Mgomo wa wapiga debe na mawakala wa mabasi mjini Singida
![DSC03472](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/01/DSC03472.jpg)
![DSC03488](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/01/DSC03488.jpg)
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziRAIS MAGUFULI ATOA MAAGIZO STENDI MPYA YA MABASI DODOMA,AKATAZA WAPIGA DEBE,SUMA JKT KUPIGISHA RAIA VICHURA
RAIS Dk.John Magufuli ametoa maelekezo kadhaa kwa Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma kuhusu Stendi Kuu ya mabasi ya jijini humo yakiwemo ya kuhakikisha wajasiriamali wadogo,Mama Lishe, waendesha bodaboda na daladala kufika kituoni hapo bila kusumbuliwa.
Pia ametoa maelekezo ya askari wa Suma JKT wenye tabia ya kupigisha watu vichura kuacha mara moja, kwani hayuko tayari kuona Watanzania waliohuru kwenye nchi wakirushwa vichura na ametumia nafasi hiyo kumwambia Mkurugenzi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-HfkK8EUBN2Y/XlkemKsICgI/AAAAAAALf5Q/VhQIS41aShgXD2CekK_gJiaIh1e2Qzz5ACLcBGAsYHQ/s72-c/0.jpg)
CCM KIBAHA MJINI YAWAWEKA KITIMOTO WAPIGA DEBE WA WAGOMBEA- LUAMBANO
![](https://1.bp.blogspot.com/-HfkK8EUBN2Y/XlkemKsICgI/AAAAAAALf5Q/VhQIS41aShgXD2CekK_gJiaIh1e2Qzz5ACLcBGAsYHQ/s640/0.jpg)
KATIKA kuelekea kwenye uchaguzi mkuu ujao ,Chama Cha Mapinduzi (CCM),mjini Kibaha kimeanza kuwachukulia hatua baadhi ya wapambe wa wagombea ,wanaojipitisha kuwapigia debe wenye nia ya kugombea nafasi mbalimbali za uongozi .
Aidha chama hicho kimepiga marufuku wagombea wanaojipitisha na wapambe wao ,kuacha mara moja kufanya hivyo kwani wanakiuka taratibu na maadili ya chama.
Akitoa taarifa kuhusiana na mkutano mkuu wa jimbo ,unaotarajia kufanyika march 2 mwaka huu, mjini...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ytz*1w0-YzBM2SkHtf4FOKdnPHv4oqsb6VtQ1EQ7MR8isx*bXFcwKbESL553kqHeFHY6HdhAP6n4NGr2VrE9leATsp7lNQQ3/MgomoBk2.jpg)
MGOMO WA MABASI, WASAFIRI MJINI BUKOBA WAKWAMA
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-HJc48Sih2kA/VUe3--Dc-iI/AAAAAAAAO6A/0b7NObboxEo/s72-c/E86A6705%2B(800x533).jpg)
MGOMO WA MABASI,,,,ABIRIA MJINI MOSHI WAKWAMA STENDI, WAIGEUZA UKUMBI WA SINEMA...
![](http://3.bp.blogspot.com/-HJc48Sih2kA/VUe3--Dc-iI/AAAAAAAAO6A/0b7NObboxEo/s640/E86A6705%2B(800x533).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-2IMmISHls6c/VUe4UTuXpCI/AAAAAAAAO7Y/xS-yMmsETVE/s640/E86A6737%2B(800x533).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-5h-iEuXdUDU/VUe4W9P4rOI/AAAAAAAAO7g/pdMX5WkmF28/s640/E86A6744%2B(800x533).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-5iLVUzH08nk/VUe4XJn7BXI/AAAAAAAAO7k/31AOA-nP7ew/s640/E86A6749%2B(800x533).jpg)
10 years ago
Dewji Blog02 Jan
Zoezi la kupima ulevi kwa madereva wa mabasi, latua Singida mjini
Mrakibu msaidizi wa polisi (ACP) mkuu wa kitengo cha elimu kwa umma makao makuu ya usalama barabarani jijini Dar-es-salaam, Abel Swai, akiwahamasisha abiria wa basi la kampuni ya France line lililokuwa likitokea Dodoma kwenda Arusha mjini kutoa taarifa kwa jeshi la polisi endapo watagundua dereva mlevi,kucheleweshwa au gari ni mbovu,ili hatua za haraka ziweze kuchukuliwa.
Na Nathaniel Limu, Singida
MRAKIBU msaidizi wa polisi makao makuu kitengo cha elimu kwa umma usalama barabarani...
11 years ago
Tanzania Daima17 Feb
Mawakala wapinga mgomo wa wapagazi
MGOMO uliotangazwa na Chama cha Wapagazi Tanzania (TPO) wa kugoma kutoa huduma kwa watalii katika Mlima Kilimanjaro na Mlima Meru, umeanza kuwaumiza vichwa mawakala wa shuguli za utalii katika mikoa...
10 years ago
Vijimambo29 Apr
Tishio mgomo wa mabasi. Sumatra, wamiliki mabasi jino kwa jino.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Ngwew-29April2015.jpg)
Katibu Mkuu wa Taboa, Enea Mrutu, alisisitiza msimamo wao wa kugoma walioutoa juzi alipozungumza na NIPASHE jana.
Alisema mgomo walioutangaza uko palepale ingawa kuna mazungumzo kati yao na Sumatra...
10 years ago
MichuziMPINGA AWASHUKIA MAWAKALA WA MABASI NA MADEREVA NCHINI
Akizungumza na waandishi wa habari leo katika ukumbi wa idara ya habari Maelezo Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani,Mohamed Mpinga amesema watachukua hatua kali kwa mawakala wataopandisha nauli za mikoani.
Mpinga alisema kikosi cha usalama barabarani kimejipanga...
10 years ago
Mwananchi29 Apr
Mgomo wa mabasi kizungumkuti