Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uzushi mitandao ya kijamiii nchini wamkera Edward Lowassa

Waziri Mkuu aliyejiuzulu, Edward Lowassa amekerwa na tabia ya baadhi ya watu wanaosambaza uzushi katika mitandao ya kijamii kwa kutumia jina lake.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Kanusho Kutoka Ofisi ya Mbunge na Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa Kuhusu Uvumi Uliozagaa Kwenye Mitandao Mbalimbali ya Kijamii Kuwa Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Monduli Edward Lowassa Kulazwa nchini Ujerumani.

 Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Monduli Mhe Edward LowassaMsemaji wa Waziri Mkuu Mstaafu  Mhe. Edward Lowassa,  Bw. Aboubakary Liongo---- Ofisi ya mbunge na Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, jana ilikanusha vikali uvumi uliozagaa kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii kuwa mbunge huyo wa Monduli amelazwa nchini Ujerumani.

Taarifa zilizoenea zinaeleza kuwa Lowassa, ambaye wakati wote wa Mkutano wa 15/16 wa Bunge la Jamhuri ya Muungano uliofanyika kwa wiki tatu, hakuwepo bungeni, amekuwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Utitiri wa kodi nchini wamkera Kinana

Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana ametaja utitiri wa kodi za Tanzania kama kikwazo cha wafanyabiashara kutofanikiwa.

 

9 years ago

Vijimambo

10 years ago

GPL

10 years ago

BBCSwahili

Wasifu wa Edward Lowassa

Je unamfahamu Edward Lowassa ni nani katika siasa za Tanzania ?

 

9 years ago

TheCitizen

PROFILE: Edward Ngoyai Lowassa

Mr Edward Lowassa was born on August 26, 1953 in Munduli District in Arusha Region. He is the fourth child of herdsman Ngoyai Lowassa, who worked part-time for the colonial government in Monduli District as a village law enforcer.

 

10 years ago

Vijimambo

Kambi ya Edward Lowassa yatikiswa.

Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Wilaya Arumeru na Diwani wa kata ya Mlangarini wilayani humo, Mathias Manga, amenusurika kuuawa baada ya watu wasiojulikana waliokuwa wakimfuatilia kumpiga risasi nje ya geti la nyumba yake.

Tukio hilo lilitokea saa 4:45 usiku wa kuamkia jana.

Manga ambaye pia ni mfanyabiashara maarufu wa Tanzanite huko Mirerani, mkoani humu ni mmoja kati ya marafiki wakubwa wa Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, ambaye ametangaza nia ya kuomba ridhaa ya CCM kumteua kuwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Edward Lowassa akatwa CCM

Tano bora urais ni Membe, Magufuli, Makamba, Migiro, Amina Salum Ali

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani