwete, kumsimamisha kazi kwa muda mkurugenzi wa manispaa hiyo, Shaban Ntarambe.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Madiwani, Mkurugenzi Arusha wavutana

KIKAO cha Baraza la Madiwani cha Jiji la Arusha kimeshindwa kufanyika baada ya madiwani kupitisha hoja ya kukaa kama kamati wakitaka kujadili nidhamu ya Mkurugenzi wa jiji hilo, Sipora Liana,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani