MPINGA AWASHUKIA MAWAKALA WA MABASI NA MADEREVA NCHINI
KIKOSI cha Usalama Barabarani nchini kwa kushirikiana na Chama cha Kutetea Abiria Tanzania (CHAKUA) limesema wataendelea kudhibiti upandishaji wa holela wa nauli za mikoani kuelekea katika sikukuu za kufunga mwaka.
Akizungumza na waandishi wa habari leo katika ukumbi wa idara ya habari Maelezo Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani,Mohamed Mpinga amesema watachukua hatua kali kwa mawakala wataopandisha nauli za mikoani.
Mpinga alisema kikosi cha usalama barabarani kimejipanga...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziTBL YAMKABIDHI KAMANDA MPINGA RIPOTI YA UPIMAJI AFYA ZA MADEREVA NCHINI
11 years ago
Mwananchi18 Dec
Kamanda Mpinga ‘awashukia’ watendaji
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/vdXfYFOgkyQ/default.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima03 Apr
Kamanda Mpinga awaasa madereva
KAMANDA wa Kikosi cha Usalama Barabarani nchini, Mohammed Mpinga, amewaasa madereva wa mabasi ya abiria kufuata taratibu, kanuni na sheria, ili kazi yao iweze kuheshimiwa na jamii. Alitoa wito huo...
10 years ago
GPLKAMANDA MPINGA AWAKEMEA MADEREVA WAZEMBE
10 years ago
GPLKAMANDA MPINGA ATOA NENO MGOMO MADEREVA
11 years ago
MichuziKamanda Mpinga awafunda madereva wa UDA kuzingatia sheria za Usalama barabarani
10 years ago
MichuziKAMANDA MPINGA-MADEREVA WALIOSABABISHA AJALI KWA UZEMBE KUFUTIWA LESENI ZAO.
Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii.
KIKOSI cha Usalama Barabarani kimesema wanazifuta leseni zote kwa madereva waliosababisha ajali kwa uzembe zikiwemo ajali za hivi karibuni.
Hayo ameyasema leo...
10 years ago
Dewji Blog17 Jan
Mgomo wa wapiga debe na mawakala wa mabasi mjini Singida
![DSC03472](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/01/DSC03472.jpg)
![DSC03488](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/01/DSC03488.jpg)