LUSINDE AWASHUKIA WATENDAJI WASITEKELEZA MAAGIZO YA RAIS
![](http://1.bp.blogspot.com/-OTq-O52rS7o/VP3vgXlWQxI/AAAAAAAAXx8/iPugK3AuB6Q/s72-c/1.jpg)
Mbunge wa Jimbo la Mtera Ndugu Livingstone Lusinde akielezea maendeleo ya ujenzi wa Shule ya msingi Lowasa kwa Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana katika kijiji cha Muungano wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana(kushoto) akimuonyesha Mbunge wa Jimbo la Mtera Ndugu Livingstone Lusinde namna ya kufatua matofali wakati wa kushiriki ujenzi wa shule ya msingi Lowasa.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki kupampu maji ya kisima cha...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-hmGaRwCcQgI/VlhrgFXhnYI/AAAAAAAIIoM/eidItoUVTFM/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-11-27%2Bat%2B5.39.59%2BPM.png)
Maagizo ya Rais Magufuli kuhusu safari za nje za watendaji wa Serikali yaanza kutekelezwa
![](http://1.bp.blogspot.com/-hmGaRwCcQgI/VlhrgFXhnYI/AAAAAAAIIoM/eidItoUVTFM/s640/Screen%2BShot%2B2015-11-27%2Bat%2B5.39.59%2BPM.png)
Wizara imezielekeza Balozi zote zilizopo maeneo mbalimbali duniani kujipanga ili kushiriki kikamilifu katika kuiwakilisha Serikali kwenye mikutano yote ya kimataifa na kikanda...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-6yGIYn4U2Ns/VlqR_1tYUbI/AAAAAAAII3k/QLoD7zXAMqQ/s72-c/IMG-20151128-WA0038.jpg)
11 years ago
Mwananchi18 Dec
Kamanda Mpinga ‘awashukia’ watendaji
11 years ago
Mwananchi31 Dec
Muhongo awashukia watendaji wabovu
9 years ago
Mwananchi17 Aug
Waziri awashukia watendaji mgodini
10 years ago
Mwananchi08 Oct
Mwapachu awashukia watendaji wa EAC nchini
9 years ago
Habarileo17 Dec
Waziri awashukia watendaji Kinondoni, Ilala
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Ajira, Vijana na Walemavu, Jenista Mhagama ameacha taharuki kwa baadhi ya watendaji wa Manispaa za Kinondoni na Ilala jijini Dar es Salaam ya kuweza ‘kukosa kazi’ hasa kutokana na kushindwa kutekeleza maagizo waliyotakiwa, likiwemo la Rais mstaafu, Jakaya Kikwete.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-DFT0bx_tseU/XtZTOFrCapI/AAAAAAALsT8/ZNjKDiK8Y0gKUEVBxURKo8zkuoFFBsCwQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-01%2Bat%2B7.58.55%2BPM.jpeg)
MAAGIZO YA WAZIRI JAFO NI FUNZO KUBWA KWA WATENDAJI WA UMMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-DFT0bx_tseU/XtZTOFrCapI/AAAAAAALsT8/ZNjKDiK8Y0gKUEVBxURKo8zkuoFFBsCwQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-01%2Bat%2B7.58.55%2BPM.jpeg)
Katika kipindi cha miaka mitano ya serikali ya awamu ya tano kimekuwa kipindi tofauti sana kwa upande wa Ofisi ya Rais TAMISEMI kwani Waziri Jafo amekuwa mwiba kwa wazembe Kwani kila kinacho agizwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-L7lJvZUDZyc/Xs5GXOw9gZI/AAAAAAALrsk/fT7QjckRzqMpIprG4oYY_3AvV5xDqEuyACLcBGAsYHQ/s72-c/1..jpeg)
RC KAGERA AKABITHI BOTI KWA WATENDAJI KATA, ATOA MAAGIZO MAZITO KUHUSU MATUMIZI.
![](https://1.bp.blogspot.com/-L7lJvZUDZyc/Xs5GXOw9gZI/AAAAAAALrsk/fT7QjckRzqMpIprG4oYY_3AvV5xDqEuyACLcBGAsYHQ/s640/1..jpeg)
Mkuu wa mkoa Kagera Bri.Gen Marco Gaguti aliyeshika ufunguo wenye kamba nyekundu akikabidhi boti kwa watendaji wa kata.
![](https://1.bp.blogspot.com/-0VD9AbMVj5o/Xs5GXZUTtlI/AAAAAAALrso/6suT3X98SH0jeRm5NkJliZ1WpBdCASlcgCLcBGAsYHQ/s640/2..jpeg)
Mkuu wa mkoa Kagera akiwahuitubia wavuvi pamoja na wananchi katika kijiji cha katembe Kata Nyakabango wilayani Muleba wakati wa hafla ya kukabithi Boti.
![](https://1.bp.blogspot.com/-UX3I2C95dPU/Xs5GXfNVdaI/AAAAAAALrss/svcuGEtFTx8_9AGCLEyEHlZg_vCMJ2oFgCLcBGAsYHQ/s640/3..jpeg)
Wananchi pamoja na viongozi wa wilaya Muleba wakimsikiliza Mkuu wa mkoa alipokuwa akiwahutubia.
Na Allawi Kaboyo,Muleba
Kufatia kuwepo kwa vitendo vya uvuvi Haramu katika ziwa Victoria,Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Brigedia...