CCM KIBAHA MJINI YAWAWEKA KITIMOTO WAPIGA DEBE WA WAGOMBEA- LUAMBANO
![](https://1.bp.blogspot.com/-HfkK8EUBN2Y/XlkemKsICgI/AAAAAAALf5Q/VhQIS41aShgXD2CekK_gJiaIh1e2Qzz5ACLcBGAsYHQ/s72-c/0.jpg)
NA MWAMVUA MWINYI,KIBAHA
KATIKA kuelekea kwenye uchaguzi mkuu ujao ,Chama Cha Mapinduzi (CCM),mjini Kibaha kimeanza kuwachukulia hatua baadhi ya wapambe wa wagombea ,wanaojipitisha kuwapigia debe wenye nia ya kugombea nafasi mbalimbali za uongozi .
Aidha chama hicho kimepiga marufuku wagombea wanaojipitisha na wapambe wao ,kuacha mara moja kufanya hivyo kwani wanakiuka taratibu na maadili ya chama.
Akitoa taarifa kuhusiana na mkutano mkuu wa jimbo ,unaotarajia kufanyika march 2 mwaka huu, mjini...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog17 Jan
Mgomo wa wapiga debe na mawakala wa mabasi mjini Singida
![DSC03472](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/01/DSC03472.jpg)
![DSC03488](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/01/DSC03488.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-IgFolVmSdDc/VikjJaybHvI/AAAAAAADBTo/f7T2dsjsQD4/s72-c/_MG_8626.jpg)
Magufuli afanya mikutano ya kampeni katika jimbo la Kibamba,Kawe,Chalinze,Kibaha vijijini na Kibaha mjini jijini Dar leo.
![](http://2.bp.blogspot.com/-IgFolVmSdDc/VikjJaybHvI/AAAAAAADBTo/f7T2dsjsQD4/s640/_MG_8626.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-v71L4Lfc83g/VikjJoulG3I/AAAAAAADBTs/ynUqrQMxGMs/s640/_MG_8581.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-VeSlQCeD2Lw/VikjSh8EWJI/AAAAAAADBUU/roQcPwLizU0/s640/_MG_8765.jpg)
5 years ago
MichuziRAIS MAGUFULI ATOA MAAGIZO STENDI MPYA YA MABASI DODOMA,AKATAZA WAPIGA DEBE,SUMA JKT KUPIGISHA RAIA VICHURA
RAIS Dk.John Magufuli ametoa maelekezo kadhaa kwa Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma kuhusu Stendi Kuu ya mabasi ya jijini humo yakiwemo ya kuhakikisha wajasiriamali wadogo,Mama Lishe, waendesha bodaboda na daladala kufika kituoni hapo bila kusumbuliwa.
Pia ametoa maelekezo ya askari wa Suma JKT wenye tabia ya kupigisha watu vichura kuacha mara moja, kwani hayuko tayari kuona Watanzania waliohuru kwenye nchi wakirushwa vichura na ametumia nafasi hiyo kumwambia Mkurugenzi...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-OOvcTAdSB9A/VZ_buOIdT7I/AAAAAAAHogc/J4YxdMnUHdg/s72-c/MMGL0395%2Bcopy.jpg)
RAIS KIKWETE AONGOZA KIKAO CHA KAMATI KUU YA CCM MJINI DODOMA LEO, TANO BORA YA WAGOMBEA KUPATIKANA BAADA YA KIKAO HIKI
![](http://4.bp.blogspot.com/-OOvcTAdSB9A/VZ_buOIdT7I/AAAAAAAHogc/J4YxdMnUHdg/s640/MMGL0395%2Bcopy.jpg)
11 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-a8GewX63DL0/U0Eb8bCu1lI/AAAAAAAAM8M/83iYJIMCB3s/s1600/8.jpg)
WAGOMBEA UBUNGE JIMBO LA CHALINZE WAPIGA KURA ZAO
9 years ago
StarTV17 Nov
Ukosefu Soko La Vitunguu Swaumu lasababisha Debe mbili kuthamanishwa kwa debe moja
Ukosefu wa soko la uhakika la Vitunguu Swaumu umesababisha wakulima wa zao hilo kuingia hasara baada ya wanunuzi kuwataka wauze debe mbili kwa malipo ya debe moja.
Wakulima wa Vitunguu Swaumu katika eneo la Ilula wilayani Kilolo mkoani Iringa wamesema changamoto hiyo inawakwamisha kutokana na kilimo hicho kutokuwa mkombozi kwao.
Vitunguu swaumu ni jamii ya vitunguu ambayo ilianza kutumika duniani kwa zaidi ya miaka 100 iliyopita, na nchi za awali kabisa kulitumia zao hili zinatajwa kuwa...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-NhEWNeZFDm0/U8l-SsEqEOI/AAAAAAAF3iA/F0tGINjlIQM/s72-c/c12d840eef0bf692177f.jpg)
WACHINJA NYAMA MJINI KIBAHA WAGOMA
![](http://2.bp.blogspot.com/-NhEWNeZFDm0/U8l-SsEqEOI/AAAAAAAF3iA/F0tGINjlIQM/s1600/c12d840eef0bf692177f.jpg)
SAKATA la Umoja wa wafanyabiashara wa nyama na mazao yake wilayani Kibaha mkoani Pwani (UWABINK) leo umechukua sura mpya baada ya kufanya mgomo wa kutochinja ngombe na kusababisha nyama kukosekana kwenye mji wa Kibaha na vitongoji vyake.
Kutokana na mgomo huo wa kutochinja ngombe kumesababisha nyama kukosekana katika maeneo ya kuanzia Maili Moja hadi Visiga na Kibamba CCM wilaya ya Kinondoni Jijijini Dar es Salaam.
Akizungumza na waandishi wa habari msemaji wa umoja...
9 years ago
VijimamboMKUTANO WA KAMPENI WA DR. MAGUFULI KIBAHA MJINI