Wasifu wa Edward Lowassa
Je unamfahamu Edward Lowassa ni nani katika siasa za Tanzania ?
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi07 Dec
Kanusho Kutoka Ofisi ya Mbunge na Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa Kuhusu Uvumi Uliozagaa Kwenye Mitandao Mbalimbali ya Kijamii Kuwa Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Monduli Edward Lowassa Kulazwa nchini Ujerumani.
![](https://3.bp.blogspot.com/-oJh2Cn9yQak/VINKdRvDW8I/AAAAAAADJj4/0uJNUkCOwzk/s1600/28138-mmg24051.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-qHcmC4yyDpE/VINK3s8Ur5I/AAAAAAADJkI/sMkDVFsuX7A/s1600/l1.jpg)
Taarifa zilizoenea zinaeleza kuwa Lowassa, ambaye wakati wote wa Mkutano wa 15/16 wa Bunge la Jamhuri ya Muungano uliofanyika kwa wiki tatu, hakuwepo bungeni, amekuwa...
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://4.bp.blogspot.com/-au3Cp1u7Xqo/Vi0CI8mQlMI/AAAAAAAAW-g/vC3Sq13nhn0/s72-c/2X6A0449.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ykZ*wTWqMzZui*mwIzYxYrBt2FwoBeh3UrZ6IRfePR15VXXnPkEX8bXFWV5-wkCm5eLZCZsCgjrAzUPPf71ctCBAp59hw0HC/11873760_542876332530104_4267297692721790481_n.jpg?width=750)
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/LYEXafQ5n18/default.jpg)
9 years ago
Mtanzania04 Jan
Bulembo amvaa Edward Lowassa
Na Ruth Mnkeni, Dar es Salaam
MWENYEKITI Jumuiya ya Wazazi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdallah Bulembo, amemtaka aliyekuwa mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowasa, kuwataja hadharani wafanyabiashara waliokuwa wanasaidia Ukawa kutozwa kodi kubwa.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Bulembo alisema kauli ya Lowassa inalengo la kuigombanisha Serikali na wafanyabiashara, hivyo ni vyema akawataja hadharani ili kuondoa utata...
9 years ago
TheCitizen24 Oct
PROFILE: Edward Ngoyai Lowassa
10 years ago
Mwananchi11 Jul
10 years ago
Vijimambo25 Jun
Kambi ya Edward Lowassa yatikiswa.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Lowassa-25June2015.jpg)
Tukio hilo lilitokea saa 4:45 usiku wa kuamkia jana.
Manga ambaye pia ni mfanyabiashara maarufu wa Tanzanite huko Mirerani, mkoani humu ni mmoja kati ya marafiki wakubwa wa Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, ambaye ametangaza nia ya kuomba ridhaa ya CCM kumteua kuwa...
9 years ago
Vijimambo01 Sep
MASWALI KWA MHE. EDWARD LOWASSA
![Waziri wa zamani wa Elimu, Joseph Mungai](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2852224/highRes/1105440/-/maxw/600/-/u1kiwe/-/mungai+iringa.jpg)
Bwana Luke kama hutajali naomba ubandike haya mawazo yangu.
jina langu ni Tom
Nimesoma katika gazeti la mwananchi la leo ambalo lili mnukuu mgombea urais kupitia Ukawa Ndugu Edward Lowassa alipokuwa akihutubia huko Iringa akiwaahidi watanzania elimu ya bure kuanzia elimu ya msingi hadi chuo kikuu kuanzia January mwakani 2016. Zaidi aliahidi kulipa madai yote ya Walimu na wafanyakazi wengine wa serikali ambapo haya ni mabilioni ya pesa. Huyu...