Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mgomo wa wapiga debe na mawakala wa mabasi mjini Singida

DSC03459

Korongo kubwa lililopo katikati ya kituo kikuu cha mabasi yaendayo mikoani linalotishia usalama wa watumiaji wa kituo hicho pamoja na magari.

DSC03467

Baadhi ya mawe yaliyotegwa na mawakala na wapiga bede  kwenye lango la kuingilia kituo kikuu cha mabasi yaendayo mikoani cha mjini Singida, kwa lengo la kuishinikiza manispaa iweze kuboresha miundo mbinu iliyoharibiwa na mvua zinazoendela kunyesha hivi sasa. DSC03472 DSC03488 Baadhi ya askari polisi waliofika kituo kikuu cha mabasi yaendayo mikoani kutuliza mgomo...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

RAIS MAGUFULI ATOA MAAGIZO STENDI MPYA YA MABASI DODOMA,AKATAZA WAPIGA DEBE,SUMA JKT KUPIGISHA RAIA VICHURA

Na Said Mwishehe,Michuzi TV

RAIS Dk.John Magufuli ametoa maelekezo kadhaa kwa Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma kuhusu Stendi Kuu ya mabasi ya jijini humo yakiwemo ya kuhakikisha wajasiriamali wadogo,Mama Lishe, waendesha bodaboda na daladala kufika kituoni hapo bila kusumbuliwa.

Pia ametoa maelekezo ya askari wa Suma JKT wenye tabia ya kupigisha watu vichura kuacha mara moja, kwani hayuko tayari kuona Watanzania waliohuru kwenye nchi wakirushwa vichura na ametumia nafasi hiyo kumwambia Mkurugenzi...

 

5 years ago

Michuzi

CCM KIBAHA MJINI YAWAWEKA KITIMOTO WAPIGA DEBE WA WAGOMBEA- LUAMBANO

NA MWAMVUA MWINYI,KIBAHA
KATIKA kuelekea kwenye uchaguzi mkuu ujao ,Chama Cha Mapinduzi (CCM),mjini Kibaha kimeanza kuwachukulia hatua baadhi ya wapambe wa wagombea ,wanaojipitisha kuwapigia debe wenye nia ya kugombea nafasi mbalimbali za uongozi .

Aidha chama hicho kimepiga marufuku wagombea wanaojipitisha na wapambe wao ,kuacha mara moja kufanya hivyo kwani wanakiuka taratibu na maadili ya chama.

Akitoa taarifa kuhusiana na mkutano mkuu wa jimbo ,unaotarajia kufanyika march 2 mwaka huu, mjini...

 

10 years ago

GPL

MGOMO WA MABASI, WASAFIRI MJINI BUKOBA WAKWAMA

Mabasi katika kituo cha mabasi mjini Bukoba, Kagera yakiwa yameegeshwa kufuatia mgomo wa mabasi nchi nzima uliotekelezwa na madereva wa mabasi hayo. Bajaji zikibeba abiria. Abiria wakitahamaki baada ya kuona mabasi hayatembei hivyo kukoswa usafiri wa kuwafikisha sehemu mbalimbali wanakoelekea.…

 

10 years ago

Michuzi

MGOMO WA MABASI,,,,ABIRIA MJINI MOSHI WAKWAMA STENDI, WAIGEUZA UKUMBI WA SINEMA...

Hivi ndivyo kituo kikuu cha mabasi mjini Moshi kilivyoonekana.Baadhi ya abiria wakiwa wamekaa kitako katika maegesho ya magari huku wakitizama Big Screen iliyopo jirani na kituo kikuu cha mabasi mjini Moshi.Baadhi ya abiria wakitizama kwa mbali screen hiyo.Screen kubwa kwa ajili ya matangazo ya biashara iliyoko jirani na kituo kikuu cha mabasi ikionesha picha ya mashindano ya magari ambayo ilikuwa burudani kwa abiria baada ya kukosa usafiri kutokana na mgomo wa madereva uliotikisa nchi...

 

10 years ago

Dewji Blog

Zoezi la kupima ulevi kwa madereva wa mabasi, latua Singida mjini

DSC03142

Mrakibu msaidizi wa polisi (ACP) mkuu wa  kitengo cha elimu kwa umma makao makuu ya usalama barabarani jijini Dar-es-salaam, Abel Swai, akiwahamasisha abiria wa basi la kampuni ya France line lililokuwa likitokea Dodoma kwenda Arusha mjini  kutoa taarifa kwa jeshi la polisi endapo watagundua dereva mlevi,kucheleweshwa au gari ni mbovu,ili hatua za haraka ziweze kuchukuliwa.

Na Nathaniel Limu, Singida

MRAKIBU msaidizi wa polisi makao makuu kitengo cha elimu kwa umma usalama barabarani...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mawakala wapinga mgomo wa wapagazi

MGOMO uliotangazwa na Chama cha Wapagazi Tanzania (TPO) wa kugoma kutoa huduma kwa watalii katika Mlima Kilimanjaro na Mlima Meru, umeanza kuwaumiza vichwa mawakala wa shuguli za utalii katika mikoa...

 

10 years ago

Vijimambo

Tishio mgomo wa mabasi. Sumatra, wamiliki mabasi jino kwa jino.

Mkurugenzi Mkuu wa Sumatra, Gilliard Ngewe.Chama cha Wamiliki wa Mabasi Tanzania (Taboa) kimesisitiza msimamo wake wa kusitisha kutoa huduma ya usafiri leo, huku Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi kavu na Majini Nchini (Sumatra) ikionya kuwa itamfutia leseni ya usafirishaji yeyote atakayegoma.

Katibu Mkuu wa Taboa, Enea Mrutu, alisisitiza msimamo wao wa kugoma walioutoa juzi alipozungumza na NIPASHE jana.
Alisema mgomo walioutangaza uko palepale ingawa kuna mazungumzo kati yao na Sumatra...

 

10 years ago

Michuzi

MPINGA AWASHUKIA MAWAKALA WA MABASI NA MADEREVA NCHINI

KIKOSI cha Usalama Barabarani  nchini  kwa kushirikiana na Chama cha Kutetea  Abiria Tanzania (CHAKUA) limesema wataendelea kudhibiti upandishaji wa holela wa nauli  za mikoani kuelekea katika sikukuu za kufunga mwaka.
Akizungumza na waandishi wa habari leo katika ukumbi wa idara ya habari Maelezo Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani,Mohamed  Mpinga amesema watachukua hatua kali kwa mawakala wataopandisha nauli za mikoani.
Mpinga alisema kikosi cha usalama barabarani kimejipanga...

 

10 years ago

Mwananchi

Mgomo wa mabasi kizungumkuti

Dar es Salaam. Hali ya sintofahamu imetawala mpango wa wamiliki wa mabasi yaendayo mikoani kufanya mgomo wa wiki moja kuanzia leo, kutokana na baadhi kutokatisha tiketi za safari za leo na wengine kukatisha.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani