Mwapachu awashukia watendaji wa EAC nchini
 Aliyekuwa katibu mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), Balozi Bakari Mwapachu amesema viongozi wa Tanzania wamekuwa nyuma katika utekelezaji wa baadhi ya makubaliano muhimu ya jumuiya hiyo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi17 Aug
Waziri awashukia watendaji mgodini
11 years ago
Mwananchi31 Dec
Muhongo awashukia watendaji wabovu
11 years ago
Mwananchi18 Dec
Kamanda Mpinga ‘awashukia’ watendaji
9 years ago
Habarileo17 Dec
Waziri awashukia watendaji Kinondoni, Ilala
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Ajira, Vijana na Walemavu, Jenista Mhagama ameacha taharuki kwa baadhi ya watendaji wa Manispaa za Kinondoni na Ilala jijini Dar es Salaam ya kuweza ‘kukosa kazi’ hasa kutokana na kushindwa kutekeleza maagizo waliyotakiwa, likiwemo la Rais mstaafu, Jakaya Kikwete.
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-OTq-O52rS7o/VP3vgXlWQxI/AAAAAAAAXx8/iPugK3AuB6Q/s72-c/1.jpg)
LUSINDE AWASHUKIA WATENDAJI WASITEKELEZA MAAGIZO YA RAIS
![](http://1.bp.blogspot.com/-OTq-O52rS7o/VP3vgXlWQxI/AAAAAAAAXx8/iPugK3AuB6Q/s1600/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-BsZByfBu_9s/VP3vkzceftI/AAAAAAAAXzE/bj8R06Bmij0/s1600/2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-BOftIVfayBE/VP3vpuB4fwI/AAAAAAAAXz4/Xg7IAIYl69o/s1600/3.jpg)
9 years ago
Habarileo04 Dec
Magufuli awashukia walipa kodi nchini
RAIS John Magufuli ametangaza kiama kwa wafanyabiashara wote wenye tabia ya kukwepa kulipa kodi na kusisitiza kuwa kamwe Serikali yake ya Awamu ya Tano, haitovumilia kitendo hicho. Kutokana na hayo, Dk Magufuli ametoa siku saba kwa wafanyabiashara wote nchini waliokwepa kodi wakiwemo wale wa makontena takribani 349 yaliyopitishwa bandarini bila kulipa kodi, waende wakalipe kodi hiyo mara moja, vinginevyo sheria itafuata mkondo wake.
Aidha, amewatoa hofu wafanyabiashara wa sekta binafsi...
10 years ago
MichuziMPINGA AWASHUKIA MAWAKALA WA MABASI NA MADEREVA NCHINI
Akizungumza na waandishi wa habari leo katika ukumbi wa idara ya habari Maelezo Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani,Mohamed Mpinga amesema watachukua hatua kali kwa mawakala wataopandisha nauli za mikoani.
Mpinga alisema kikosi cha usalama barabarani kimejipanga...
11 years ago
Mwananchi07 Jan
Watendaji wakuu nchini wamkaba koo Muhongo
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-OGr2OF03wZ0/VhVgajlqopI/AAAAAAADAfY/ia6t2aPSyRU/s72-c/_MG_4268.jpg)
MAGUFULI AZIDI KUIBOMOA CHADEMA KILIMANJARO,AWATOLEA UVIVU WATENDAJI WA SHIRIKA LA UMEME NCHINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-OGr2OF03wZ0/VhVgajlqopI/AAAAAAADAfY/ia6t2aPSyRU/s640/_MG_4268.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-AtjfBuIkpDE/VhVgd7jOQLI/AAAAAAADAfo/RWAZtirQGcw/s640/_MG_4282.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-QZb7iKOLbNg/VhVgFnBn7DI/AAAAAAADAd4/-F5GPblAf8o/s640/_MG_3942.jpg)