Kambi ya Edward Lowassa yatikiswa.
Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Wilaya Arumeru na Diwani wa kata ya Mlangarini wilayani humo, Mathias Manga, amenusurika kuuawa baada ya watu wasiojulikana waliokuwa wakimfuatilia kumpiga risasi nje ya geti la nyumba yake.
Tukio hilo lilitokea saa 4:45 usiku wa kuamkia jana.
Manga ambaye pia ni mfanyabiashara maarufu wa Tanzanite huko Mirerani, mkoani humu ni mmoja kati ya marafiki wakubwa wa Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, ambaye ametangaza nia ya kuomba ridhaa ya CCM kumteua kuwa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi07 Dec
Kanusho Kutoka Ofisi ya Mbunge na Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa Kuhusu Uvumi Uliozagaa Kwenye Mitandao Mbalimbali ya Kijamii Kuwa Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Monduli Edward Lowassa Kulazwa nchini Ujerumani.
![](https://3.bp.blogspot.com/-oJh2Cn9yQak/VINKdRvDW8I/AAAAAAADJj4/0uJNUkCOwzk/s1600/28138-mmg24051.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-qHcmC4yyDpE/VINK3s8Ur5I/AAAAAAADJkI/sMkDVFsuX7A/s1600/l1.jpg)
Taarifa zilizoenea zinaeleza kuwa Lowassa, ambaye wakati wote wa Mkutano wa 15/16 wa Bunge la Jamhuri ya Muungano uliofanyika kwa wiki tatu, hakuwepo bungeni, amekuwa...
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://4.bp.blogspot.com/-au3Cp1u7Xqo/Vi0CI8mQlMI/AAAAAAAAW-g/vC3Sq13nhn0/s72-c/2X6A0449.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/LYEXafQ5n18/default.jpg)
10 years ago
BBCSwahili05 Aug
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ykZ*wTWqMzZui*mwIzYxYrBt2FwoBeh3UrZ6IRfePR15VXXnPkEX8bXFWV5-wkCm5eLZCZsCgjrAzUPPf71ctCBAp59hw0HC/11873760_542876332530104_4267297692721790481_n.jpg?width=750)
9 years ago
TheCitizen24 Oct
PROFILE: Edward Ngoyai Lowassa
9 years ago
Mtanzania04 Jan
Bulembo amvaa Edward Lowassa
Na Ruth Mnkeni, Dar es Salaam
MWENYEKITI Jumuiya ya Wazazi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdallah Bulembo, amemtaka aliyekuwa mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowasa, kuwataja hadharani wafanyabiashara waliokuwa wanasaidia Ukawa kutozwa kodi kubwa.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Bulembo alisema kauli ya Lowassa inalengo la kuigombanisha Serikali na wafanyabiashara, hivyo ni vyema akawataja hadharani ili kuondoa utata...
10 years ago
Mwananchi11 Jul
9 years ago
IPPmedia23 Oct
Dk.John Magufuli (Left) and Edward Lowassa
IPPmedia
IPPmedia
Political analysts and academicians have underscored issues likely to give victory to either the ruling CCM or Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) as Tanzanians go to vote for their president, Members of Parliament and councillors this Sunday.
Tanzanian `Bulldozer' Faces Ex-Premier in Tightest Vote in YearsBloomberg
Tanzania opposition cries foul ahead of electionsSouth African Broadcasting Corporation
Tight race and tensions as...