Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Magufuli awashukia walipa kodi nchini

RAIS John Magufuli ametangaza kiama kwa wafanyabiashara wote wenye tabia ya kukwepa kulipa kodi na kusisitiza kuwa kamwe Serikali yake ya Awamu ya Tano, haitovumilia kitendo hicho. Kutokana na hayo, Dk Magufuli ametoa siku saba kwa wafanyabiashara wote nchini waliokwepa kodi wakiwemo wale wa makontena takribani 349 yaliyopitishwa bandarini bila kulipa kodi, waende wakalipe kodi hiyo mara moja, vinginevyo sheria itafuata mkondo wake.

Aidha, amewatoa hofu wafanyabiashara wa sekta binafsi...

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

CHAMA cha Waandishi wa Habari za Kodi Tanzania (TAWNET) umeipongeza kampuni ya mawasiliano ya Vodacom kuwa walipa kodi bora wakubwa

CHAMA cha Waandishi wa Habari za Kodi Tanzania (TAWNET) umeipongeza kampuni ya mawasiliano ya Vodacom Tanzania kwa kuwa moja kati ya walipa kodi bora wakubwa wa pili kwa mwaka 2014.
Sambamba na kampuni ya Vodacom, TAWNET pia imeipongeza kampuni ya bia Tanzania (TBL) na Kampuni ya Sigara Tanzania (TCC) kuweza kushika nafasi katika makampuni matatu bora. Mwaka huu, mchango wa Vodacom katika pato la taifa umeongezeka na kuisukuma kampuni hiyo katika nafasi ya pili kutoka ya tatu waliyoshika...

 

9 years ago

Mtanzania

Wakwepa kodi walipa bilioni 10/-

6NA AZIZA MASOUD, DAR ES SALAAM

MAMLAKA ya Mapato nchini (TRA) imekusanya Sh bilioni 10.75 kati ya Sh bilioni 80 zinazodaiwa kutoka kwa wafanyabiashara waliokwepa kodi kwa kupitisha makontena 329 bila kulipa ushuru.

Fedha hizo zimekusanywa ndani ya siku sita baada ya Rais John Magufuli kukutana na wafanyabiashara Ikulu jijini Dar es Salaam na kuwapa siku saba kulipa fedha hizo kabla ya kuchukuliwa hatua za kisheria.

Akizungumza na MTANZANIA Jumamosi, Mkurugenzi wa Huduma na Elimu kwa Mlipa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Chonde chonde Sitta, tuhurumie walipa kodi

KUMEKUWA na sababu nyingi sana zinazokwamisha maendeleo nchini. Lakini kikubwa inaonekana kana kwamba hatufahamu ni nini hasa kinatukwamisha. Ili kukabiliana na hilo, wakati umefika sasa wa kutafuta majibu ya matatizo...

 

10 years ago

Mwananchi

Mwapachu awashukia watendaji wa EAC nchini

 Aliyekuwa katibu mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), Balozi Bakari Mwapachu amesema viongozi wa Tanzania wamekuwa nyuma katika utekelezaji wa baadhi ya makubaliano muhimu ya jumuiya hiyo.

 

10 years ago

Michuzi

MPINGA AWASHUKIA MAWAKALA WA MABASI NA MADEREVA NCHINI

KIKOSI cha Usalama Barabarani  nchini  kwa kushirikiana na Chama cha Kutetea  Abiria Tanzania (CHAKUA) limesema wataendelea kudhibiti upandishaji wa holela wa nauli  za mikoani kuelekea katika sikukuu za kufunga mwaka.
Akizungumza na waandishi wa habari leo katika ukumbi wa idara ya habari Maelezo Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani,Mohamed  Mpinga amesema watachukua hatua kali kwa mawakala wataopandisha nauli za mikoani.
Mpinga alisema kikosi cha usalama barabarani kimejipanga...

 

9 years ago

Mwananchi

Magufuli: Nitaondoa misamaha ya kodi

Mgombea urais wa CCM, Dk John Magufuli amemaliza kampeni zake mkoani hapa, akiahidi kuwakaba koo wawekezaji wakubwa wanaonufaika na misamaha ya kodi isiyokuwa na tija kwa nchi.

 

10 years ago

Mwananchi

Walia na utitiri wa kodi nchini

Chama cha Wafanyabiashara na Viwanda Tanzania (TCCIA) Iringa, kimeishauri Serikali kupunguza utitiri wa kodi ili kuvutia wawekezaji na kuharakisha maendeleo.

 

10 years ago

Mwananchi

Utitiri wa kodi nchini wamkera Kinana

Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana ametaja utitiri wa kodi za Tanzania kama kikwazo cha wafanyabiashara kutofanikiwa.

 

11 years ago

Mwananchi

TRA Mbeya yakiri wingi wa kodi nchini

>Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Mbeya imekiri kuwepo kwa utitiri wa kodi kwa wafanyabiashara ambazo sasa ni kero kwao na kwamba sasa inaangalia upya  njia sahihi ya kuzikusanya kwa pamoja.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani